hali ya hewa hapa MMU

hali ya hewa hapa MMU

Wakongwe tumehamia siasa kutoa stress huku hakufai tena

Kaka Fidel80 za masiku!!!

Mie nimehamia zangu Chit Chat huku napita tu nikikuta uzi ulio size yangu natoa maona napita zangu.
 
Last edited by a moderator:
Lakini mbona hata huu uzi wako umekaa kukanzamiza wanaume tu, wakati kuna wakinadada humu nimekuwa nikisema mara kwa mara wakitoa mada lazima wakandie wanaume. We hilo hulioni au ndio kunya anye kuku akinya bata kaharisha?
 
mkuu nimekuelewa bna,ngoja ninyamaze coz ukimya ni jibu tosha kwa mjinga...nimeepusha shari mkuu...asante kwa kuniepushia ban
hebu angalia alieanza kumquote mwenzie ujinga
ni nani?kama c wewe,kilichofanya uniquote ni
kipi ilhali nimechangia kwa uzuri!!kweli huku wajinga wengi
jitazame upya mkaka,hatuendi hivyo,ubarikiwe!!
 

dada g hebu niambie
kipi nilikoment kibaya ulipoanzisha
post mpaka huyu mtu kuja kuniquote na kunitukana?
inatia hasira halafu anajiona mwerevu,na kujifanya
c mkosaji!!apeleke utoto wake panapostahili,kila mtu
anacomment anachojiskia na hakulazimishwa kuni
quote y?huku tunajifunza na c watu kuja na stress
za mtaani kumaliza hasira kwa wengine!!ila nimekuelewa!!
 
Back
Top Bottom