Halotel bado hajapata mshindani

Halotel bado hajapata mshindani

Gulio Blog

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2016
Posts
3,056
Reaction score
4,124
kama mnavyokumbuka baada ya halotel kupunguza vifurushi nikategemea hawa voda wanaweza wakawa mkombozi lakini mambo ndivyo sivyo ukishangaa ya halotel utayaona ya voda baada ya jana kuweka bando la chuo voda ni kichefuchefu siku nzima imeshindwa kufungua internet leo nimeamua kuendelea na mb zangu 350 hata zikiendelea kushuka bado nitaendelea kutumia halotel
 
Ishu ni intanet ipo slow
Nishawahi unga hilo bando alafu nikashindwa kuzitumia maana intaneti ya Voda ni janga

Unapewa Mb 5000 halafu intaneti hhamna spidi sasa utazitumiaje ?

Au utalishia mbuzi mkuu ?
Labda wewe huko uliko mimi nazimaliza ndani ya siku mbili au moja maana nashusha movies tu kwa kas ya ajabu.
Voda kwangu kwa sasa ndo mwisho wa matatizo halotel mewapumzisha
 
Labda wewe huko uliko mimi nazimaliza ndani ya siku mbili au moja maana nashusha movies tu kwa kas ya ajabu.
Voda kwangu kwa sasa ndo mwisho wa matatizo halotel mewapumzisha
Unatumia simu ya 4G ?
Mimi nipo karibu na katikati ya jiji (Magomeni ila voda hata kuona picha instagram tu ni shida na sio kwangu pekee
 
2000 GB 5...!???? Menu gani hiyooo... wapii kuna hizo GB..!????
Hiyo inaitwa ya kwako tu!

Unapiga *149*01# itakuleta menyu utagonga Namba 2-Ya kwa tu halafu itakwambia

Karibu KUFA KUNOGA
1.Dakika
2.Data

Utachagua mwenyewe sasa kama data au dakika

Data

1 Tsh 500 Mb 300 siku 10

2 Tsh 1000 Mb 1024 Sikh 7

3 Tsh 2000 Mb 5012 Sikh 30
 
Huo ushindani una uzungumzia kwenye vifurushi ama??

Screenshot_20180106-212617.jpg

Hii ni ttcl boom pack leta scrnshot ya vifurush vya hao halotel tuone pia
 
Unatumia simu ya 4G ?
Mimi nipo karibu na katikati ya jiji (Magomeni ila voda hata kuona picha instagram tu ni shida na sio kwangu pekee
Hapana hiyo voda naitumia kwenye sim ya 3g samsung j1 toleo la kwanza maana ndiyo naitumia kama wireless router inaigawia laptop naitumia kudownload yan ni speed kwa kwenda mbele huku pia nakuwa nashare kwenye sim yangu nyngne unaku laptop inadownload huku simu nyngne ina stream video youtube
 
Hapana hiyo voda naitumia kwenye sim ya 3g samsung j1 toleo la kwanza maana ndiyo naitumia kama wireless router inaigawia laptop naitumia kudownload yan ni speed kwa kwenda mbele huku pia nakuwa nashare kwenye sim yangu nyngne unaku laptop inadownload huku simu nyngne ina stream video youtube
Sawa mkuu
Nikipata simu nyingine nitaweka Voda
Labda hii simu ni kimeo
 
Sijawahi ona faida ya halotel na kila mtumiaji wa halotel ni lazima awe na sim card ya matumzi ya muhimu ... Hivyo basi halotel bado sana kwenye ushindani kwa hapa bongo...
 
Hiyo inaitwa ya kwako tu!

Unapiga *149*01# itakuleta menyu utagonga Namba 2-Ya kwa tu halafu itakwambia

Karibu KUFA KUNOGA
1.Dakika
2.Data

Utachagua mwenyewe sasa kama data au dakika

Data

1 Tsh 500 Mb 300 siku 10

2 Tsh 1000 Mb 1024 Sikh 7

3 Tsh 2000 Mb 5012 Sikh 30
Bhasi kila mtu kapewaa tofauti mzeee.. !! Maana me naona majanga tuu
 
Back
Top Bottom