Hakuna simu mbovu duniani kama tecno

Hakuna simu mbovu duniani kama tecno

Me yang chaji ikifika asilimia kumi sim inazima...pia kamera kadiri siku zinavyosonga inakua kipofu na nikipunguza mwanga screen inakua ka binadamu anafumba fumba macho ivi
 
Simu za tecno kichomi sana.
Mi naiona kwa watu, kuwa na tecno bora niwe na simu ya button
 
habari zenu wana jamvi yani nilikuwa nina samsung yangu nzur mno j3 2016 kioo amoled kuna rafiki yangu akaipenda kwel na alikuwa anatumia tecno K7 ikambid anipe hiy tecno aniongeze na hela kidogo lakin kilichonikuta kwakwel najuta na hiy k7 ni mpyaa sanaaa na ina finger print cha ajabu ina stuck kukik maelezo na ina gb 16 na ram 1 gb kwakwel nikawa nimeingia mkenge nilikuwa sina raha nayo haina mvuto kabisa wala mzuka baada ya kuitumia kam wiki mbil nikawa nimeichoka mno mambo yake ikanibid niiuze kwa elfu 80 hata sikujiuliza ninawaomb wanajamvi kama kuna mtu ana mpango wa kununua tecno hii k7 ni simu isiyo na kiwango narudieni tena tecno ni simu mbovu na majanga sijapata kuona nawasilisha
NIlikuwa silijui hilo hadi pale nilipo badiri simu ndo nikatambua TECNO ni mwendo wa KINYONGA
 
Sijaona ubaya wake, Sana sana wewe ndo nakuona mshamba wa kutumia cm.
Nimetumia miaka na miaka, kama hujui kutumia cm usiseme ni mbovu... pye
Hongera kwa kujieleza haliyako ya uchumi.
Maana kumiliki Samsung ya 2016, 2017, 2018 si masihara.
Kuwa muwazi2 bishosti HUNA HELAAAAAAAAA HUYOOOOOOOIII
 
Nawashukuru sana tecno maaana sio wameleta simu bali vifaa vya mawasiliano.
 
Bidhaa inayopatikana kwa wingi (pengine na bei yake ikawa chini mno) maranyingi huwa ni bidhaa isokukuwa bora

Kinyume chake

Bidhaa inayopatikana kwa uchache sokoni (na pengine hata bei yake ikawa ghali) mara nyingi huwa ni bidhaa bora

Na hapo ndo utajua kwanini wanasema...
"Kizuri chajiuza" na
"Kibaya chajitembeza"
Hiyo ni ignorance of consumer kwetu sisi wachumi
 
Oppo-R7.jpg
HUTOJUTA....ACHANA NA HIZO SIMU ZA WASIOJIELEWA.....WATUMIAJI WOTE WA TECNO HUWA WANA STRESS MUDA WOTE

Storage 128 Gb
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom