Halima Mdee akamatwa na polisi

Halima Mdee akamatwa na polisi

Status
Not open for further replies.
Jitathimini kwanza huna ubavu wa kusimama nami ulingoni.... Watafute msalani, simiyu yenu, thatha, hammy d nk mm si size yako ngedere wewe


Utachapwa nao tu mpaka upate akili....

Stress za maisha zimekumaliza akili
 
angajua angemuomba kibali kikwete wakati wanafungua hiyo barabara ya tegeta...
_hawa police wetu dawa yao ni JWTZ tu

Kwani halima sio mjeshi si nilikutana naye kule mafunzoni alikuja kujifurahisha ukweli hakuna alie juu ya sheria Halima alitaniwa tu na Mweshimiwa cha kufurahisha Dr JK mwenyewe Hayupo DAR yupo mkoa sasa hawa jamaa si walikuwa wanaenda kusumbua wale Tausi wa ikulu ndiyo maana wakatawanywa ""NA WAPIGWE TU"' nimenukuu jamani lkn muwe mnatumia sim basi mngempigia sim kama yupo kisha muende Halima sawa usirudie tena pale siyo Kawe Kijiweni
 
Khaa!! Wapigwe tu. Ndiyo demokrasia inavyofanya kazi Dunia ya tatu
 
Leo kulikua na maandamano ya baraza la wanawake CHADEMA yaliokuwa yanaelekea ikulu kudai kuchakachuliwa kwa rasimu ya katiba yakiongozwa na mwenyekiti Halima Mdee, polisi wakaingilia na wakawatanya pia kumkamata Halima Mdee, kwa sasa yupo mbaroni.

Chanzo: ITV Breaking News

Wanaandamana Tanzania. Huku siyo Misri jamani. Angalieni yaliyotokea Libya. Kabla ya kufanya mambo kama hayo.
 
walitaka kuonana na raisi ; inaonyesha ata tv hawaangalii jana raisi anafungua hosp dodoma; kwanini wasimsubiri au wafuate ziara ya bukoba; kwani chadema hipo dar ; tumia akili , mburula wa cdm ; watafute kina mama wa dodoma au bukoba,

Amka wewe, inaelekea huelewi hata kuwa Ikulu si tu ni residence ya Raisi bali ni Ofisi pia.

Sasa akiwa Dodoma au Bukoba kwani anahama na Ofisi? Lazima kila wakati kuna mtu anaachiwa Ofisi hata kama Mkuu hayupo, maandamano yangefika yangepokelewa tu na mtu mbadala.
 
Tumeshawachoka na mifano yenu hiyo hiyo kila kukicha, Mnavunja amani ya nchi mkiulizwa, eti oo maji hakuna, hela zimeibiwa, ajira hakuna sijui nini. Mifano ya kipumbavu, hata marekani huduma za jamii hazijakamilika, acheni upuuzi.
Kinachowasumbua wewe Ghosryder katumbili and Co, ni kwamba kila mtu anayekosoa hapa ni mwanachama au mpinzani,yaani hii homa itawatesa sana,mkishaambiwa ukweli mnadhan labda huyu wa chama fulani cha upinzani,humu ndani kuna kundi kubwa la watu ambao hawana vyama na wanatoa maoni yao aidha kwa kuisifia serikali au kuikosoa,na pia kuna wana CCM wenzenu ambao nao wanaiponda CCM.
Ukisema Marekani hakuna ajira so uka-justify kuwa na hapa tusiwe na ajira unaonesha ni jinsi gani upeo wako ulivyo mdogo,maana huyo mmarekani unayemtaja kuwa ana tatizo la ajira anakusaidia wewe mpaka chandarua,unaposema huduma za kijamii marekani hazijakamilika utuambie basi ni kwa jinsi gani marekani kuna shida ya maji na kwa kiasi gani wana mgao wa umeme au shule zao hazina madawati watoto wao wanakaa chini.Ukianza kujibu hoja kimtazamo wa kichama utapotea,Dar es Salaam mpaka leo kuna watu wanakunywa maji ya visima na kuoga hayohayo na mto ruvu haupo Kilomita mia from Dar es Salaam.
Kama mambo mazuri yapo tutasema,ukiniuliza JK amefanya nini kwa miaka yake kumi ntakwambia amejitahidi sana kwenye BARABARA,japo zinabomoka haraka na atleast uhuru wa kujieleza.
Nikuache na itikad zako za chama chako.
 
Last edited by a moderator:
Picha tafadhali

attachment.php
 
Kazi ya polis wa tanzania ni kuilinda ccm na watawala na sio wananchi. Hata polis wakiwa mafunzoni hufundishwa namna ya kupambana na wapinzani huku wakiilinga ccm na viongozi wake.
 
Leo kulikua na maandamano ya baraza la wanawake CHADEMA yaliokuwa yanaelekea ikulu kudai kuchakachuliwa kwa rasimu ya katiba yakiongozwa na mwenyekiti Halima Mdee, polisi wakaingilia na wakawatanya pia kumkamata Halima Mdee, kwa sasa yupo mbaroni.

attachment.php


Chanzo: ITV Breaking News

hivi mwanamke anaweza kukamatwa na mwanaumea au sheria ipi
 
kifo.jpg
Police wangetusaidia kumkamata huyuo jmaa aliyebebeda tofali, so kupoteza resource kuhangaika na kina Mdee
 
hivi nyie chadema tukiwapa nchi mtaiweza ?au mnaongea tu ili muingie darakani muanze kujineemesha nyie na matumbo yenu..tumewachoka na fujo zenu.kila kukicha nyie tu.mbona tanzania vyama vya siasa viko vingi?nyie ndo mna uchungu?mmefulia sana mnapenda fujo wakati sisi tumezoea amani.
 

Acha ububusa kijana, Rais Ni taasisi sio mtu . Hawa walikuwa na haki yakupigwa, ni wahuni tu hawa.

Hajaalikwa na ikulu bali kikwete binafsi alimualika na kama unavyojua halima anapendwa na watu wakaona bora waungane nae kuelekea ikulu.
 
hivi mwanamke anaweza kukamatwa na mwanaumea au sheria ipi

Huyo askari kanzu mwenye shati jeupe ni wa kukamatwa maana "hakuna serikali yeyote duniani inayoongozwa bila miiko" huyo mjeda kavunja miiko/maadili ya uongozi/kazi ni wa kushitakiwa hao madada kuna mmoja hapo ni askari hao ndio wanatakiwa kumkamata na sio huyo njagu wa kiume.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom