Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,312
Eti Beijing Conference.
Mtaisoma namba.
madam B unanichenchia jamani.
Eti Beijing Conference.
Mtaisoma namba.
HAHAHAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!! Naona hii kesi MSHTAKIWA NAMBA 1 NI LARA 1!!!!!!!!!!!!!!!! Rutashobolwa naombauendeshehi hii kesi kimahakama kabisa na mimi NA PLEAD NOT GUILTY kwakuanzia kabisaaaa! Ikitakiwanijitete nitafanya hivo manake watu wanataka kuniangushia jumba bovu
kutaja majina ya watu ndio sio poa ila mada kama inakanya watu mbona haina shida,mtu akisema wasichana hamaanishi wote inatakiwa aseme baadhi ili aepukane na fallacy of generalization but kiujumla jukwaa liko poa na mada ikikugusa tafuta maji unywe ulale,mimi binafsi huwa najifunza mengi na sikasiriki...unatakiwa ujifunze kujicontrol don't think that every thread is for u,we are here to exchange ideas and feelings.tusiwe washamba sindano inauma ila inadawa inayotibu hatuwezi furahia wakati wengine wanaumia katika mahusiano na tiba ipo. likiongelewa suala la vibamia na mimi ni mwanaume sitakasirika ntatoa ushauri kwa wenye vibamia.
very true...she wasn't suppose to take it that far...mada should save all purpose....Tatizo ni kwamba wengine tunashindwa kukubaliana na ukweli kwamba kwenye hili jamvi kuna watu wengi kama majani...
Waacheni wachafuke bwana, ....wasipochafuka watajifunzaje??
Poleni waliokwazika, ila ndiyo dunia ilivyo!
Babu DC!!
hapa labda unishawishi zaidi best, mimi naamini (bila kwenda kwenye imani za kidini) kwamba wote tunategemeana
HAHAHAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!! Naona hii kesi MSHTAKIWA NAMBA 1 NI LARA 1!!!!!!!!!!!!!!!! Rutashobolwa naombauendeshehi hii kesi kimahakama kabisa na mimi NA PLEAD NOT GUILTY kwakuanzia kabisaaaa! Ikitakiwanijitete nitafanya hivo manake watu wanataka kuniangushia jumba bovu
kutaja majina ya watu ndio sio poa ila mada kama inakanya watu mbona haina shida,mtu akisema wasichana hamaanishi wote inatakiwa aseme baadhi ili aepukane na fallacy of generalization but kiujumla jukwaa liko poa na mada ikikugusa tafuta maji unywe ulale,mimi binafsi huwa najifunza mengi na sikasiriki...unatakiwa ujifunze kujicontrol don't think that every thread is for u,we are here to exchange ideas and feelings.tusiwe washamba sindano inauma ila inadawa inayotibu hatuwezi furahia wakati wengine wanaumia katika mahusiano na tiba ipo. likiongelewa suala la vibamia na mimi ni mwanaume sitakasirika ntatoa ushauri kwa wenye vibamia.
HAHAHAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!! Naona hii kesi MSHTAKIWA NAMBA 1 NI LARA 1!!!!!!!!!!!!!!!! Rutashobolwa naombauendeshehi hii kesi kimahakama kabisa na mimi NA PLEAD NOT GUILTY kwakuanzia kabisaaaa! Ikitakiwanijitete nitafanya hivo manake watu wanataka kuniangushia jumba bovu
Kumbe hawajafungua moyo wa uvumiliv sasa kwann wanachokonoa......jana nmerusha handgreaned wabeijing wote wamesambaratika.....teh teh teh!......msirudie tena jaman sio vzr kuchambua viungo vya starehe mkirudia tena nimetengeneza bonge la kombora kama ballestic mizeile(B.M)
I miss Jamii Forums of 2006-2010.
Hahah...
Inakuwaje maisha haya fake yanawafanya muwe so concerned kiasi hiki bandugu...