Kuliko mitandao yote hadi wanaboamkuu kuhusu spidi hapana, maana siku hizi spidi yao ndio ipo chini balaa, hata streaming huwezi.
Mie natumia na siibiwiUnaweka bando ya internet 500 Tsh for a week. Hujafanya download yoyote imeisha. Imenitokea several times.
Acha wizi, TCRA timiza wajibu wenu, msisubiri kupiga faini, tunataka huduma na si faini
Usikute kaacha huduma wazi, watu wakiwasha wifi wanajipatia huduma buree.Mie natumia na siibiwi
Angalia mnatumia wangapi?
Niko peke yangu , peke yangu!Mie natumia na siibiwi
Angalia mnatumia wangapi?
Mm hawajachukua mb zao lkn mtandao uko slow sana inachukua muda ukitaka kudownloadMimi sijajau labda ni speed ya Hallotel au nini.
500 Mb zinayeyuka haraka sana Tofauti kabisa na kipindi cha nyuma.
AiseeeeWanachuo hewa
Mwanachuo! Siwezi kulalamika while not a studentSasa kama we c mwanachuo unalialia nini... Hiyo kwa ajili ya mwanachuo... Ulipoweka ika detect kwamba c mwanachuo ndo maana wakafanya hivyo
Aisee!mkuu kuhusu spidi hapana, maana siku hizi spidi yao ndio ipo chini balaa, hata streaming huwezi.
Kipindi cha nyuma kwa upande wako hali ilikuwaje katika speed..?Mm hawajachukua mb zao lkn mtandao uko slow sana inachukua muda ukitaka kudownload
Natumaini mleta Uzi anaelewa anachokifanya... Ww una matatizo gani?Umetumwa wewe, halotel hawana hiyo tabi
Kuna watu humu wanabisha,, nadhani ni wafanyakazi wa halotelHalotel chuo hivi sasa ni janga mi nimeamua kuachana nao maana bundle ya 500mb inaisha ndani ya saa 48.