Halotel chuo acheni wizi, TCRA take note please

Halotel chuo acheni wizi, TCRA take note please

Unaweka bando ya internet 500 Tsh for a week. Hujafanya download yoyote imeisha. Imenitokea several times.
Acha wizi, TCRA timiza wajibu wenu, msisubiri kupiga faini, tunataka huduma na si faini
Pamoja na malalamiko yote hayo unaweza ukawa mwanachuo feki
 
Unaweka bando ya internet 500 Tsh for a week. Hujafanya download yoyote imeisha. Imenitokea several times.
Acha wizi, TCRA timiza wajibu wenu, msisubiri kupiga faini, tunataka huduma na si faini
Upo sahihi mkuu, wamekuwa matapeli balaa.
 
Unaweka bando ya internet 500 Tsh for a week. Hujafanya download yoyote imeisha. Imenitokea several times.
Acha wizi, TCRA timiza wajibu wenu, msisubiri kupiga faini, tunataka huduma na si faini

Kila siku nawaambieni kuwa hamieni ' the smartphone Network ' AIRTEL hamnisikii tu sasa angalieni mnavyotaabika hivyo. Mtu yoyote makini na mwenye ' akili ' za ' kutukuka ' kabisa lazima tu atakuwa ni mtumiaji wa mtandao bora na mzuri kabisa si tu duniani bali hata ' Mbinguni ' kwake ' Maulana ' utaukuta ' Malaika ' nao wakiutumia ambao ni AIRTEL.

Basi kama ukikosa nafasi huko AIRTEL si vibaya kidogo ukageukia Vodacom na Tigo ambayo na yenyewe ni ' mitandao ' inayojitahidi kufanya vizuri kama AIRTEL. Pole sana kwa ' usumbufu ' huo uliokukuta Mkuu ila siku zingine kuwa mmoja wa hiyo ' mitandao ' mitatu ya ' kutukuka ' kabisa niliyoitaja hapo juu.

Kila la kheri.
 
Halotel kiukweli hana mpinzani kwenye kifurushi cha chuo! Ni kama bure! Hiyo mia tano yako huwezi kupata kifurushi cha wiki popote pale!
 
Mnaosema mmenunua bundle then asbhi mkakuta limepungua na hamjaperuz hakika sio kwel,,maana hakuna anaeweka bundle galaf asiwashe data wala kuchek mails,au grp mbili tatu au inst,au fb au jf haiwezekana unaweka bundle la nn??
 
kuisha kwa MB inategemea matumiz kma.makubwa ztaisha mbn mm huwa MB500 Natumia sku moja coz matumiz makubwa
 
Kuna watu kazi yenu kuponda tu..mbona mi natumia vizuri tu..yaani halotel haijawah kunisumbua kabisa...hilo bundle linaisha sababu ya matumizi yako..ukiwa wiki haimaanishi utatumia wiki nzima ata kama unamatumizi makubwa
 
umeulizwa huko juu wewe umesoma chuo gani mbona hujibu?
 
sometimes kuna background apps ambazo ukiwasha tu data hata kama hausurf kwenye internet zenyewe zinanyonya tu data, so ni bora uwe unacheki na hilo pia
 
7dcc139340bffa5812cacd679c7a614a.jpg
 
Unapoacha Data On na Una Update kama 20 unategemea nini..? huku whatsaap kuna video 10 na picha zinazo download automatic.
fikiria kabla yakukosoa
Mbona mwanzoni haikuwa hivi wakati devie na applications ninazotumia ni hizi hizi tu!
 
Back
Top Bottom