Tunataka kusikia hao Maafisa Ardhi wanaojifanya Miungu watu kwa kudhulumu viwanja vya watu, wanachukuliwa hatua gani? Hasa katika miji mikubwa kama Dar, Arusha, Mwanza nk---nk.
wengi wao ni mamilionea wakubwa sana, cha kushangaza hawa takukuru hawajawachunguza kabisa hawa viumbe, yaani kupata title deed ni ishu kubwa sana kuipata