Hali ya Komredi Kinana

Hali ya Komredi Kinana

Honest sina muda wa kubishana na nyie......maana mnacheza mziki wa CCM kwa kutikisa vichwa bila ya nyie wenyewe kujitambua.......KESHO TENA POLE POLE asipoonekana ofisini mtacheza tena MZIKI WA CCM huku siku zinazidi kuyoyoma na kushindwa kuhoji mambo ya msingi kwa mstakari wa NCHI HII......kwa mfano tu....ikitokea KINANA akajiuzulu CCM hiyo itakuwa na impact ipi kwa mustakari wa maisha ya MTANZANIA????????....SHAURI ZENU NA UPUUZI WENU
Mstakari
Mustakari ni misamiati gani hii?
 
Nchi hii ina vijana WAPUUZI kweli kupita maelezo including mleta MADA....sasa what do you want to tell us hapa??????maana ukisoma vizuri andiko lako ni kwamba kinana Ana mgomo wa KURUDI OFISINI......yaani hamanaga vitu vya maana vya kudiscuss tofauti na stori za CCM kila kukicha
Lengo lenu ni kutaka kuona CCM iliyo vipande vipande.......hiyo msahau kabsa.....
Wapuuzi ni nyinyi lumumba bk7. Baada ya kuchangia hoja unachangia "vijana WAPUUZI wa nchi" wewe ukiwemo. Vwonder vitajengwa kwa upuuzi huu wa wapuuzi
 
Nchi hii ina vijana WAPUUZI kweli kupita maelezo including mleta MADA....sasa what do you want to tell us hapa??????maana ukisoma vizuri andiko lako ni kwamba kinana Ana mgomo wa KURUDI OFISINI......yaani hamanaga vitu vya maana vya kudiscuss tofauti na stori za CCM kila kukicha
Lengo lenu ni kutaka kuona CCM iliyo vipande vipande.......hiyo msahau kabsa.....
Povu la nini sasa?OMO? ARIEL? CLEAN SoFT? Au TOSS?

Hivi wewe mtoto ni wa kumtukana mshana jr kweli kisa mapenzi ya chama chenu cha kushibia?

,

HUNA ADABU.
 
Nchi hii ina vijana WAPUUZI kweli kupita maelezo including mleta MADA....sasa what do you want to tell us hapa??????maana ukisoma vizuri andiko lako ni kwamba kinana Ana mgomo wa KURUDI OFISINI......yaani hamanaga vitu vya maana vya kudiscuss tofauti na stori za CCM kila kukicha
Lengo lenu ni kutaka kuona CCM iliyo vipande vipande.......hiyo msahau kabsa.....
MJIREKEBISHE HAMTA KUTANA NA MADA KAMA HIZI!
 
Ili CCM i survive Comrade Kinana ni mtu muhimu kwenye chama hicho. Ni wakati muafaka kwa mwenyekiti achukue tahadhari za haraka kama chama hakijaingia kwenye turmoil.
 
Honest sina muda wa kubishana na nyie......maana mnacheza mziki wa CCM kwa kutikisa vichwa bila ya nyie wenyewe kujitambua.......KESHO TENA POLE POLE asipoonekana ofisini mtacheza tena MZIKI WA CCM huku siku zinazidi kuyoyoma na kushindwa kuhoji mambo ya msingi kwa mstakari wa NCHI HII......kwa mfano tu....ikitokea KINANA akajiuzulu CCM hiyo itakuwa na impact ipi kwa mustakari wa maisha ya MTANZANIA????????....SHAURI ZENU NA UPUUZI WENU
Ndio maana kuna MTU hapo juu kakuambia hujiwezi kichwani! Umeshindwa kujua sababu ya watu kuhoji wapi Kinana na sasa kufuatilia trend ya afanyayo? Kama hujui uliza, hayo ni mambo ambayo wenye ufahamu ndio wanafuatilia.
Iko hivi, Nape kama waziri wa habari alichukizwa na kitendo cha Bashite (Toto LA sizonje) kuvamia Clouds akaamua kulichunguza kwa kuunda tume. Baba kachukia kamfukuza muunda tume, Mmakonde akaitisha waandishi azungumze, kwa Mara ya kwanza nchini waziri akavamiwa hadharani na kutishiwa bastola asiongee, Msomali anayejua historian ya mini mmakonde kafanya mpaka Sizonje yuko kwenye usajili akaja juu na kuitisha press ambayo ikazuiwa naye "kutumwa" matibabu India.
Bado unaona hilo ni jambo dogo halihitaji kufatiliwa?
 
alisemwa sana kwenye ndovu huyu leo tunamzungumza kwenye vitu gani wakuu?
 
Honest sina muda wa kubishana na nyie......maana mnacheza mziki wa CCM kwa kutikisa vichwa bila ya nyie wenyewe kujitambua.......KESHO TENA POLE POLE asipoonekana ofisini mtacheza tena MZIKI WA CCM huku siku zinazidi kuyoyoma na kushindwa kuhoji mambo ya msingi kwa mstakari wa NCHI HII......kwa mfano tu....ikitokea KINANA akajiuzulu CCM hiyo itakuwa na impact ipi kwa mustakari wa maisha ya MTANZANIA????????....SHAURI ZENU NA UPUUZI WENU
Ndio kubishana kwenyewe huko!!
 
Nchi hii ina vijana WAPUUZI kweli kupita maelezo including mleta MADA....sasa what do you want to tell us hapa??????maana ukisoma vizuri andiko lako ni kwamba kinana Ana mgomo wa KURUDI OFISINI......yaani hamanaga vitu vya maana vya kudiscuss tofauti na stori za CCM kila kukicha
Lengo lenu ni kutaka kuona CCM iliyo vipande vipande.......hiyo msahau kabsa.....
Mkuu tumia akili hilo umesema wewe. Don't go beyond the context of the author's contents. Uchungu wa mtu ni kiasi cha hasira kilicho jikusanya ndani ya moyo wake, hivyo wewe una wako na yeye ana wake. Wewe umeelewa hivo mbona ss tume elewa tofauti na hatuja andika tulivyo mwelewa? Mtajipa magonjwa ya moyo bure.
JAMII FORUM IS A HOME OF GREAT THINKER by such point of view it's only stronger can survive.
 
Nchi hii ina vijana WAPUUZI kweli kupita maelezo including mleta MADA....sasa what do you want to tell us hapa??????maana ukisoma vizuri andiko lako ni kwamba kinana Ana mgomo wa KURUDI OFISINI......yaani hamanaga vitu vya maana vya kudiscuss tofauti na stori za CCM kila kukicha
Lengo lenu ni kutaka kuona CCM iliyo vipande vipande.......hiyo msahau kabsa.....
Hayo ni maoni yako
 
Nchi hii ina vijana WAPUUZI kweli kupita maelezo including mleta MADA....sasa what do you want to tell us hapa??????maana ukisoma vizuri andiko lako ni kwamba kinana Ana mgomo wa KURUDI OFISINI......yaani hamanaga vitu vya maana vya kudiscuss tofauti na stori za CCM kila kukicha
Lengo lenu ni kutaka kuona CCM iliyo vipande vipande.......hiyo msahau kabsa.....


Naanza kuamini kuwa inahitajika "kujua kusoma na kuandika tu"
 
Back
Top Bottom