Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,159
- 10,421
Mchukulie Kama kichaa mmoja asiyejielewaMwijaku aliahidi kutembea uchi wakifungwa
Inaonekana hajui lolote kuhusu habari za mpira
Mchukulie Kama kichaa mmoja asiyejielewaMwijaku aliahidi kutembea uchi wakifungwa
Ningemtukana lakini alivyoumbwa na mimi ninamaumbile kama yakeTapeli huyu!!! Kwani ile bilioni 20 inasemaje. Kauza wachezaji wazuri waliofikisha Simba mbali halafu anajifanya hajui kinachoendelea. PUMBAVU!!!
Kocha akacheze yeye?Kocha asepe..... Mbwa tu.. Likocha lipolipo tuuu....
Michezaji misenge senge tupa kule... Wawa, Kagere wawe wa kwanza kutupiwa mabegi..
Kila akishika mpira mlimshangilia sana. Aliipamba jukwaa hasa la Simba leo hiiWa kwanza awe Morisson amezidisha upumbavu
Huu ni mda wa kwenda shirikisho sasa hakuna cha ajab ni matokeo ya ya mpiraMwamedi bhana....
Benchi la ufundi lote ni wewe na demu wako ndo mmehusika
Wachezaji wote, ni wewe na demu wako ndo mmehusika....
Mmeenda Morroco, hamkushinda hata mechi moja, ikiwa hata ile mliyocheza na timu isiyo ligi kuu
Mmerudi Bongo, mkalaa kimoja na Mazembe, mkatiwa kingine na Dar es salaam Young Africans... kote huko ulikuwepo!!!
Ligi kuu mkaanza na sare mkasingizia eti mnakamiwa kwavile timu zinaadiwa pesa...
In short, No Konde and Chama, No Makolo!!!
On Top of That, Makolo sio timu kubwa fAfrika kama mnavyowadanganya mashabiki wenu ambao Rage aliwahi kusema kwamba ni Mbumbumbu!!
Yaani kufika 1/4 mara mbili tu, ndo mshajiona Zamalek fulani hivi...
Kocha kwenye hili hachomoi.....Kocha akacheze yeye?
Mmeuza wachezaji mmekula mpunga na magoli mpate?
Amlipe Haji Manara stahiki zake zote ndio laana itaondoka Msimbazi!Tapeli huyu!!! Kwani ile bilioni 20 inasemaje. Kauza wachezaji wazuri waliofikisha Simba mbali halafu anajifanya hajui kinachoendelea. PUMBAVU!!!
Huyu mhindi aache uhuni, alifurahia kupokea pesa za kuuza wachezaji wazuri waliobeba timu akidhani mpira ni sawa na biashara ya ukwaju, kama ni kuwajibika anapaswa aanze yeye na Barbara wake.Mo Dewji ameandika katika ukurasa wake wa twitter kuwa hana nguvu ya kufanya maamuzi yoyote kwa kuwa ameshajiuzulu kuwa mwenyekiti wa bodi ya Simba SC lakini amemshauri mwenyekiti wa sasa wa bodi hiyo achukue hatua kali kwa wale wote wanaohusika na kusababisha klabu ya Simba kupoteza mchezo huo dhidi ya Jwaneng Galaxy F.C.
We ni mpuuz,kocha kosa lake Nini Sasa??? Michezaji inapata nafasi inashindwa kuzitumiaKocha asepe..... Mbwa tu.. Likocha lipolipo tuuu....
Michezaji misenge senge tupa kule... Wawa, Kagere wawe wa kwanza kutupiwa mabegi..
We gasho na dada poa kwa wakati mmoja uwe unaelewa basi;kwa 'mkwanja' ule waliowekewa Miquissone + Chama wangeachaje kuondoka?Simba inaweza kumlipa Miquissone ule mshahara anaokunja saa hizi?Ungekuwa wewe ni Miquissone umewekewa dau nono na mshahara ule kisha uongozi wa Simba ukagoma kukuuza na kuendelea kukulipa mshahara mdogo ungejisikiaje?Tapeli huyu!!! Kwani ile bilioni 20 inasemaje. Kauza wachezaji wazuri waliofikisha Simba mbali halafu anajifanya hajui kinachoendelea. PUMBAVU!!!
Yaani umegonga penyewe. Kauza wachezaji wazuri. Akaona hasara kureplace kwa kuleta wazuri wengine.Tapeli huyu!!! Kwani ile bilioni 20 inasemaje. Kauza wachezaji wazuri waliofikisha Simba mbali halafu anajifanya hajui kinachoendelea. PUMBAVU!!!
Kuwauza ilikuwa haiepukiki,tatizo ni kwanini hawakuleta replacement za maana?Yaani umegonga penyewe. Kauza wachezaji wazuri. Akaona hasara kureplace kwa kuleta wazuri wengine.