Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,990
- 4,507
Na huyu eti ndiye alikuwa mstari wa mbele kutetea uzawa.Nimeshtushwa mno kwamba Mzee Idd Simba (tena) anahusika na umilikishwaji wa ardhi zaidi ya ekari laki moja kwa miaka 99, huku eraki moja ikilipiwa kati ya shs 200-500 (TUUUU) kwa mwaka! UZAWA?