Hakwambii ukweli sababu anakupenda

Hakwambii ukweli sababu anakupenda

Tunatofautiana mi nkiwaga na upwiru mda mrefu nakua na hasira nakua na chuki flan Kwa wanawake utendaji wangu kwenye mambo ya kawaida unakua mdogo nikipiga tu show nakua mwepesiiiiii nakua na raha flan hv hata nakua na upendo kwa watu wote nakua vizuri kisaikolojia
Wewe ndio mimi aisee, kumbe tupo wengi
 
sasa ulimwengu wa nyeto upo ww, maji na sabuni ujikamuee weee mda linakuja kwenye joint kama panavunjika hv mwili unakosa balance dah nyeto kumbafu sana
😂😂😂😂😂😂.upumbavu wa nyeto ndio huo..Unachokaq kijinga ahalf ukiiendekeza hata memory hako inapata walakin ku store na ku retrieve stuffs kwa haraka
 
Hivi karne hii ukijibu kila SMS kweli kunakitakachofanyika au utafanya kazi ya kuandikiana SMS.., Kumbuka sasa hivi ni information at your fingertips (dunia nzima unayo kiganjani).

Kwahio hio ni tabia ya mtu wengine sio watu wa SMS sasa abadilike ili tu akuridhishe wewe..., nadhani cha maana ni kutafuta mtu anayependa hayo mambo...
Kwa hiyo ww huwezi hata kum text mtu wako yaan within 24 hrs unakosa hata 2 hrs + za ku communicate nj soul mate wako ?
 
Kwa hiyo ww huwezi hata kum text mtu wako yaan within 24 hrs unakosa hata 2 hrs + za ku communicate nj soul mate wako ?
Duh mkuu unless hio ni hobbie ya mtu mbona huo ni kama mtihani..., lakini uzuri ni kwamba kama ni soulmate wako mwenye hobbie sawa basi mtakuwa mnaongelea vitu ambavyo ni interesting kwenu nyote sio leo jua limewaka au ninakusalimia tu au just making conversation for the sake of conversation......
 
Duh mkuu unless hio ni hobbie ya mtu mbona huo ni kama mtihani..., lakini uzuri ni kwamba kama ni soulmate wako mwenye hobbie sawa basi mtakuwa mnaongelea vitu ambavyo ni interesting kwenu nyote sio leo jua limewaka au ninakusalimia tu au just making conversation for the sake of conversation......
Una umri gan kwanza ?
 
Yuko mmoja huyo kaniambia kuwa nna deserve better...na akanambia kuwa ana guilty feelings due amecheat...kwa upande wangu naona mwanamke akikwambia ukwel yawezkana ni kutafuta namna ya kutibu nafsi yake lakin si kwamba hakupendi
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Ila kweli maana imagine manzi unayemkubali anakuja kukuelezea,jinsi alivyoteleza akaangukia mkuyenge mwingine.Inauma kichizi.
 
Yuko mmoja huyo kaniambia kuwa nna deserve better...na akanambia kuwa ana guilty feelings due amecheat...kwa upande wangu naona mwanamke akikwambia ukwel yawezkana ni kutafuta namna ya kutibu nafsi yake lakin si kwamba hakupendi
Kwahio ni selfish anajali nafsi yake na maumivu yake kuliko yako ? Sijasema akiwambia hakupendi bali nimesema anayekudanganya huenda anakupenda - anakuepusha na consequences / maumivu
 
Hurt me for the Truth but never comfort me with lies!
 
Hurt me for the Truth but never comfort me with lies!
Kuna ukweli haujengi sanasana unabomoa tu (kama una uhakika hautajulikana na ulifanyika kwa bahati mbaya / tamaa) ile trust kwamba fulani hawezi kuku-let down au kufanya kitu fulani ikishavunjika it will never come back (nothing will ever be same)....., Wanasema Ignorance a Bliss
 
Kuna ukweli haujengi sanasana unabomoa tu (kama una uhakika hautajulikana na ulifanyika kwa bahati mbaya / tamaa) ile trust kwamba fulani hawezi kuku-let down au kufanya kitu fulani ikishavunjika it will never come back (nothing will ever be same)....., Wanasema Ignorance a Bliss
Kumfariji tu mtu inaua zaidi Mkuu mchane mapema afanye mambo yake tu ... hio utakuja kumuimiza vibaya sana !!
Kwanza mwingine hata asipokwambua utaona vitu vitu fulani vimebadilika hapo mapemaaa jiongeze
 
Back
Top Bottom