mkafrend
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 3,045
- 1,503
Leo kulikua na maandamano ya baraza la wanawake CHADEMA yaliokuwa yanaelekea ikulu kudai kuchakachuliwa kwa rasimu ya katiba yakiongozwa na mwenyekiti Halima Mdee, polisi wakaingilia na wakawatanya pia kumkamata Halima Mdee, kwa sasa yupo mbaroni.
Chanzo: ITV Breaking News
Hao wapigwe tu, wanachafua mahali kutakatifu bila sababu yoyote! Wanataka tanzania iwe iraq? Siria? au Jamhuri ya Afrika ya Kati?
Tanzania huru, kwa mipaka ya uhuru!