Halotel bado hajapata mshindani

Halotel bado hajapata mshindani

Ha ha ha apa nna shusha episode za mb 350 hata 2 kwa wakat mmoja na hazipit ten minutes zote zisha ingia
Duuu kwa hii hii ttcl?ngoja nfanye mpango kwa kweli hii halotel imeshanishinda
 
Halotel kwaherini Ngoja
nitafute mbadala hakuna namna
sisi tunaangalia ubora atuangalii wingi wa mb mbona kawaida tu ukipunguza bia moja kwenye bia tatu kwa siku mbona halotel unaimudu basi tu watanzania tunapenda vya dezo
 
sisi tunaangalia ubora atuangalii wingi wa mb mbona kawaida tu ukipunguza bia moja kwenye bia tatu kwa siku mbona halotel unaimudu basi tu watanzania tunapenda vya dezo
Halotel waiziii wa MB Waleee...!! Bora voda mtandao ambao unakubalii popotee.TTCL kama huna 4G usijaribu hataa itakukeraa tuu
 
Nilipanga kuhamia Voda but ina magumashi mbaya inasoma H+ lakini kufungua page ni shida ,so nimeamua tu kuendelea na halotel hakuna namna
 
Halotel waiziii wa MB Waleee...!! Bora voda mtandao ambao unakubalii popotee.TTCL kama huna 4G usijaribu hataa itakukeraa tuu
Hapana mkuu mb zinatumika vizuri tu sijui kama unatumia voda mimi jana nimejaribu kuirudia voda nimekereka haifungui page mkuu yani internet haipo kabisa ni bora ingekuwa slow
 
Hata hao Halotel nao ni tia maji tia maji. Pipa na mfuniko, walikuja na mispeed Wateja milioni tatu tu pumzi zimekata. Je wakifikisha milioni kumi na kuendelea kama wenzao itakuwaje?

Sasa hivi Halotel unasubiri mpaka alama H+ itokee ndo unabonyeza. Manake hiyo alama siku hizi inakaa sekunde tano ikipotea mpaka sekunde ya ishirini ndo inarudi. Wakati zamani ilikuwa imetulia tu yaani speed imeshuka sana tofauti na zamani.
 
Daaaa voda ni moto mi nina ya kwako tuu full ma mb ya kutosha tu
 
Ishu ni intanet ipo slow
Nishawahi unga hilo bando alafu nikashindwa kuzitumia maana intaneti ya Voda ni janga

Unapewa Mb 5000 halafu intaneti hamna spidi sasa utazitumiaje ?

Au utalishia mbuzi mkuu ?
Inategemea na eneo mkuu eneo langu voda iko mwake
 
Ishu ni intanet ipo slow
Nishawahi unga hilo bando alafu nikashindwa kuzitumia maana intaneti ya Voda ni janga

Unapewa Mb 5000 halafu intaneti hamna spidi sasa utazitumiaje ?

Au utalishia mbuzi mkuu ?
Yan kwenye uslow voda wametia fora
Nlipigia wao sim, wakanambia ni sim yangu. Wakanitumia configuration mpya lakn wap
Ikabd niache kwan nlikuwa nakuja zanzibar... Lakin wajitathimn
 
Ttcl inaspeed kweli? Kama ilivo halotel?
halotel ina sifa moja tu kubwa ambayo wengine wote hawana..ni speed ya internet popote pale ulipo,ila mitandao mingine package za net zipo vizuri ila speed kichefuchefu, hao voda ukiwa boko tu hapo speed kobe. nilitaraji ttcl ambayo ndo mama wa mitandao ingeboreshwa na kuwa na speed zaidi ya halotel maeneo yote ili washindane, lakini wamefail,inchi kitu kikitwa tu cha taifa basi ubora kiduchu. ingia hata ofc za ttcl unakuta tu wamama wamezubaa.hawapo kiushindani.
 
Inategemea na eneo mkuu eneo langu voda iko mwake
haitakiwi itegemee eneo maana watu tunamove, inapaswa iwe perfect sehemu kubwa, mfano hapa tu mjini baadhi ya maeneo unakuta wapo slow ,mpaka unaboreka hasa kama unafanya kazi za ofc nyumbani, kufungua system inabidi utulie uangalie tv kwanza
 
Back
Top Bottom