Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,128
pole sana,mie hata hakuna nalojua,naangalia tu hapa.Sidhani kama unayosema yana ukweli ndani yake Mshinga huyu mtu alonimention mimi simjui wala hanijui kwa namna yoyote ile kwa maana hio sina siri yoyote yakunianika na alinimention anyways,Ameweka katika judgement yake kwamba kwasababu sikubali kudhalilishwa basi nitakuwa mjuaji na nipo kama gogo kitandani!Aisee sitokaa mtu anitusi ninyamaze kimya NEVER EVER!
Last edited by a moderator: