Hakuna simu mbovu duniani kama tecno

Hakuna simu mbovu duniani kama tecno

Muhame mje iphone huku hakuna matatizo kabisa. NAWASILISHA
 
Kama huna iphone au samsung wewe huna simu. Ila una kifaa cha mawasiliano. Simu za tecno zina soko kwenye nchi za afrika kwa sababu ya unafuu wa bei yake na aina ya watumiaji wake. Ndio manaa zinauzwa kama njugu. Watu husema cheap is expensive amini. Kama unahitaji simu ya kukaa nayo muda mrefu tafuta iphone.. hawa ni mkataba. Halafu wanafatiwa na Samsung
 
Nina mashaka na RAM zake..

RAM kubwa si ubora wa simu, kinacho ifanya simu iwe na uwezo wa ku process data kwa haraka ni chipset na hizi simu pendwa za Tecno wanatumia low quality mediatek chip, hizi simu hata ikiwa na 3GB ram bado itakuwa na performance ndogo ikilinganishwa na simu zinazotumia chipset za Snapdragon au Exynos.
 
Mi natumia tecno l9+ mwaka sasa haijawahi nisumbua na chaj inakaa siku masaa72 ama masaa 48 nikiwa naangalia sana youtube.
 
Usizifie kitu usichojua kam toka uzaliwe umetumia tecno tumia hizo hiz ndo saiz yako kwa upeo wa mawazo yakk utaziona za maan wauliz wanaozielewa simu hata hao wanaoouza madukan humkut anatumia tecno najuta kuingizwa mkenge
Nafikiri una Bahati mbaya tu ninayo tecno L5 mwaka wa tatu huu Haina shida yeyote
 
Huwezi amini, wakati nasimama pale nikawaambia watanzania wenzangu mbona hawa wenyewe hawatumii hizo tecno? Yaani bora wangekuwa nazo hata kwa ajili ya kuzugia tu ingetosha aiseee.
Tecno huko China huwa zinatengenezwa "for export only" ina maana hakuna raia wa China anayeruhusiwa kuitumia wala kuiuza ndani ya China sasa ulitaka wazitumie harafu wangerudije? Jamaa wanatutengenezea vitu feki harafu wanatuletea huku
 
Nadhani jamaa alikushisha simu mbovu tu kwa kusudi,nimetumia tecno tofauti tofauti zina uwezo wa kukaa na charge vzr sana,hazistuck ovyo,tofauti ya samsung na tecno ni kwenye touch,samsung is very sensitivelly,,,mengine mbwembwe tu
Kitu kikubwa ambacho watumiaji wengi wa Tecno hujivunia ni kukaa na chaji
 
Aisee kweli wife anatumia aina hiyo ya tecno ina stuck ni balaa alikuwa anazipenda tecno ila amehapa kamwe hatonunua tena
 
Tecno zinatengenezwa kwa ajili ya soko (cheap market) la Africa..huzikuti Ulaya wala Northern America..Gsm arena yake ni utata mtupu!..mbona huawei zipo ok pamoja na kuwa ni made in China!Tecno bado sana mkuu!
 
Kama huna iphone au samsung wewe huna simu. Ila una kifaa cha mawasiliano. Simu za tecno zina soko kwenye nchi za afrika kwa sababu ya unafuu wa bei yake na aina ya watumiaji wake. Ndio manaa zinauzwa kama njugu. Watu husema cheap is expensive amini. Kama unahitaji simu ya kukaa nayo muda mrefu tafuta iphone.. hawa ni mkataba. Halafu wanafatiwa na Samsung
Bro sio iphone na samsung au Huawei tu kuna simu nyingi ziko poa saana kushinda hata baadhi ya model za samsung na Iphone , sema ni kwa vile hazijawa maarufu huku Africa.
Mfano Xiaomi , One plus , Moto(motorola) , Vivo na nyingine nyingi tu.
Ila kibongo bongo tunapambana na hizi tulizozicrame , Ila cha msingi ni mtu kuwa na imani na kile unachonunua.
 
hapa kila mtu anasifia alicho nacho bora mimi sijaisifia infinix yangu tehetehe
 
Tatzo umetoka kwenye samsung kuja tecno hapo lazima ujute ila wenye tecno zao washazoea...
 
habari zenu wana jamvi yani nilikuwa nina samsung yangu nzur mno j3 2016 kioo amoled kuna rafiki yangu akaipenda kwel na alikuwa anatumia tecno K7 ikambid anipe hiy tecno aniongeze na hela kidogo lakin kilichonikuta kwakwel najuta na hiy k7 ni mpyaa sanaaa na ina finger print cha ajabu ina stuck kukik maelezo na ina gb 16 na ram 1 gb kwakwel nikawa nimeingia mkenge nilikuwa sina raha nayo haina mvuto kabisa wala mzuka baada ya kuitumia kam wiki mbil nikawa nimeichoka mno mambo yake ikanibid niiuze kwa elfu 80 hata sikujiuliza ninawaomb wanajamvi kama kuna mtu ana mpango wa kununua tecno hii k7 ni simu isiyo na kiwango narudieni tena tecno ni simu mbovu na majanga sijapata kuona nawasilisha
Mkuu hii kampuni ni matapeli kabisa mi sitaki hata kuiona mana ninadeal na simu nazijua hizi tecno ndomana hata ikiwa na tatizo ukaigoogle usitegemee utapewa majibu.
 
habari zenu wana jamvi yani nilikuwa nina samsung yangu nzur mno j3 2016 kioo amoled kuna rafiki yangu akaipenda kwel na alikuwa anatumia tecno K7 ikambid anipe hiy tecno aniongeze na hela kidogo lakin kilichonikuta kwakwel najuta na hiy k7 ni mpyaa sanaaa na ina finger print cha ajabu ina stuck kukik maelezo na ina gb 16 na ram 1 gb kwakwel nikawa nimeingia mkenge nilikuwa sina raha nayo haina mvuto kabisa wala mzuka baada ya kuitumia kam wiki mbil nikawa nimeichoka mno mambo yake ikanibid niiuze kwa elfu 80 hata sikujiuliza ninawaomb wanajamvi kama kuna mtu ana mpango wa kununua tecno hii k7 ni simu isiyo na kiwango narudieni tena tecno ni simu mbovu na majanga sijapata kuona nawasilisha
K7 awezi pita siku 2 bila kuletewa ina stuck
 
Hao mnaoponda Techno mtuambie mlinunua za bei gani?maana kama mlinunua za bei ya chini mnategemea nini. Isije ikawa mnaosifia hizo simu nyingine mnazitumia kama mayai halafu mnajisifia zinadumu kumbe zinadumu kwa sababu mnazibembeleza sana katika matumizi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom