MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,557
- 24,182
Mkuu sijui hii kesi iliishia wapi.
Hivi ilifikia wapi? Si Mh Mbowe aliipeleka hii issue mahakamani akafungua kesi, ili mahakama itafsiri hicho kifungu cha sheria... imepotelea wapi hiyo kesi?