Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,582
Mamlaka hiyohiyo unayojigamba umeiweka ndo hiyohiyo kila kukicha inaibiwa pesa na kushindwa kuwakamata wezi, ndio hiyohiyo ndani yake kuna watu wanaihujumu kwa kila namna,ndo hiyohiyo wezi wakiiba huambiwa rudishen tu YATOSHA, ndo hiyohiyo ambayo inashindwa kuwahudumia wananchi wake kupata maji safi,elimu bora,maji,huduma za afya ukiwemo na wewe mwenyewe mdau katumbiliKwahiyo yeye akajua tayari anaweza kuamka tu ameshiba makande yake na kwenda ikulu, ajifunze kuheshimu mamlaka ya nchi asipoiheshimu mamlaka iliyowekwa na sisi wananchi kwa wingi wetu atapigwa tu
Last edited by a moderator: