hali ya hewa hapa MMU

hali ya hewa hapa MMU

Bora dada umesema maana hata mi nimeshachoka kwa kweli,yaani kila siku vitu hivohivo tu watu hatujadili mambo mengine ya msingi,hata kama tunafudishana tusivunjiane heshima na tusikerane!Yaani tena watu wanaoanzisha hizi sredi za ajabu isitoshe ni members walewale wanafanya kama kukomoa,Halafu ukisema unaambiwa wewe ndo unakinukisha!
 
a point of correction.
sikubaliani na mtoa mada kuwa siku hizi hakuna mada za kujenga.
Nipota tayari kukusanya lundo la mada za ujumbe wa kujenga kama ushahidi nikaleta hapa.
NINACHOWEZA KUKUBALIANA NAE NI KWAMBA KUNA MADA AMBAZO ZIMECHAGIZA MALUMBANO HAYO nazo ni chache.
na kwenye hizo mada za kipuuzi binafisi huwa sitii mguu na sijachangia hata moja.
LAKINI UJUMBE UMEFIKA.
na ninafikiri kitu kibaya zaidi ni kutaja ID za watu japo inawezakana msemaji akawa anaushahidi mana sisi wengine ni watazamaji tu LAKINI KWA NINI AWEKE SIRI ZA WATU HAPA KWEUPE?
 
bora dada umesema maana hata mi nimeshachoka kwa kweli,yaani kila siku vitu hivohivo tu watu hatujadili mambo mengine ya msingi,hata kama tunafudishana tusivunjiane heshima na tusikerane!yaani tena watu wanaoanzisha hizi sredi za ajabu isitoshe ni members walewale wanafanya kama kukomoa,halafu ukisema unaambiwa wewe ndo unakinukisha!

ukiona uzi unaboa na unavunja heshima wewe bofya kitufe cha report abuse hii itasaiddia kidogo vinginevo nyuzi za upuuzi tusichangie
 
Bora dada umesema maana hata mi nimeshachoka kwa kweli,yaani kila siku vitu hivohivo tu watu hatujadili mambo mengine ya msingi,hata kama tunafudishana tusivunjiane heshima na tusikerane!Yaani tena watu wanaoanzisha hizi sredi za ajabu isitoshe ni members walewale wanafanya kama kukomoa,Halafu ukisema unaambiwa wewe ndo unakinukisha!

yeah na mie ndio najiuliza watu ni wale wale.........mambo ni yale yale......

Hawana mambo mengine!!!!!!!Mbona kuna mengi ya kuelimishana na kujadili......
 
hapa wala sio swala la kuguswa manake ingekuwa nasemwa mtu mmoja ingekuwa sawa ila swala ni watu kuona kama kuwa mwanamke ni dhambi na ni kosa kila siku kuongelea wanwake tena kweye yale yanayodhalilisha. Mie huwa siku nyingine naamua tu kusoma na kunyamaza lkn leo nimeboreka nikaona nisife na kijiba cha roho

Jukwaa limekuwa pia wachangiaji ni wengi najua siku zijazo tutaanza kuchanana kwa majina moja kwa moja na ndo tutakapokimbia jf.
 
a point of correction.
sikubaliani na mtoa mada kuwa siku hizi hakuna mada za kujenga.
Nipota tayari kukusanya lundo la mada za ujumbe wa kujenga kama ushahidi nikaleta hapa.
NINACHOWEZA KUKUBALIANA NAE NI KWAMBA KUNA MADA AMBAZO ZIMECHAGIZA MALUMBANO HAYO nazo ni chache.
na kwenye hizo mada za kipuuzi binafisi huwa sitii mguu na sijachangia hata moja.
LAKINI UJUMBE UMEFIKA.
na ninafikiri kitu kibaya zaidi ni kutaja ID za watu japo inawezakana msemaji akawa anaushahidi mana sisi wengine ni watazamaji tu LAKINI KWA NINI AWEKE SIRI ZA WATU HAPA KWEUPE?
Sidhani kama unayosema yana ukweli ndani yake Mshinga huyu mtu alonimention mimi simjui wala hanijui kwa namna yoyote ile kwa maana hio sina siri yoyote yakunianika na alinimention anyways,Ameweka katika judgement yake kwamba kwasababu sikubali kudhalilishwa basi nitakuwa mjuaji na nipo kama gogo kitandani!Aisee sitokaa mtu anitusi ninyamaze kimya NEVER EVER!
 
Last edited by a moderator:
a point of correction.
Sikubaliani na mtoa mada kuwa siku hizi hakuna mada za kujenga.
Nipota tayari kukusanya lundo la mada za ujumbe wa kujenga kama ushahidi nikaleta hapa.
Ninachoweza kukubaliana nae ni kwamba kuna mada ambazo zimechagiza malumbano hayo nazo ni chache.
Na kwenye hizo mada za kipuuzi binafisi huwa sitii mguu na sijachangia hata moja.
Lakini ujumbe umefika.
Na ninafikiri kitu kibaya zaidi ni kutaja id za watu japo inawezakana msemaji akawa anaushahidi mana sisi wengine ni watazamaji tu lakini kwa nini aweke siri za watu hapa kweupe?
ukisema kuna lundo za mada zenye kujenga hapa mmu tutabishana hadi kesho manake kama huamini rudi nyuma miaka 2 ilopita soma mada zilizokuwa hapa mmu linganisha na sasa.

Sawa siwez kulazimisha hali ibaki kama zamani lkn watu wanapaswa kujifunza in a more positive way kuliko ilivyo hiv sasa.
 
a point of correction.
sikubaliani na mtoa mada kuwa siku hizi hakuna mada za kujenga.
Nipota tayari kukusanya lundo la mada za ujumbe wa kujenga kama ushahidi nikaleta hapa.
NINACHOWEZA KUKUBALIANA NAE NI KWAMBA KUNA MADA AMBAZO ZIMECHAGIZA MALUMBANO HAYO nazo ni chache.
na kwenye hizo mada za kipuuzi binafisi huwa sitii mguu na sijachangia hata moja.
LAKINI UJUMBE UMEFIKA.
na ninafikiri kitu kibaya zaidi ni kutaja ID za watu japo inawezakana msemaji akawa anaushahidi mana sisi wengine ni watazamaji tu LAKINI KWA NINI AWEKE SIRI ZA WATU HAPA KWEUPE?

Mshinga si bora huo uhakika awe nao!!!!!unakurupuka kuongea kitu

ambacho you dont have a CLUE......you KNOW NOTHING........ITS KINDA STUPID!!!!
 
sidhani kama unayosema yana ukweli ndani yake mshinga huyu mtu alonimention mimi simjui wala hanijui kwa namna yoyote ile kwa maana hio sina siri yoyote yakunianika na alinimention anyways,ameweka katika judgement yake kwamba kwasababu sikubali kudhalilishwa basi nitakuwa mjuaji na nipo kama gogo kitandani!aisee sitokaa mtu anitusi ninyamaze kimya never ever!
wala usikae kimya bofya report abuse
 
Jambo la msingi ni kuheshimu jinsia tofauti. Wanawake ndo maua ya dunia, hilo liko wazi. Lakini ili ua lichanue linatakiwa lipate maji, mbolea na kuondoa magugu, hapo ndipo wanaume tunapoingia. Sasa maua na mtunza bustani wanapokwaruzana kuna kinachobaki kweli?! Tujadili mada kwa kujenga na sio kudhalilishana bila kujali mada ni ya kibamia au kikwapa, na hiyo ndo maana ya kuwa great thinker and not the other way round (crazy thinker). Personally naheshimu sana wanawake simply b'coz men can't live with them and he also can't live without them! They are a bit mysterious! Poleni sana dada zangu mliotolewa kauli chafu na kaka zangu mliokwazika pia. Nang'ata bia kwanza, ntarudi baadae kidogo.
 
Sidhani kama unayosema yana ukweli ndani yake Mshinga huyu mtu alonimention mimi simjui wala hanijui kwa namna yoyote ile kwa maana hio sina siri yoyote yakunianika na alinimention anyways,Ameweka katika judgement yake kwamba kwasababu sikubali kudhalilishwa basi nitakuwa mjuaji na nipo kama gogo kitandani!Aisee sitokaa mtu anitusi ninyamaze kimya NEVER EVER!
mimi49 kuna vitu vingine unatamani kunyamaza lakin unaona hapana vinakera.........

U speak to let it GO!!!!mie kusema ukweli huyo mgiriki amenikwaza tu....

na bora wameidelete ningedeal nae PERPENDICULAR tu........
 
Last edited by a moderator:
jambo la msingi ni kuheshimu jinsia tofauti. Wanawake ndo maua ya dunia, hilo liko wazi. Lakini ili ua lichanue linatakiwa lipate maji, mbolea na kuondoa magugu, hapo ndipo wanaume tunapoingia. Sasa maua na mtunza bustani wanapokwaruzana kuna kinachobaki kweli?! Tujadili mada kwa kujenga na sio kudhalilishana bila kujali mada ni ya kibamia au kikwapa, na hiyo ndo maana ya kuwa great thinker and not the other way round (crazy thinker). Personally naheshimu sana wanawake simply b'coz men can't live with them and he also can't live without them! They are a bit mysterious! Poleni sana dada zangu mliotolewa kauli chafu na kaka zangu mliokwazika pia. Nang'ata bia kwanza, ntarudi baadae kidogo.

well said
 
Back
Top Bottom