Halotel chuo acheni wizi, TCRA take note please

Halotel chuo acheni wizi, TCRA take note please

duh yan mi walichonfanyia jmosi sina ham nao, wamekua majizi kama nini hawa watu
 
Unaweka bando ya internet 500 Tsh for a week. Hujafanya download yoyote imeisha. Imenitokea several times.
Acha wizi, TCRA timiza wajibu wenu, msisubiri kupiga faini, tunataka huduma na si faini
Mkuu niliweka 10GB cha ajabu wiki ikakata sijadownload movie wala nini
 
Kuna jambo sijawaelewa hawa
unajiunga 500
unaambiwa 500mb+ 100mb usiku
sasa unazionaje hizo Mb 100 za usiku!?
Nikwakuwa nina Kijisimu chao kimoja kinacho nilazimu kuweka line yao
Kizazi cha T ni bora sana
 
Kuna jambo sijawaelewa hawa
unajiunga 500
unaambiwa 500mb+ 100mb usiku
sasa unazionaje hizo Mb 100 za usiku!?
Nikwakuwa nina Kijisimu chao kimoja kinacho nilazimu kuweka line yao
Kizazi cha T ni bora sana
Ikifika usiku mb 500 zako haziendi zinatumika zile 100 za usiku lkn uanzia saa 5 ikifika asubuh ndo unaendelea kutumia mb 500 zako ulizonunua ila zikiisha hizo mb 100 ikifika usiku zinatumika hizo 500
 
mimi tokea nimehamia huku halotel najiunga kifurushi cha mwezi na pia natumia modem yao ya halotel, mambo yako poa saaana, sasa ndugu unanistua kwamaana nilikua nishawakabidhi maisha yangu ya kidigitali hawa jamaa kama na wenyewe wameanza uhuni basi twaaaafwaaa
 
Unaweka bando ya internet 500 Tsh for a week. Hujafanya download yoyote imeisha. Imenitokea several times.
Acha wizi, TCRA timiza wajibu wenu, msisubiri kupiga faini, tunataka huduma na si faini
Aaaaahhhh hapana siamini nina line yao hawa jamaa ya chuo kiukweli kati ya makampuni ya simu makini Tanzania hili namba moja. Tuache unafiki hakuna kitu km hicho. Fikiria ulichokifanya vinginevyo usitumike vby wape haki yao halotel
 
wakuu ivi kuna mtandao wanaiba Zaidi ya tigo, ,..awa jamaa ni wezi waliotukuka,,..mb500 ni masaa manne tu kwishnei.
 
Ikifika usiku mb 500 zako haziendi zinatumika zile 100 za usiku lkn uanzia saa 5 ikifika asubuh ndo unaendelea kutumia mb 500 zako ulizonunua ila zikiisha hizo mb 100 ikifika usiku zinatumika hizo 500
Wizi tu hawana lingine
Nacho jiuliza Hizo Mb unazionaze
Mimi hujiunga mara nyingi sana kwa siku sasa nitazamapo Salio sioni hizo 100mb
470209c42774e23f0c827bfb94a94964.jpg


Kiukweli huwa wananiboa sana
lakini huwa sina jinsi niwapo nje ya Dar natumia kisimu chao
lakini mjini Ni Kizazi cha T
 
Huyu anaonekana ni mtumiaji mzuri wa web za video za mambo yetu mpaka hanasahau Kama zinamaliza bundle
 
Back
Top Bottom