Halima Mdee akamatwa na polisi

Halima Mdee akamatwa na polisi

Status
Not open for further replies.
Pongezi nyingi sana kwa jeshi la polisi nchini. hongera sana igp mangu
 
Mkuu fcha upumbavu. Unajua nn alipost mwanzo we kengemaji au unaona alivyoedit tu?
wewe imekuuma sana mm kuwahama? Kwann unahasira namimi?..... Nimesema ninyi si size yangu kabisa watafuteni akina nape, laki si pesa nk
 
Hivi hii migamba ni lini itaacha kuvunja sheria za nchi? Kuandamana ni haki ya kikatiba ya kila raia wa nchi hii. Sasa kwanini migamba iwahujumu CHADEMA kwa kuzuia maandamano yao bila sababu zozote za msingi?

Haki gani?
 
Yaani wanaume wameshindwa wameona wawapeleke wanawake.
Kama ulivyoliza hapo juu,wanaandamania nini.
Yaani wao wanasema eti lengo ni kwamba Raisi asiipokee Katiba Pendekezwa.
Ataachaje kuipokea wakati yeye ndio alietaka iwepo.

Mie nimenda sana Zanzibar ilivyo,yaani huku watu wanalalamika lakini wapo kimyaa,maana wanajua kama maamuzi wanayo wao siku ya kupiga kura.Watu wanafanya shughuli zao za kimaisha.
 
Jitathimini kwanza huna ubavu wa kusimama nami ulingoni.... Watafute msalani, simiyu yenu, thatha, hammy d nk mm si size yako ngedere wewe

tukana sana mwisho utachezea koki tu

wewe imekuuma sana mm kuwahama? Kwann unahasira namimi?..... Nimesema ninyi si size yangu kabisa watafuteni akina nape, laki si pesa nk

Ndiyo umetoka kazini nn? Maana unaspid kama ya fisi

basi bora mm dona we sembe isiyo hata na maana... Unazidiwa akili na panya mjinga mkubwa wewe.... Kabebeni buku saba zenu mnakera aaaaaa

Hata mama yako pia

Jitathimi upya.... Hujui haki hii sasa we sawa tu mbuzi asiye jua lolote
Unajitahidi sana ku comment ila Unatujazia tu saver maana unaandika upuuzi. Bora ukalale, si umekula ugali wa mama hapo umeshiba? Maana nyie magoli kipa mna tabu sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom