gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,714
- Thread starter
- #101
na hii tabia ndio imeibuka sasa hivi. Mtu akiweka madambovu ukikemea unakashfiwa na kutusiwa kama mie ndo nimetusiwa/kukashfiwa mpaka basi kisa nilikemea usagaji khaaaa!!mtu mpumbav muache na upumbavu wake sister....
Kuna wengine humu tulijaribu kukemea tabia za ushoga , bahati mbaya tukaishia kufunguliwa threads za kashfa...
Mbaya zaidi hawa ambao tunashinda nao humu hakuna hata mmoja aliyethubutu kuunga mkono kampeni hiyo wakawa wanaishia ama kuwagwaya au kuwachekeachekea hao mafirauni...