Halima Mdee ndani ya Kombati akisoma hotuba yake

Halima Mdee ndani ya Kombati akisoma hotuba yake

Kaa nyumbani, kula, kunya, lala, usubiri JK akuletee maisha bora!
watu wana jitahidi kufanya kazi lakini matokeo yake unachokipata kina ishia kwenye mahitaji mhimu na wakati mwingine kisitoshe mfano unapokosa umeme na mafuta unataka watu watumie mkojo kuendesha shughuli zao...au umejiari kwnye kazi ya kuchomelea vyuma unachomelea na mkaa kama hakuna umeme...acha kufikili kwa kutumia masaburi wakati ukweli unaujua na unauona
 
Hivi sasa wewe unafikiria kazi ya Rais ni nini? Na kwa nini Marais wengine huwa wanaonekana bora kuliko wenzao??

Kumbuka JK alipoingia alisema msingi ameukuta yeye atajenga ukuta..... sasa huo ukuta aliojenga uko wapi.

Kumbuka JK alipoingia alisema maisha bora kwa kila Mtanzania..... sasa hayo maisha bora yako wapi?

Kumbuka JK............................ Hasira zimenipanda kujibu watu kama wewe, ngoja niepuke ban.
ndugu yangu umepewa akili na kila kitu fanya kazi jishughulishe utakaa kupiga kelele KIkwete Kikwete utalala njaa, chakalika mtoto wa kuumeni wewe. Ukikaa kwenye vi grosary unaagiza bia na kujilamba mustach.kwenye vikao vya harusi una tangaza kutoa laki, watoto shule hawaendi. Mkeo kajaza vitenge wax ktk sanduku, mwili mmoja nguo viatu kibao. TUFANYE KAZI . THE MORE A MAN HAS MONEY THE MORE HE/SHE WANTS.
 
Tatizo Kikwte anajifanya anajua kila kitu halafu mbishi....mfano semina elekezi ni mfano hai aliouonyesha kuwa mawaziri, wakuu wa mikoa wake hawajui kazi mpaka awaelekeze...vinginevyo aliamua kuwatoa out..
Semina elekezi ni sawa na kuwaita wajumbe wote kuzunguka mikoani kuandamana kila kukicha!
 
Usichokijua usikiongee hapa,
Unajua wazo la kubadili picha ya raisi lilitoka wapi na kwanini? Usiandike hapa kitu usichokijua.
usitake kujifanya wewe una haki zaidi ya wengine na wala rais si wako peke yako
akili zako zinafanana na avatar yako
 
Hivi sasa wewe unafikiria kazi ya Rais ni nini? Na kwa nini Marais wengine huwa wanaonekana bora kuliko wenzao??

Kumbuka JK alipoingia alisema msingi ameukuta yeye atajenga ukuta..... sasa huo ukuta aliojenga uko wapi.

Kumbuka JK alipoingia alisema maisha bora kwa kila Mtanzania..... sasa hayo maisha bora yako wapi?

Kumbuka JK............................ Hasira zimenipanda kujibu watu kama wewe, ngoja niepuke ban.

Au ndo tuseme mkapa aliweka msingi wa ufisadi,na JK kazi yake saivi ni
kujenga ukuta wa ufisadi?
nani ataweka paa?
haha,finishing?
 
Alwayz CDM hawabahatishi mambo yao budget ya mdee ipo bomba inaonyesha mipango na strategies. kOMBATI hizo ni mbwembwe but all in all CDM wakombozi wa ukweli
 
watu wana jitahidi kufanya kazi lakini matokeo yake unachokipata kina ishia kwenye mahitaji mhimu na wakati mwingine kisitoshe mfano unapokosa umeme na mafuta unataka watu watumie mkojo kuendesha shughuli zao...au umejiari kwnye kazi ya kuchomelea vyuma unachomelea na mkaa kama hakuna umeme...acha kufikili kwa kutumia masaburi wakati ukweli unaujua na unauona
Umeongea vizuri sana, wote tunafanya kazi kwaajili hiyo.
 
kikwete ndiye anakufanya uwe masikini?
Kikwete ndiye anatakiwa ajue kwanini nchi ni masikini?
Wewe ni masikini?
Hebu tuanzie hapo kwanza ili nijue nikushauri vipi!

ndiyo
ndiyo
ndiyo
 
ulipokuwa mtoto nadhani housegirl alikuharibu
Acha kutukana kwani unaonekana mjinga,hapo kinachotakiwa ni kujenga hoja ya jinsi ya kujikwamua kwenye matatizo uliyonayo na sio matusi kwa sababu hayasaidii kitu.
 
ndugu yangu umepewa akili na kila kitu fanya kazi jishughulishe utakaa kupiga kelele KIkwete Kikwete utalala njaa, chakalika mtoto wa kuumeni wewe. Ukikaa kwenye vi grosary unaagiza bia na kujilamba mustach.kwenye vikao vya harusi una tangaza kutoa laki, watoto shule hawaendi. Mkeo kajaza vitenge wax ktk sanduku, mwili mmoja nguo viatu kibao. TUFANYE KAZI . THE MORE A MAN HAS MONEY THE MORE HE/SHE WANTS.
kama viwanda tunavyo vitegemea vinafungwa kifisadi fisadi ambavyo tulitegemea viajiri watu takribani watu 30000 unategemea tukafanye kazi wapi au mnataka tuwe walizi wenu na wafanya kazi wa ndani ili mtulipe hivyo vi-20,000 wakati nyie hatakama mme lala posho ni zaidi ya 150000 kwa siku...ukijiajiri serikali legelege inatoa macho watu wadogo wadogo makampuni makubwa hawayaoni na wakiyaona pesa inaingia kwenye mifuko yao kuneemesha matumbo na ****** yao...unategemea maendeleo gani....
 
Umeongea vizuri sana, wote tunafanya kazi kwaajili hiyo.
Sasa nyie mnapata zaidi mkuu mbona mnavijisenti nje ya nchi...wengine mna mpaka trilion 3 kwenye account zenu au iko ndani ya mahitaji mhimu...
 
Wakuu salaam.Nimefurahishwa sana na vazi la Mdee alilovaa leo wakati hue akiwasilisha Hotuba yake ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Katika hotuba yake amewalipua Mkapa, Mangula, Sumaye, Nwgwilizi, Mzee Mwinyi na Mzee Malecera kwa umiliki wa ekari nyingi za ardhi katika eneo la Mtibwa mkoani Morogoro.

Viva Halima.

Viva Cdm twende Mh Halima.

Watanzania tuko pamoja na saa yoyote tupo tayari kuitwaa ikulu ili tuwang'oe mafisadi na haki itendeke kwa watanzania.

Kama mtu mmoja anamiliki hekari 500, je kuna vijana wangapi wanazurura mtaani bila kazi??

Walio maliza la saba, walio maliza form 4, walio maliza form 6 na walio maliza vyuo.

Hawa vijana wamekuwa wapiga debe, wauza vocha na machangudoa.

Kama serikali ya magamba sicm ingekuwa makini, hawa vijana wangegaiwa ardhi na kuelimisha semina fupi za miezi 3 na wangezalisha chakula na kuexport Kenya, Sudani, Somalia, Ethiopia.

Sasa hawa vigogo wa magamba wamegawana ardhi na kuwasahau vijana wa tanzania wakiangamia. Go to hell magambas

Hao RItz na vigogo wa sicm wanakwenda mpaka arusha kupora ardhi kule burka na tengeru na kuwauzia makaburu
 
Back
Top Bottom