hali ya hewa hapa MMU

hali ya hewa hapa MMU

kweli tupu inayoongelewa wapi kwenye makwapa ya wanwake ni meusi?? ama sijui wanwake waongeaji ni magogo kitandani?? godforbid.
kutetea wadada ni lazima manake adhalilishwapo mdada na mie pia nadhalilika na ndio mana hujawah nikuta namdhalilisha mkaka manake najua namdhalilisha kuanzia baba yangu mzazi hadi wanangu wakuwazaa

Hapa sasa umeongea! Coz hujaegemea popote!
...
Hii ni hatua moja mbele!
Jee wewe unahisi nini kifanyike ili kutatua hili?
Coz Wenyewe mnavyotusimanga hadi noma, mara vibamia (si tumeumbwa navyo!) mara wabahili, mara hatujui kugegeda (mnawapaisha wazee!) etc!
 
Tatizo ni kwamba wengine tunashindwa kukubaliana na ukweli kwamba kwenye hili jamvi kuna watu wengi kama majani...

Waacheni wachafuke bwana, ....wasipochafuka watajifunzaje??

Poleni waliokwazika, ila ndiyo dunia ilivyo!

Babu DC!!

Haya humu uyategemee, labda kama ulitembea na mtu sasa akakuanika humu hapo ni kosa. Take it easy!
 
tatizo ni kwamba wengine tunashindwa kukubaliana na ukweli kwamba kwenye hili jamvi kuna watu wengi kama majani...

Waacheni wachafuke bwana, ....wasipochafuka watajifunzaje??

Poleni waliokwazika, ila ndiyo dunia ilivyo!

Babu dc!!

nakubali wachfuke lkn wasichafue wengine babuuu.............
Wee kila siku utaona mara nipen sifa za wanawake wa kiamchame, mara ooh mabinti wa kichaga hawajui mapenzi, mara ooh makwapa ya wanawake ni meusi, mara ooh wanawake ni magogo kitandani utafikiri yy ni mti basi useme upepo ukija utapeperusha matawi.

Hii tabia ni mbaya na haivumiliki iachwe mara moja
 
Walewao " Adui wa jana, Mpenzi wa kesho" Kashfaa za wakaka huwaga na hisia za visasi....!
 
hapa sasa umeongea! Coz hujaegemea popote!
...
Hii ni hatua moja mbele!
Jee wewe unahisi nini kifanyike ili kutatua hili?
Coz wenyewe mnavyotusimanga hadi noma, mara vibamia (si tumeumbwa navyo!) mara wabahili, mara hatujui kugegeda (mnawapaisha wazee!) etc!

nilijua hapa ndipo utakapoishia lkn wafikiri kosa hurekebishwa kwa kosa??
 
Na waambie wana ndoa waache kutuletea matatizo yao huku pia...sie hatuko kwenye ndoa kukwepa ghasia sasa wakizileta huku tena tunakua pissed off....kuna yule puuzi akaja anaomba ushauri eti mke wake anajamba sana usiku....nadhani uliisoma ile thread...
So kama mtu ulipotaka kuoa hukuomba ushauri huku ....ukiwa na matatizo yako ya ndoa solve mwenyewe. kila mtu abebe msalaba wake apeleke kalvari ahahahaha
 
walewao " adui wa jana, mpenzi wa kesho" kashfaa za wakaka huwaga na hisia za visasi....!

sasa wanafanya visasi na nani??
Wamwambie mtu anayewaboa ama wareport abuse kuliko kudhalilisha wanawake wote
 
nakubali wachfuke lkn wasichafue wengine babuuu.............
Wee kila siku utaona mara nipen sifa za wanawake wa kiamchame, mara ooh mabinti wa kichaga hawajui mapenzi, mara ooh makwapa ya wanawake ni meusi, mara ooh wanawake ni magogo kitandani utafikiri yy ni mti basi useme upepo ukija utapeperusha matawi.

Hii tabia ni mbaya na haivumiliki iachwe mara moja

Kwani haya mambo yameanza leo teacher?

Kuna thread za nyuma sana zinaongea vitu vya namna hivyo na nyingine zilipata airtime ya kutosha....

Ila mkiwapa time zaidi ndiyo mnawavimbisha vichwa...

Babu DC!!
 
nakubali wachfuke lkn wasichafue wengine babuuu.............
Wee kila siku utaona mara nipen sifa za wanawake wa kiamchame, mara ooh mabinti wa kichaga hawajui mapenzi, mara ooh makwapa ya wanawake ni meusi, mara ooh wanawake ni magogo kitandani utafikiri yy ni mti basi useme upepo ukija utapeperusha matawi.

Hii tabia ni mbaya na haivumiliki iachwe mara moja

Mlisema kuwa JF is a place/forum where people talk freely, openly! Pole mpendwa, naona hujapenda!
 
haya humu uyategemee, labda kama ulitembea na mtu sasa akakuanika humu hapo ni kosa. Take it easy!

yaani unajua tatizo ni nini basii eti visasi, hivyo wakaka wanalipa visasi sasa kweli haya maisha yataenda??
 
Makubwa kumbe nimeambiwa mimi GOGO lahaula .......wew mgiriki ulishanilala ukajua mimi ni GOGO!!!!

ni ujinga sana MMU imekuwa full Majungu...,Mipasho.......Zahara white kawatoa Imani sana.........

Kuna mda unatamani hata uende Jukwaa la SIASA labda utajua nchini kwako nini kinaendelea........
 
Last edited by a moderator:
mlisema kuwa jf is a place/forum where people talk freely, openly! Pole mpendwa, naona hujapenda!

ukweli sijapenda manake naona sasa jukwaa limekuwa uwanja wa mipasho kama nasma kadogo na khadija kopa
 
FASHIST usitukane mtu tafadhali kama mtu kakuudhi mwambie yy kwa namna ambayo atakuelewa ila usitumie uzi wa memba kumtusi mtu
 
Last edited by a moderator:
Makubwa kumbe nimeambiwa mimi GOGO lahaula .......wew mgiriki ulishanilala ukajua mimi ni GOGO!!!!

ni ujinga sana MMU imekuwa full Majungu...,Mipasho.......Zahara white kawatoa Imani sana.........

Kuna mda unatamani hata uende Jukwaa la SIASA labda utajua nchini kwako nini kinaendelea........

Umesema nilichokiandika sasa hivi. It is as if somebody has had an affair with some one on the bed and now he is making a publicity of his experience in bed with that some one1
 
Bora umesema ukweli.wanaume wanapenda kwel ku2dhalilisha.MADA YA LARA NI NZUR SANA NA INAmAFUNDISHO SEMA WANAUME HAWAPEND KUAMBIWA UKWELI.
 
kwani haya mambo yameanza leo teacher?

Kuna thread za nyuma sana zinaongea vitu vya namna hivyo na nyingine zilipata airtime ya kutosha....

Ila mkiwapa time zaidi ndiyo mnawavimbisha vichwa...

Babu dc!!

babuu basi wewe hujui kwann sasa haya yamekuwa hivi.
Hapa watu wanalipa kisasi kwa wanawake jambo ambalo si sahihi watakuja siku watu wataumizana humu.
Nicheki nitakwambia source ni nini
 
na waambie wana ndoa waache kutuletea matatizo yao huku pia...sie hatuko kwenye ndoa kukwepa ghasia sasa wakizileta huku tena tunakua pissed off....kuna yule puuzi akaja anaomba ushauri eti mke wake anajamba sana usiku....nadhani uliisoma ile thread...
So kama mtu ulipotaka kuoa hukuomba ushauri huku ....ukiwa na matatizo yako ya ndoa solve mwenyewe. Kila mtu abebe msalaba wake apeleke kalvari ahahahaha
umeongea ukweli kabisa baadhi ya memba nao wanabeba matatizo yao na kuyaleta hapa hii sio sahihi kabisa kabisa. Hawa watambiwa kila watakapokuwa wanafanya hivyo.
 
.. wapo watu wa haiba tofauti humu. Unalosema mtoa mada ni sahihi, vijembe vya wazi vinakera, au kutoa mada zinazolenga watu au kundi fulani zinakera na wala hazijengi.
.. ila katika halaiki kama hii, ni vigumu sana ku control watu waseme nini, wakati mwingine katika hizo nasty threads kunakuwa na mambo watu pia wanajifunza, japo kudhalilisha wadada ni kuwadhalilisha mama zetu pia!
 
nyie wadada ndio mlioanza kumwaga ugali...wakaka wakamwaga mboga.

Kwa hiyo humu imekuwa full kukomeshana!!!!!just beacause me HOE I have done

something then Data u will do something to get even with me!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Its non sense.......
 
umesema nilichokiandika sasa hivi. It is as if somebody has had an affair with some one on the bed and now he is making a publicity of his experience in bed with that some one1
wala sio hivyo mwanamkwetu hapa ujue ukweli ni kwamba watu wanajaribu kumjibu lara 1 kwa mada zake lkn wanakosea yy huwa anaandika mada tena pasipo kulenga mtu lkn watu wana perceive vby na kuona wanasemwa sasa wanajibu mapigo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom