Lile jimbo la CCM, na wamemwaga posters kila kona, kila mti mpaka kwenye mitaro ya maji machafu. Halima hawezi kushinda.
Posters hazina lolote - mimi binafsi nikiwa safarini weekend (bagamoyo) ambako posters zimeshamiri - na vijiji nje kidogo ya Bagamoyo - zimewekwa kwenye nyumba, minazi eti na nyingi mno - lakini nilijaribu kumdadisi mzee mmoja nikwamwambia naona huku wote ni ccm?? akajibu "lo! sasa hivi akili kichwani, usidanganyike na mapicha haya, kila mtu ana akili yake - tumechoka sana - akalalamika hasa kuhusu shule kuwa mtoto akikosa hata shs. 500/ anarudishwa - sasa ccm ya nini? Akaongezea kuhusu hospital na kero za maji" -
KAWE HALIMA ANACHUKUA - TENA KIULANI .............. WATU WANAMSIKILIZA SANA KWENYE CAMPAIGN ZAKE NA WANAKUWA WENGI MNO - HANA RUSHA ROHO WALA NINI - YEYE TU - ANAKUBALIKA............................. KWANI KAWE CHADEMA (SLAA) ANAKUBALIKA PIA SO....................HALIMA KURA NI ZAKE - TUNAAMINI HIVYO................... SERA ZAKE ZA UHAKIKA PIA ANAZO
SHE IS NOT ONLY BEAUTIFUL, BOND AND COURAGEOUS BUT SHE IS ALSO INTELIGENT TOO!
HALIMA KAZA BUTI MAMA - TUKO NYUMA YAKO --