Hali ya Kiafya ya Seif Shariff Hamad

Get well soon mpiganaji, wengi bado tunaukubali mchango wako katika kupigania demokrasia na haki visiwani.
 
Hali yake inaendelea vizuri sana kwani alikuwa anasumbuliwa na Sukari kwa mujibu wa Wa Zanzibar waliopo Secundrabad walipomtembela.

Inshallah Allah atayaondosha maradhi yako haraka na uweze kurudi na kungana nasi.

sukari si angeenda loliondoo
 
ndugu zangu watanzania wenzangu,watanganyika na wazanzibar namtakia afya njema huyu kiongozi wetu wa zanzibar awe na afya njema aje awatumikie vyema watanzania wenzetu.

ila naandika hapa nikiwa nasononeka sana rohoni jinsi fedha zetu mimi na wewe zinavyotumika vibaya kwa manufaa ya wachache,achilia mbali wafanyakazi ambao wanatozwa kodi ,wafanya biashara walio makini wanaolipa kodi na sie ambao huwa tunalipa kodi kwa kila kitu tunachununua.
nachotaka kusema kwa nini serikali isiimarishe hospitali tulizonazo hapa nchini ili ziweze kuwatibu hawa viongozi wetu kuliko kuwapeleka nje ya nchi mara kwa mara na kupoteza fedha ambazo zingeliweza kujenga hospitali kubwa ambayo ingelitoa ajira kwa watanzania na kuokoa maisha yao.
jaribu kufikiria kuna wabunge wangapi,wakuu wa mikoa wangapi, makatibu wakuu wangapi,makamishina wangapi ambao wakiamua kwenda kutibiwa nje ya nchi ni kiasi gani kitatumika,
mie nashauri serikali ijenga hospitali hapa nchini ambazo zitatuhudumia sisi watu wa hali ya chini na viongozi wetu.
 
Wasiwasi na tetesi zilizagaa Visiwani Zanzibar wiki iliopita kuhusu hali ya kiafya ya makamo wa kwanza wa rais wa visiwani humo, Maalim Seif Shariff Hamad, baada ya kujulikana alilazwa hospitalini Hyderabad,nchini India.

Kutaka kujua vipi hali ya mwanasiasa huyo inavyoendelea na ugonjwa aliokuwa nao, Othman Miraji wa Sauti ya Ujerumani alizungumza naye alasiri ya jana akiwa hospitalini.

Multimedia - DW-WORLD.DE
Mungu amlinde!!!!
 
Wote tupo kwenye njia hiyo hiyo hata wewe binafsi na hata Yesu alikufa seuse maalim . wanachoogopa watu ni kutangulia.

Dhahir, kinachoogopwa sio kifo bali kifo cha kinafiki/kibaya.
Kifo wanacho kiombea ni kile cha kishujaa kama cha wale Wapemba waliopigana na kufa mashahidi kwa kile walicho aminia kuwa "haki sawa kwa wote"
sawa sawa!
 
Mtumbwi ni chombo muhimu zanzibar (seif zenji) ila ni gogo la kuachwa shambani litafunwe na mchwa Tabora (seif bara) kwa hiyo hii sredi ipelekwe ........
 
Nyongo inanipanda kusikia viongozi wetu wanakwenda kutibiwa nje ya nchi, ninatamani hata Mungu awalaani wafie huko huko kwani wanatumia ma-milioni ya dola za kimarekani kwa ajili ya matibabu nje ya nchi wakati wangeweza kujenga hosipitali hizo nchini kwetu kwa faida ya Watanzania wote !!! Kwa nini hamfi mapema ili waje viongozi wenye uchungu na nchi yao watakaojenga hosipitali hapa nchini zitakazowafaidisha watanzania wote ????
Si kila ugonjwa unatibika Tanzania,na wala haijalishi mgonjwa gani apelekwe nje au la ikiwa ana ugonjwa usiotibika hapa nchini,Cha muhimu amuombeaye mwenzake na mungu humlipa kama vile alivyomwombea mwenzake.
Mimi namwomba Mungu akusamehe kwa kuwaombea wagonjwa viongozi wafe mapema,Aidha akusamehe bure na akupe roho ya kuwaombea adui zako maisha marefu ili wewe ukija kuwa kiongozi waje kushuhudia unavyotibiwa hapahapa nchini.
 
Nyongo inanipanda kusikia viongozi wetu wanakwenda kutibiwa nje ya nchi, ninatamani hata Mungu awalaani wafie huko huko kwani wanatumia ma-milioni ya dola za kimarekani kwa ajili ya matibabu nje ya nchi wakati wangeweza kujenga hosipitali hizo nchini kwetu kwa faida ya Watanzania wote !!! Kwa nini hamfi mapema ili waje viongozi wenye uchungu na nchi yao watakaojenga hosipitali hapa nchini zitakazowafaidisha watanzania wote ????

Kijana vipi, munkari huo wote uliposikia Hamad kaenda India kutazama afya yake, Kwa taarifa yako tu Maalim Seif ni kawaida yake kucheki afya yake nje ya nchi kabla hata hajawa Makamo wa rais na wala hahitaji fedha ya chama kumpeleka huko (hili nina hakika nalo) seuze ya serikali.
Leo ndgu zetu mshasahau nchi hii ilivyorithishwa ufisadi tokea enzi za "mwalimu"?
Fedha ya baba wenu wa taifa kutengeneza meno yake nje ya nchi aliitowa wapi?

Fedha ya matibabu yake S.t Thomas aliitowa wapi? kwanini asitibiwe Muhimbili? Hivi Nyerere kakaaa madarakani miaka zaidi ya 20 ameshindwa kutengeneza miundo mbinu ya kitabibu ili viongozi wa serikali angalau watibiwe hapa hapa nchini na kunusuru fedha za mwananchi?

Haya tuseme haikuwezekana kwa kuwa yeye kazi yake ilikuwa ukombozi tu, basi hata maziko yake ndiyo yagharimu mabilioni ya fedha za mlipa kodi na kupindukia ghrama za mazishi ya Mfalme Asad wa Syria au Fahad wa Saudi Arabia, nchi ambazo ni tajiri kuliko Tanzania?
Kama Nyerere, mwalimu, kafanya na kufanyiwa hayo kawanini wengine wasifanye na kufanyiwa wakati misingi ya uongozi na mfano bora wa uongozi inadaiwa kutandikwa na yeye? kwanini isifuatwe? Ama kweli Nyani halioini ku****le!
 
Kijana vipi, munkari huo wote uliposikia Hamad kaenda India kutazama afya yake, Kwa taarifa yako tu Maalim Seif ni kawaida yake kucheki afya yake nje ya nchi kabla hata hajawa Makamo wa rais na wala hahitaji fedha ya chama kumpeleka huko (hili nina hakika nalo) seuze ya serikali.
Leo ndgu zetu mshasahau nchi hii ilivyorithishwa ufisadi tokea enzi za "mwalimu"?
Fedha ya baba wenu wa taifa kutengeneza meno yake nje ya nchi aliitowa wapi?

Fedha ya matibabu yake S.t Thomas aliitowa wapi? kwanini asitibiwe Muhimbili? Hivi Nyerere kakaaa madarakani miaka zaidi ya 20 ameshindwa kutengeneza miundo mbinu ya kitabibu ili viongozi wa serikali angalau watibiwe hapa hapa nchini na kunusuru fedha za mwananchi?

Haya tuseme haikuwezekana kwa kuwa yeye kazi yake ilikuwa ukombozi tu, basi hata maziko yake ndiyo yagharimu mabilioni ya fedha za mlipa kodi na kupindukia ghrama za mazishi ya Mfalme Asad wa Syria au Fahad wa Saudi Arabia, nchi ambazo ni tajiri kuliko Tanzania?
Kama Nyerere, mwalimu, kafanya na kufanyiwa hayo kawanini wengine wasifanye na kufanyiwa wakati misingi ya uongozi na mfano bora wa uongozi inadaiwa kutandikwa na yeye? kwanini isifuatwe? Ama kweli Nyani halioini ku****le!

Kwani nani kakwambia Nyerere alifanya sawa kutibiwa nje? Watoa hoja wanauliza kwa nini kutukia pesa nyingi kutibiwa nje
 
Wanene wakiugua wanakwenda India, S. Africa, Ulaya na kwingineko ali mradi kuwe nje ya nchi hii. Sisi wanyonge tukienda kwa babu Loliondo wanaanza kuleta mizengwe na kukataza watu wasiende huko eti kwasababu dawa zake hazina uhakika wa viwango vya ubora. Hivi wanataka sisi tufe ili wao waendelee kula inji???? Tutaenda kwa babu kwasababu uwezo wa kwenda nje ya nchi hatuna.
 
Dua la kuku halimpati mwewe.

Pole sana.

We unadhani ccm walikuwa na lengo gani walivo mpa "kitengo cha mihadarati/madawa ya kulevya"?
Ni njia rahisi ya kumpoteza,saivi kesha leweshwa ana hesabu masaa tu hahahahah
 
Have a quick death man

mkuu nimevua miwani kusoma tamko lako nkakuta maneno nliyoyaquote apo juu,je-ni macho yangu au? Mi namuombea awahi kwa mchungaji Loliondo. Watu wanapona ndugu.
 
Back
Top Bottom