Hakuna mwanamke mzuri aliyesoma sana

Hakuna mwanamke mzuri aliyesoma sana

Huu utafiti umefanyia wapi? Kama sample yako ni vijiji vya wilaya yako matokeo yake hayawezi kukupa uhalali wa kugeneralize matokeo kwa jimbo au hata nchi yako!!! Kuna wanawake wengi tu wazuri ambao si tu kuwa wamesoma vizuri bali hata ndoa zao zimedumu na wana familia za kupendeza!!
Sasa kwa nini usiseme wewe ni mmoja wapo ili tupate ukweli?,na itabidi utuhakikishie kama wewe una urembo wa kutosha,tena utume picha zako nyingi tu ili tuzihakiki,na pia vyeti vyako ili tuchunguze kama sio vya chupi au vipi?,tatizo nyinyi wadada wengi nchini mmeamua kutoa uroda wa mbele na nyuma ili mpate vyeti vya uongo au vipi?,matokeo yake Rais wetu Magufuli anatumbua majipu usiku na mchana kumbe anatumbua nyege za vyeti na taaluma feki au vipi?,sasa wewe nikuulize swali au?kama ulipewa cheti kwa kugawa tigo je utaweza kazi serikalini?,jibu ni NOOOOO au?,wewe ni mburula hujui hata bacteria kwenye chupi yako wanazaliana vipi?,eti tutegemee mwanamke kama wewe utakuwa waziri wa afya,haya basi tunakubali umeteuliwa kuwa waziri wa afya,tutegemee nini sasa?,ni vifo tu na hakuna kingine au vipi?,mwanamke hajui ana bacteria kiasi gani kwenye chupi yake akiamka asubuhi,je atajua vifo vya akina mama na watoto nchini?
 
mkuu. ngoja nikuibiee siri wabaya wanalinga kwa sababu wana competion kubwa yaani wanatongozwa sanaa .kuliko wazurii ..wanaume wengi huwa wanatabia ya kujishtukia na kuhofu kuwa watapigwa vibutii na kujijazia sababu kedekede za kujiogopesha kama ..aaahh huyo ni classic, aah sina hela. aa siyo hadhi yangu... Kwa kumalizia wanawake wazuri ni wepesi sana kwa sababu wanatongozwa mara chache sana.. angalia hata vyuoni uta prove.. Mfano mwingine haujawahi kukutana na mwanamke mzuri ukampenda ila ukaogopa ukaambulia kumsindikiza tu kwa macho..
Una inferiority complex wewe,tena jitahidi ujijenge kihisia na ujipe moyo au vipi?,hao unaowaogopa kwani wanakunya pilau?,wana mashimo ya mavi na wananuka sana waendapo chooni,acha ukauzu .
 
Kuna dokta wangu wa uchumi pale mliman anaitwa dr mkenda,ebana yule mama kisu sana,sijui enzi za ujana wake alikuaje,ana kasura flani hvi amaizing.
Sasa wewe unamtamani doctor Makende? yule si ni bibi mzaa baba yakau ?
Nenda UDSM, anzia UDBS, pitia acturial science, pita kitivo cha sheria pale, nenda COET, rudia hapa juu kidogo karibu na nkhuruma hall (COICT) afu usije ukachoka sana kwa kutembea malizia COSS.

Baada ya safari hiyo nenda Muhimbili, Tax institute pale mikocheni, ila iwe ni baada ya kupitia Ardhi University kwanza, ukijiisi unaanza kuchoka kimbia IFM pale posta ukamalizie utafiti. Afu urudi hapa JF kutupa mrejesho.

NB: pia kuna Bugando, KCMC, mzumbe na UDOM
Mbona unabwabwaja sana? go straight to the point eboo?
 
Sasa kwa nini usiseme wewe ni mmoja wapo ili tupate ukweli?,na itabidi utuhakikishie kama wewe una urembo wa kutosha,tena utume picha zako nyingi tu ili tuzihakiki,na pia vyeti vyako ili tuchunguze kama sio vya chupi au vipi?,tatizo nyinyi wadada wengi nchini mmeamua kutoa uroda wa mbele na nyuma ili mpate vyeti vya uongo au vipi?,matokeo yake Rais wetu Magufuli anatumbua majipu usiku na mchana kumbe anatumbua nyege za vyeti na taaluma feki au vipi?,sasa wewe nikuulize swali au?kama ulipewa cheti kwa kugawa tigo je utaweza kazi serikalini?,jibu ni NOOOOO au?,wewe ni mburula hujui hata bacteria kwenye chupi yako wanazaliana vipi?,eti tutegemee mwanamke kama wewe utakuwa waziri wa afya,haya basi tunakubali umeteuliwa kuwa waziri wa afya,tutegemee nini sasa?,ni vifo tu na hakuna kingine au vipi?,mwanamke hajui ana bacteria kiasi gani kwenye chupi yake akiamka asubuhi,je atajua vifo vya akina mama na watoto nchini?
Aisee....
 
Nimekwisha kama ndio hivyo.

Lakini, uzuri ni mjumuisho wa zote, za ndani na nje? Ina maana wanamme hufuata uzuri wa nje tu?
Nakubaliana na wewe uzuri ni totality ya vitu vingi ikiwemo na vile tusivyoviona.
Mleta uzi nadhani ana maanisha micro. (Good looking ) ambayo watu wengi tunachanganya na uzuri. Ingekuwa mvuto ndiyo kigezo pekee basi hao wazuri wasingekuwa wanalia kila siku kuchitiwa.
 
Nakubaliana na wewe uzuri ni totality ya vitu vingi ikiwemo na vile tusivyoviona.
Mleta uzi nadhani ana maanisha micro. (Good looking ) ambayo watu wengi tunachanganya na uzuri. Ingekuwa mvuto ndiyo kigezo pekee basi hao wazuri wasingekuwa wanalia kila siku kuchitiwa.
Sorry hapo penye micro nilimaanisha mvuto (Good looking ) na si beauty.
 
nini mantiki ya hii thread?
Maana yake wanawake wazuri (au warembo kama unavyotaka kusikia) kutokana na changamoto zilizo ktk mzunguko wa maisha au uhalisia, wengi hawafiki level kubwa kielimu. Kwa kuangalia ratio yao,kuna ka Ukweli hapa. KUNA few exceptions.uzuri huu unaosemewa hapa ni wa muonekano wa nje. SASA msianze kujifanya hamjaelewa na kuleta sentensi zenu za uzuri wa mtu ni tabia.
 
Back
Top Bottom