Halima Mdee na wenzake watinga Bungeni licha ya CHADEMA kutangaza kuwafukuza rasmi


Dodoma. Baadhi ya wabunge kati ya 19 waliofukuzwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiingia bungeni tayari kuendelea na shughuli za Bunge jijini Dodoma, leo Ijumaa Mei 13, 2022.

Jumatano ya Mei 11, 2022 Baraza Kuu la Chadema lilitupilia mbali rufaa za wabunge hao 19 kupinga uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho kuwafukuza uanachama kwa tuhuma za usaliti kwa kukubali kwenda kuapishwa kuwa wabunge kinyume na msimamo wa chama hicho kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Wanatafuta uchokozi.
 
Kweli katiba mpya pekee haitoshi!!
Sheria zipo hazifuatwi...tuanze kufundishana kuwalazimisha watawala kufuata sheria.

Sasa Bi Mkora anajipendekeza kuongea na Mbowe ili iweje wakati anaendekeza upumbavu kama huu?!


Kwa uelewa wangu heunda alimwambia kama hao wakitoka bungeni atawaleta wengine? sioni ubaya maana aliesababisha hizi vurugu ni Mwendazake so sio mbaya kuanza upya
 
Ila jamani naomba mwenye taarifa anijuze, hivi tangu hawa watu 19 waingie bungeni CDM haipokei ruzuku kupitia wao?,naamini chama chochote kinapata ruzuku kutokana na namba ya wabunge wake waliopo bungeni.
CDM waliweka wazi juzi tu kuwa huwa hawapokei ruzuku na serikali iliamin hawataweza kusurvive bila ruzuku.
 
Bado ni wabunge maana Chadema bado haijapeleka barua rasmi kwa Spika juu ya kufukuzwa kwao chamani
Barua imeshifika na imepokelewa, tunasubili reply. Ila hata hao wasaliti wanasubiri hiyo hiyo reply ambayo hatujui inaweza kuwa ya mchongo au haki. Waache walambe posho zao kwa mara ya mwisho..!
Screenshot_20220513-114754.png
 
hii nchi mwendazake alitaka kuiharibu vibaya sana, sema mkono wa Bwana umetuokoa !! mambo kama haya ni aibu kubwa kimataifa, looks like we're not organized & uncivilized.
Ni mwaka sasa huyo mwenda zake hayupo!

Ni wakati sasa hao waliopo warekebishe hayo mnayosema alitaka kuharibu.

Itafika wakati hata waume zenu wakishindwa kupandisha jogoo zao mtungi mtamsingizia mwendazake
 
Ni mwaka sasa huyo mwenda zake hayupo!

Ni wakati sasa hao waliopo warekebishe hayo mnayosema alitaka kuharibu.

Itafika wakati hata waume zenu wakishindwa kupandisha jogoo zao mtungi mtamsingizia mwendazake
yes, waambie na hao wanao bwabwaja Bungeni kila uchao wakome!! waiache awamu ya sita ifanye kazi.
 

Dodoma. Baadhi ya wabunge kati ya 19 waliofukuzwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiingia bungeni tayari kuendelea na shughuli za Bunge jijini Dodoma, leo Ijumaa Mei 13, 2022.

Jumatano ya Mei 11, 2022 Baraza Kuu la Chadema lilitupilia mbali rufaa za wabunge hao 19 kupinga uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho kuwafukuza uanachama kwa tuhuma za usaliti kwa kukubali kwenda kuapishwa kuwa wabunge kinyume na msimamo wa chama hicho kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020.

Manake hapo nchekee tu
 
Huyo Esta Matiko atolewe nje kavaa hovyo kama alivyotolewa yule mbunge mwingine kipindi kile
 

Dodoma. Baadhi ya wabunge kati ya 19 waliofukuzwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiingia bungeni tayari kuendelea na shughuli za Bunge jijini Dodoma, leo Ijumaa Mei 13, 2022.

Jumatano ya Mei 11, 2022 Baraza Kuu la Chadema lilitupilia mbali rufaa za wabunge hao 19 kupinga uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho kuwafukuza uanachama kwa tuhuma za usaliti kwa kukubali kwenda kuapishwa kuwa wabunge kinyume na msimamo wa chama hicho kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Hayo ni mapambio chadema ni mpango wa Mungu, Kama hawatajibu mamlaka Mungu atajibu,
Kwanza wanaonesha upunguani kwamba hata katiba ya nchi hawajui ,na wapo pale hata kanuni za Bunge hawajui ,unaendaje bungeni wakati huna chama ,watapigwa na fedhea sio ya nchi hii, watu wamengangana mfunga Mbowe imeshidikana sasa wanadhani wanaweza shindana na chama chao
 
hii nchi mwendazake alitaka kuiharibu vibaya sana, sema mkono wa Bwana umetuokoa !! mambo kama haya ni aibu kubwa kimataifa, looks like we're not organized & uncivilized.
mkuu kama kalio lako limeubwa kupata tabu litapata tabu bila iwepo wa jpm.

umeokolewa na mkono wa sweta wa bwana wako.
 
Hayo ni mapambio chadema ni mpango wa Mungu, Kama hawatajibu mamlaka Mungu atajibu,
Kwanza wanaonesha upunguani kwamba hata katiba ya nchi hawajui ,na wapo pale hata kanuni za Bunge hawajui ,unaendaje bungeni wakati huna chama ,watapigwa na fedhea sio ya nchi hii, watu wamengangana mfunga Mbowe imeshidikana sasa wanadhani wanaweza shindana na chama chao
mkuu hakuna mtu timamu anayefatilia kwa umakini yanayoendelea.

watu wako busy na gharama maisha yao,hayo ni maisha ya akina halima na wenzake.
 
Kuna mtu au taasisisi inawapa kiburi
Kuna invisible hand hapo,kama walivyotinga bungeni mwanzoni.
Kwa maelezo ya Mbowe walikataa kata kata kuomba msamaha.
Labda wanataka kucheza na mahakama kama Zitto alivyofanya alipofukuzwa Chadema.
Lakini wakifanya hivyo,watayumbisha chama.
 

Dodoma. Baadhi ya wabunge kati ya 19 waliofukuzwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiingia bungeni tayari kuendelea na shughuli za Bunge jijini Dodoma, leo Ijumaa Mei 13, 2022.

Jumatano ya Mei 11, 2022 Baraza Kuu la Chadema lilitupilia mbali rufaa za wabunge hao 19 kupinga uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho kuwafukuza uanachama kwa tuhuma za usaliti kwa kukubali kwenda kuapishwa kuwa wabunge kinyume na msimamo wa chama hicho kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Waacheni wapige pesa tatizo sio wao tatizo ni bunge😀😀
 
Back
Top Bottom