Hana mume.Maneno aliyosema Halima, anaweza kumwambia baba yake? Au mumewe?
Hana mume.Maneno aliyosema Halima, anaweza kumwambia baba yake? Au mumewe?
Refer kauli ya majuzi ya EL kuwa kura hazikuhesabiwa vizuri uchaguzi mkuu 2015.Very good, mkuu !!
Hizi ndizo arguments zinazotakiwa kutolewa na GT yeyote....
Na kwa kuongezea tu ktk hoja yako hiyo, ni kwamba, ukiona kiongozi yuko "too defensive" ambayo hii ni moja ya sifa nyingi za viongozi waoga na wasiojiamini tambua mara moja kuwa kaupata uongozi huo kwa njia zisizo halali !!
Na kwa case hiyo, anakuwa anatumia kila njia yenye gharama yoyote île within his/her capacity kulinda nafasi yake....
Na kwa huyu Magufuli wetu, hana lolote. Anaangukia kwa viongozi wa namna hii !!
Huyo si babake wala mumewe bali ni kiongozi wa nchi ambaye inatakiwa aongoze kwa kufuata njia sahihi na si vitisho na kudhani mawazo yake ni sahihi wakati wote!!! .Maneno aliyosema Halima, anaweza kumwambia baba yake? Au mumewe?
Kwa mtu kama huyu Tanzania itatokaje hapa ilipokwama kwenye umaskini?! Na hawa ndiyo wafuasi wa Maghufuli na serikali yake!! [emoji40] [emoji85]Wee upo Tandale kwa Tumbo unatoa mfano wa Marekani, nlijua mtamuonya huyo kichaa wenu kumbe lawama sasa kulaum kutasaidia nini, hilo lijitu limefukuzwa Bungeni likaona halitasikika ndio maana kajitoa ufaham huku akijua wapo watu wanaolipwa mishahara kupambana na wavuta bangi kama yeye
Maajabu mengine haya kati ya USA na Tz ni wapi ujinga bado ni tatizo?!Hamia Marekani wanakotukana rais wao pia mashoga wanaruhusiwa kuoana!! Shida yako nini?? Tanzania atujafikia ujinga huo wa kizungu!
Kama hatutopenda kutumia busara basi itakuwa shida sana, kwani Lema alivyokaa mahubusu siku zote ulifnya nini. Tusishadadie wenzetu kukaa mahabusu wakati wewe unakula maisha uraiani
Rafiki yangu, mwl aliwataja maadui wa tatu wa taifa, mpaka leo wote wamesimama na nguvu tele, mabadiliko yapo lkn linganisha na hatua zilizopigwa na nchi nyingine tulizokuwa sawa. Kwa mfano nchi kama Eritrea(nchi ambayo wananchi wanaikimbia) unaweza usiamini elimu na afya ni bure. Nchi nyingi zimeimaliza malaria kwetu unaogoza Kwa kupuguza nguvu kazi, na yote yanayofanyika siyo mabadiliko tuliyoyapanga ni sawa na Burudi, DRC na wao wanayo ya kujivunia pamoja na vita. Lakini nchi yenye amani, upole, bado tulivyo na hakika yale maneno ya mzee kinguge ccm imekata pumzi yatasimama, sasa ni one man show kila mmoja ameweka akili mfukoni kulinda ugali basi. Ukweli watu waamue 2020 waondoke.Tumia kiswahili tu ndugu itakusaidia zaidi. Isingekuwa hiyo ccm hata hapo kwenu pasingekuwa palivyo leo zunguka upaangalie vizuri.
Inawezekana pia kwani ili "UFYATUE" si lazima tuvue nguo.kamtukana Rais kimantiki..hana adabu lazima aendelee kushughulikiwa. namnukuu
"eti ipo siku atatuambia tutembee hatujavaa nguo za juu na ni lazima tutii"
kimantiki ni tusi kubwa kwa Rais wa Jamhuri..
wacha anyooshwe tu hamna namna..
kamtukana Rais kimantiki..hana adabu lazima aendelee kushughulikiwa. namnukuu
"eti ipo siku atatuambia tutembee hatujavaa nguo za juu na ni lazima tutii"
kimantiki ni tusi kubwa kwa Rais wa Jamhuri..
wacha anyooshwe tu hamna namna..
Tatizo lako ni slavery mentality ndio inakusumbua unafikiri mzungu hawezi kuwa mjinga. Kwa taarifa yako wazungu wajinga wapo wengi tu! Lakini hata Africa wapo wajinga kama wewe na mbaya zaidi hujui kama una ujinga wa kitumwa. Soma taarifa hii hapa chini ya tarehe 02/02/1835 iliyoko maktaaba moja UK London ili ujiokowe kutoka kwenye utumwa wa akiliMaajabu mengine haya kati ya USA na Tz ni wapi ujinga bado ni tatizo?!
Cairo's
Kwa mtu mwenye akili timamu haitaji uwe na elimu ya juu kugundua hili, kila anaezungumza au kila litalotea sentensi ya mwisho tusubiri 2020. Ndio maana narudia tena hao viongozi weru wa upinzani hawafanyi mambo ya manufaa kwetu ila wanataka wapate faida ya 2020, ili wakati wa kampeni iwe ndio sera mi nilikaa jela miezi 4 kwa ajili ya kutetea wananchi hakuna jipya hapo.Rafiki yangu, mwl aliwataja maadui wa tatu wa taifa, mpaka leo wote wamesimama na nguvu tele, mabadiliko yapo lkn linganisha na hatua zilizopigwa na nchi nyingine tulizokuwa sawa. Kwa mfano nchi kama Eritrea(nchi ambayo wananchi wanaikimbia) unaweza usiamini elimu na afya ni bure. Nchi nyingi zimeimaliza malaria kwetu unaogoza Kwa kupuguza nguvu kazi, na yote yanayofanyika siyo mabadiliko tuliyoyapanga ni sawa na Burudi, DRC na wao wanayo ya kujivunia pamoja na vita. Lakini nchi yenye amani, upole, bado tulivyo na hakika yale maneno ya mzee kinguge ccm imekata pumzi yatasimama, sasa ni one man show kila mmoja ameweka akili mfukoni kulinda ugali basi. Ukweli watu waamue 2020 waondoke.
Mkuu hapo kuna ukweli, wamefanikiwa kuteka fikra zetu, wakatujaza za kwao. Ndo maana tunatawaliwa kila eneo. Utumwa wafikra ndo mbaya sana.Tatizo lako ni slavery mentality ndio inakusumbua unafikiri mzungu hawezi kuwa mjinga. Kwa taarifa yako wazungu wajinga wapo wengi tu! Lakini hata Africa wapo wajinga kama wewe na mbaya zaidi hujui kama una ujinga wa kitumwa. Soma taarifa hii hapa chini ya tarehe 02/02/1835 iliyoko maktaaba moja UK London ili ujiokowe kutoka kwenye utumwa wa akiliView attachment 538939
Kama si mawazo ya kitumwa hao hao viongozi wako wapendwa wasingesaini mikataba ya mrahaba wa 3% tena kwa miaka 100. Kabla ya kuhukumu watu wenye mawazo tofauti ihukumu kwanza hiyo nyumba inayotutawala.Tatizo lako ni slavery mentality ndio inakusumbua unafikiri mzungu hawezi kuwa mjinga. Kwa taarifa yako wazungu wajinga wapo wengi tu! Lakini hata Africa wapo wajinga kama wewe na mbaya zaidi hujui kama una ujinga wa kitumwa. Soma taarifa hii hapa chini ya tarehe 02/02/1835 iliyoko maktaaba moja UK London ili ujiokowe kutoka kwenye utumwa wa akiliView attachment 538939
Lengo lako wanyamaze siyo?, au unataka waseme 2018 ili wavunje katiba, wao ni kinywa cha wasio na sauti unayoogopa kuyasema wanaweza, wamefanikiwa sana ukifikiri walipotutoa kwenye kutoa hoja za kitaifa na kufanya ccm na serikal yenyewe kujitathimini ungetamani hata wawe wengi kuliko ccm. Wanamawazo mbadala. Sasa ukiwa na wabunge Wa ccm peke yake si bora wasiwepo tuiche serikali iamue inavyotaka, Kwa sababu wao ndiyo kila k2 ndiyo uzalendo. Hakuna mtu anaktaka jela pasikie tu. Utapiga haya kama wewe ni shabiki wa siasa au mlevi kabisa na haujui siasa zina athari ngani katk maisha yako ya kila siku.Kwa mtu mwenye akili timamu haitaji uwe na elimu ya juu kugundua hili, kila anaezungumza au kila litalotea sentensi ya mwisho tusubiri 2020. Ndio maana narudia tena hao viongozi weru wa upinzani hawafanyi mambo ya manufaa kwetu ila wanataka wapate faida ya 2020, ili wakati wa kampeni iwe ndio sera mi nilikaa jela miezi 4 kwa ajili ya kutetea wananchi hakuna jipya hapo.
Unaugua ugonjwa wa kutokujitambua, sasa huyo mvuta bangi mwenzio anayoyafanya ndio Tanzania itaondoaka katika Umasikini siyoKwa mtu kama huyu Tanzania itatokaje hapa ilipokwama kwenye umaskini?! Na hawa ndiyo wafuasi wa Maghufuli na serikali yake!! [emoji40] [emoji85]
Cairo's
Ngoja nikueleze kwa lugha ya hao mabwenyenye unaowahusudu labda utanielewa "Don't argue with a fool; People might not notice the difference".Kama si mawazo ya kitumwa hao hao viongozi wako wapendwa wasingesaini mikataba ya mrahaba wa 3% tena kwa miaka 100. Kabla ya kuhukumu watu wenye mawazo tofauti ihukumu kwanza hiyo nyumba inayotutawala.
Cairo's
Sasa aliyemwambia ni baba yake au mumewe? Majibu unayo, unajitoa fahamuManeno aliyosema Halima, anaweza kumwambia baba yake? Au mumewe?