Hali ya Komredi Kinana

Hali ya Komredi Kinana

Polepole kaumbuka sana, siku moja tu baada ya kusema Kinana kapewa likizo ya ugonjwa mgonjwa kaibuka, dah pole sana Polepole.
ukiwa likizo huruhusiwi kwenda kwenye msiba...??
Polepole alisema Kinana yuko likizo baada ya ugonjwa....Tatizo mmeshikiwa akili na mwebyekiti wenu aliyepiga zero.
 
ukiwa likizo huruhusiwi kwenda kwenye msiba...??
Polepole alisema Kinana yuko likizo baada ya ugonjwa....Tatizo mmeshikiwa akili na mwebyekiti wenu aliyepiga zero.

Katibu wenu Mashinji yuko wapi?
Nimeamini yale maneno yako kwamba Komredi atakuwepo msibani BTW
Hili la mashinji huku linahusikaje ?
 
Kulikuwa na sintofahamu kubwa ya alipo Katibu mkuu wa ccm Komredi Kinana... Yamesemwa mengi yamezushwa mengi mengine ya kweli na mengine ya uongo
Tukio la msiba mkubwa wa Arusha limemleta upenuni Komredi Kinana, akionekana mwenye afya na siha iliyotakata....Ni matumaini yetu sasa atarudi ofisini baada ya likizo aliyopewa na chama kwasababu za kiafya (kwa mujibu wa bwana Polepole katibu mwenezi)

DAIMA UONGO HUPANDA LIFT LAKINI UKWELI HUKWEA NGAZI...

Jifunze kutofautisha kati ya maumivu ya ndani ( ya kimoyo na kihisia ) na mwonekano wa nje wa Mtu ili kuwahadaa Watu.
 
Nchi hii ina vijana WAPUUZI kweli kupita maelezo including mleta MADA....sasa what do you want to tell us hapa??????maana ukisoma vizuri andiko lako ni kwamba kinana Ana mgomo wa KURUDI OFISINI......yaani hamanaga vitu vya maana vya kudiscuss tofauti na stori za CCM kila kukicha
Lengo lenu ni kutaka kuona CCM iliyo vipande vipande.......hiyo msahau kabsa.....


Mbona iko vipande tayari? Kama mwenyekiti wa umoja wa wanawake katimuliwa uanachama tu hali itakuwaje sawa?
 
Nchi hii ina vijana WAPUUZI kweli kupita maelezo including mleta MADA....sasa what do you want to tell us hapa??????maana ukisoma vizuri andiko lako ni kwamba kinana Ana mgomo wa KURUDI OFISINI......yaani hamanaga vitu vya maana vya kudiscuss tofauti na stori za CCM kila kukicha
Lengo lenu ni kutaka kuona CCM iliyo vipande vipande.......hiyo msahau kabsa.....
how crazy are you??
 
ufahamu wa kuchambua mambo wa JF member taratibu unakwenda ukipotea tatizo ni Mange kumfanya ndio mtafiti na mchambuzi. member sasa wamekuwa Wadaku sio tena watu wakuchambua maswala mbalimbali akili imeshakuwa mgando akili zimeshalemazwa na dada moja wa USA imefikia stage tukio linatokea kinondoni member wa JF anasubiri mtu wa USA ndio atakuwa na FACT zaid yake yeye member anayeishi magomeni...
 
Nchi hii ina vijana WAPUUZI kweli kupita maelezo including mleta MADA....sasa what do you want to tell us hapa??????maana ukisoma vizuri andiko lako ni kwamba kinana Ana mgomo wa KURUDI OFISINI......yaani hamanaga vitu vya maana vya kudiscuss tofauti na stori za CCM kila kukicha
Lengo lenu ni kutaka kuona CCM iliyo vipande vipande.......hiyo msahau kabsa.....
Sana tu ccm lazima ibongoronyoke ili watanzania tuwe huru
 
wewe binafsi umemuona ni mzima kiafya lkn Daktari wake ndiye anajua afya yake kitaalamu na kumpa ushauri.
watanzania jifunzeni kuheshimu mambo ya faragha ya mtu binafsi!

wacheni speculation!!!
 
Nchi hii ina vijana WAPUUZI kweli kupita maelezo including mleta MADA....sasa what do you want to tell us hapa??????maana ukisoma vizuri andiko lako ni kwamba kinana Ana mgomo wa KURUDI OFISINI......yaani hamanaga vitu vya maana vya kudiscuss tofauti na stori za CCM kila kukicha
Lengo lenu ni kutaka kuona CCM iliyo vipande vipande.......hiyo msahau kabsa.....

Kijana wa Lumumba usipanic sana hayo yalikuwa maoni yake bana ambayo waweza kuyachukua au kuyaacha..umekunywamaji ya chama hadi avatar yako umeweka rangi ya chama.. But i hope atarudi ofisini coz anaonekana ana afya njema kabisa tangu atoke India.
 
ufahamu wa kuchambua mambo wa JF member taratibu unakwenda ukipotea tatizo ni Mange kumfanya ndio mtafiti na mchambuzi. member sasa wamekuwa Wadaku sio tena watu wakuchambua maswala mbalimbali akili imeshakuwa mgando akili zimeshalemazwa na dada moja wa USA imefikia stage tukio linatokea kinondoni member wa JF anasubiri mtu wa USA ndio atakuwa na FACT zaid yake yeye member anayeishi magomeni...

Umejuaje ndugu..? kila mwanadamu ana jinsi au namna ya kuchukulia mambo. Inaonekana hata wewe hujafanya utafiti wa kuangaliani asilimia ngapi ya watu wanaomfuata Mange ukiwemo na wewe!!
 
wewe binafsi umemuona ni mzima kiafya lkn Daktari wake ndiye anajua afya yake kitaalamu na kumpa ushauri.
watanzania jifunzeni kuheshimu mambo ya faragha ya mtu binafsi!

wacheni speculation!!!
Totally wrong and Misleaded
 
Nchi hii ina vijana WAPUUZI kweli kupita maelezo including mleta MADA....sasa what do you want to tell us hapa??????maana ukisoma vizuri andiko lako ni kwamba kinana Ana mgomo wa KURUDI OFISINI......yaani hamanaga vitu vya maana vya kudiscuss tofauti na stori za CCM kila kukicha
Lengo lenu ni kutaka kuona CCM iliyo vipande vipande.......hiyo msahau kabsa.....
Sasa povu la nini Bashite? Truth is...Kinana hapendi upuuzi wenu na alikwishajiuzulu!
 
Demokrasia hufanya mambo kujiziba haibu zake hata km italeta tatizo kwa walio wengi lkn wachache wenye mamlaka wawe salama. DEMOKRASIA N MFUMO ULIOJAA DHULMA NA UBAGUZI HASA UNYONYAJI. welcome KINANA.
 
Nchi hii ina vijana WAPUUZI kweli kupita maelezo including mleta MADA....sasa what do you want to tell us hapa??????maana ukisoma vizuri andiko lako ni kwamba kinana Ana mgomo wa KURUDI OFISINI......yaani hamanaga vitu vya maana vya kudiscuss tofauti na stori za CCM kila kukicha
Lengo lenu ni kutaka kuona CCM iliyo vipande vipande.......hiyo msahau kabsa.....
wasiojielewa bwanaa,
kwani hili jukwaa la nn
 
Back
Top Bottom