michibo
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,315
- 3,927
Punguza jazbakweli kabisa mkuu leo nime-experience hiki kitu imenikera sana f**k u haloteli

Punguza jazbakweli kabisa mkuu leo nime-experience hiki kitu imenikera sana f**k u haloteli

Tabia hiyo wanayo sana tu ila kama unazungumzia "tabi" kweli hawanaUmetumwa wewe, halotel hawana hiyo tabi
Ubwete wa mama yako, mpuuzi, nasema sitaki matusi jibu hoja kwa lugha ya ustaammezoea sana ubwete.Shs.500 kwa wiki internet???kwani upo ujerumani
Kama ulikuwa unapata ni ofa tu haipo katika viwango vya TCRA.SH.500 ni MB70 ambazo hazikufikishi popote
Nadhani itakuwa hivyo maana mimi Halotel naipenda kuliko maelezo yaani nikiunganisha na smart TV YouTube haijawahi kunata! Nasikia kwa watu eti Halotel mtandao upo slowUsikute kaacha huduma wazi, watu wakiwasha wifi wanajipatia huduma buree.
Ni kulingana na matumizi yako mkuu! Hata ndani ya masaa matatu inaweza kuisha!Halotel chuo hivi sasa ni janga mi nimeamua kuachana nao maana bundle ya 500mb inaisha ndani ya saa 48.
hii hali ilinikuta kwenye modem yao manake nilijiunga na cha chuo sikubrowse nikazima laptop narudi kuwasha naambiwa ati sina mb nilibaki nimeduwaa kwanzaUnaweka bando ya internet 500 Tsh for a week. Hujafanya download yoyote imeisha. Imenitokea several times.
Acha wizi, TCRA timiza wajibu wenu, msisubiri kupiga faini, tunataka huduma na si faini
we ni mwanachuo?Mie nilinunua ya 1000 MB 1200 usiku saa 4 kesho yake nikakuta MB 680 wala sikuperuzi wala kuangalia video yoyote mtandaoni
Huyo naona anahisi kuibiwa mi pia sijawahi kutana nayo hayo anayosema.mkuu wanakuibia ww tu.mbna me natumia na siibiwi
We uko location ipi mkuu?Mbona wengine sio wanachuo na huduma tunaipata vizuri. Shida ipo kwenye simu zenu au location mliyopo.