Tembosa
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,771
- 4,491
Ana PhD?Wewe unamuonaje? Na kumbuka hapo ni mtu mzima, alipokuwa msichana mdogo unadhani alikuwaje?
View attachment 1248337
Ana PhD?Wewe unamuonaje? Na kumbuka hapo ni mtu mzima, alipokuwa msichana mdogo unadhani alikuwaje?
View attachment 1248337
Ana PhD?
Labda ametumia Stratified Sampling method as a precedure of selecting samples.Kwa sample size gani ya population ipi ilikupelekea ku conclude hayo?
Hadithi hiyo inatufundisha nini?
You can't be serious Man!!Huyu ni mrembo?Sikutamani kuchangia huu Uzi lakini kwa Post hii imenikera.Wewe unamuonaje? Na kumbuka hapo ni mtu mzima, alipokuwa msichana mdogo unadhani alikuwaje?
View attachment 1248337
You can't be serious Man!!Huyu ni mrembo?Sikutamani kuchangia huu Uzi lakini kwa Post hii imenikera.
Hadithi inatufundisha Kuwa na akili njema.Kwa sample size gani ya population ipi ilikupelekea ku conclude hayo?
Hadithi hiyo inatufundisha nini?

Kuna Uvumi unaendelea mtaani hivi sasa, "Mwanamke mwenye makalio makubwa anajiamini kuliko mwanamke mwenye Digrii"...Kuna degree za chupi kwa sasa, walengwa ni wale wenye mwonekano mzuri, ukienda kwenye usaili ni hvyohvyo, wanaangaliwa wenye makalio makubwa na mwonekano mzuri.



Nimemuona ni wa kawaida sanaaaaa! Dr Monica Juma Au unamaanisha yule msomali Amina Chawahir Mohamed Jibril waziri wa michezo? Kwa hiyo kila msomali shombeshombe, chotara au mhabeshi kwako ni mzuri? Alichosema mtoa post ni ukweli ingawa kakosea kusema hakuna. Ila ukweli 90% ya wanawake warembo hawasomi sana kwa kuwa wana kitega uchumi urembo, ukikuta mwanamke mwafrika ana shepu nzuri na sura, ana digrii zaidi ya moja labda katoka familia ya wasomi kasoma kwa shinikizo la wazazi. Ila in every general rule there is an exception walio wengi warembo hawasomi na hata wakisoma wanatoa rushwa ya ngono kwa wahadhiri au wanafunzi wenzao vipanga, hawajishughulishi! Wasomi ni minority sana!Wazir wa mashaur ya kigeni wa kenya unamfahamu??????
Tafta picha yake.
Kenyatta na ugumu wake pale alimsahau first lady