Simba kuna shida kubwa zaidi ya hiki kinachoonekana nje, mambo yanaenda kishkaji-shkaji

John Haramba

JF-Expert Member
Feb 4, 2022
365
1,373
Miezi kadhaa iliyopita mwekezaji wa Simba, Mo Dewji alitangaza kujiweka pembeni kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya klabu hiyo, kisha ‘kishkaji’ akamkabidhi nafasi hiyo Try Again, baada ya hapo Mo akapotea, akawa anaonekana kwenye matukio machache ya klabu, ni kama aliamua 'kukata waya' na kuendelea na mishe zake.

Zile kelele za uwekezaji wa Bilioni ngapi zile ukapotea…

Straika wao Dejan akatangaza kuvunja mkataba akidai kuna vitu kkabu haijatimiza, Simba wakasema watamchukulia hatua, kimya kikafuata...

Hivi karibuni Simba wakamchukua Juma Mgunda wakitangaza wamemuazima kutoka Coastal Union, wenye kuazimwa wakatangaza hawana mkataba na Mgunda, inamaanisha kuna jambo lilikuwa linafichwa.

Katiba ya Simba inaonesha wanatakiwa kuwa wameshafanya Uchaguzi Mkuu hadi kufikia Novemba 2022 lakini hilo halijafanyika na hakuna taarifa rasmi kwa mashabiki na wanachama wao.

Timu haina kocha wa viungo (viongozi wapo kimya), hatma ya Mgunda tulitangaziwa amekopwa, miezi inakatika hawajasema kinachoendelea (wapo kimya).

Selemani Matola ametangaza anaondoka kwenda kwenye masomo (kama ni kweli), hatima ya msaidizi mwingine haijatangazwa (viongozi wapo kimya).

Baada ya Muharami Said Mohammed ‘Shilton’ kutangazwa anashikiliwa kwa tuhuma za kukutwa na madawa, klabu inaibuka na kusema haikuwa na mkataba naye na alikuwa kocha wa muda tu, inamaanisha Simba haikuwa na kocha wa makipa (viongozi wana la kujibu hapa).

Katika kile kinachoonekana ‘kupaniki’ Simba wanamtambulisha Chlouha Zakaria kuwa kocha wa makipa, taarifa yao ya haikusema katoka wapi, CV yake japo kwa ufupi, ataanza kazi lini, mkataba wake upoje…n.k

Nahisi Simba kuna shida kubwa zaidi ya hii inayoonekana nje na mambo yakiendelea hivi viongozi wa Simba watakipata wanachokitaka, nadhani kila shabiki wa soka anajua ‘nature’ ya mashabiki wa soka hasa la Tanzania.
 
Aisee
1668523534726.jpg
View attachment 2417759
 
Miezi kadhaa iliyopita mwekezaji wa Simba, Mo Dewji alitangaza kujiweka pembeni kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya klabu hiyo, kisha ‘kishkaji’ akamkabidhi nafasi hiyo Try Again.

Baada ya hapo Mo akapotea, akawa anaonekana kwenye matukio machache ya klabu, lakini ni kama aliamua 'kukata waya' na kuendelea na mishe zake.

Zile kelele za uwekezaji wa Bilioni ngapi zile ukapotea…

Hivi karibuni Simba wakamchukua Juma Mgunda wakitangaza kuwa wamemuazima kutoka Coastal Union, wenye kuazimwa wakatangaza kuwa hawana mkataba na Mgunda, hiyo inamaanisha Simba kuna jambo walitaka kuficha wakaumbuliwa.

Katiba ya Simba inaonesha kuwa wanatakiwa kuwa wameshafanya Uchaguzi Mkuu hadi kufikia mwezi huu Novemba 2022 lakini hilo halijafanyika na hakuna taarifa rasmi kwa mashabiki na wanachama wao kutoka klabuni kuhusu hilo.

Timu haina kocha wa viungo (viongozi wapo kimya), hatma ya Mgunda tulitangaziwa kuwa amekopwa, miezi inakatika hawajasema kinachoendelea (viongozi wapo kimya).

Selemani Matola ametangaza kuwa anaondoka kwenda kwenye masomo (kama ni kweli), hatima ya msaidizi mwingine haijatangazwa (viongozi wapo kimya).

Baada ya Muharami Said Mohammed ‘Shilton’ kutangazwa kuwa anashikiliwa kwa tuhuma za kukutwa na madawa, klabu inaibuka na kusema haikuwa na mkataba naye na alikuwa kocha wa muda tu, inamaanisha Simba haikuwa na kocha wa makipa (viongozi wana la kujibu hapa).

Katika kile kinachoonekana ‘kupaniki’ Simba wanamtambulisha Chlouha Zakaria kuwa kocha wa makipa, taarifa yao haisemi katoka wapi, CV yake japo kwa ufupi, ataanza kazi lini, mkataba wake upoje…n.k

Nahisi Simba kuna shida kubwa zaidi ya hii inayoonekana nje na mambo yakiendelea hivi viongozi wa Simba watakipata wanachokitaka, nadhani kila shabiki wa soka anajua ‘nature’ ya mashabiki wa soka hasa la Tanzania.
Acha inyeshe panapovouja pajiseme😄
 
Miezi kadhaa iliyopita mwekezaji wa Simba, Mo Dewji alitangaza kujiweka pembeni kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya klabu hiyo, kisha ‘kishkaji’ akamkabidhi nafasi hiyo Try Again, baada ya hapo Mo akapotea, akawa anaonekana kwenye matukio machache ya klabu, ni kama aliamua 'kukata waya' na kuendelea na mishe zake.

Zile kelele za uwekezaji wa Bilioni ngapi zile ukapotea…

Straika wao Dejan akatangaza kuvunja mkataba akidai kuna vitu kkabu haijatimiza, Simba wakasema watamchukulia hatua, kimya kikafuata...

Hivi karibuni Simba wakamchukua Juma Mgunda wakitangaza wamemuazima kutoka Coastal Union, wenye kuazimwa wakatangaza hawana mkataba na Mgunda, inamaanisha kuna jambo lilikuwa linafichwa.

Katiba ya Simba inaonesha wanatakiwa kuwa wameshafanya Uchaguzi Mkuu hadi kufikia Novemba 2022 lakini hilo halijafanyika na hakuna taarifa rasmi kwa mashabiki na wanachama wao.

Timu haina kocha wa viungo (viongozi wapo kimya), hatma ya Mgunda tulitangaziwa amekopwa, miezi inakatika hawajasema kinachoendelea (wapo kimya).

Selemani Matola ametangaza anaondoka kwenda kwenye masomo (kama ni kweli), hatima ya msaidizi mwingine haijatangazwa (viongozi wapo kimya).

Baada ya Muharami Said Mohammed ‘Shilton’ kutangazwa anashikiliwa kwa tuhuma za kukutwa na madawa, klabu inaibuka na kusema haikuwa na mkataba naye na alikuwa kocha wa muda tu, inamaanisha Simba haikuwa na kocha wa makipa (viongozi wana la kujibu hapa).

Katika kile kinachoonekana ‘kupaniki’ Simba wanamtambulisha Chlouha Zakaria kuwa kocha wa makipa, taarifa yao ya haikusema katoka wapi, CV yake japo kwa ufupi, ataanza kazi lini, mkataba wake upoje…n.k

Nahisi Simba kuna shida kubwa zaidi ya hii inayoonekana nje na mambo yakiendelea hivi viongozi wa Simba watakipata wanachokitaka, nadhani kila shabiki wa soka anajua ‘nature’ ya mashabiki wa soka hasa la Tanzania.
Mwenye Katiba ya Simba atupie. Nina shida nayo
 
Kwan C.E.O anasemajee yy !!!au naye kashajitoaa simbaa??

Sent using Jamii Forums mobile app
C.E.O Kuna kipindi alitaka ku resign wakamzuia, matokeo yake ndio haya.
Kama kuna mtu dalili zote zinaonyesha yeye ndio source ya migogoro unamzuia kujiuzulu kwa lipi hasa kama sio kutaka migogoro iendelee.
Ilikuwa aruhusiwe mpaka maji yaliyokorogeka yatulie. Lakini hivi watakuwa wanafanya kazi huku wamenuniana.
 
C.E.O Kuna kipindi alitaka ku resign wakamzuia, matokeo yake ndio haya.
Kama kuna mtu dalili zote zinaonyesha yeye ndio source ya migogoro unamzuia kujiuzulu kwa lipi hasa kama sio kutaka migogoro iendelee.
Ilikuwa aruhusiwe mpaka maji yaliyokorogeka yatulie. Lakini hivi watakuwa wanafanya kazi huku wamenuniana.
Ngoja kwanza nisome Katiba ya Simba (2018). Nitarejea
 
Back
Top Bottom