Hakuna mwanamke mzuri aliyesoma sana

Hakuna mwanamke mzuri aliyesoma sana

Toto kama hili hata kama limeishia chekechea utaliacha kweli? Mtoto idara zote nzuri ati.
 
Wanawake wasio na Sura nzuri ukiwatongoza wanagoma kabisa... ila wenye sura nzuri twende... ndio maana kale kamsemo kapo na hakaishi ka kusema sura yenyewe wala shepu huna lakini unaringa ringa...
 
Ukiwa na hela hata mzee atakupa shikamoo. Uzuri ni sawa ili kupewa siti yq mbele au kwenda na mtu sehemu hii una radha yake. Ila ukiwa na pesa + uzuri + akiri= goodlife. Phd waachie ndugu zangu wahaya.
 
Kwasisi tunaofanya kazi vyuoni hii kauli iko sawa kabisa.

Ila toka BRN ianze, visu(sura nzuri) kwenye MD, BSP na Uhandisi zimeongeza. Refer two years back.

Aliyeko chuo chochote ataniunga mkono
 
Nenda UDSM, anzia UDBS, pitia acturial science, pita kitivo cha sheria pale, nenda COET, rudia hapa juu kidogo karibu na nkhuruma hall (COICT) afu usije ukachoka sana kwa kutembea malizia COSS.

Baada ya safari hiyo nenda Muhimbili, Tax institute pale mikocheni, ila iwe ni baada ya kupitia Ardhi University kwanza, ukijiisi unaanza kuchoka kimbia IFM pale posta ukamalizie utafiti. Afu urudi hapa JF kutupa mrejesho.

NB: pia kuna Bugando, KCMC, mzumbe na UDOM
 
Wapo wadada wenge wakali sana na wamesoma pia wapo wengi sana yupo dogo mmoja nilikuwa nakimbiza tulikutana bunge la katiba anamiaka 30 kwa sasa lakini tayari anadegree tatu moja kaipatia bongo,nyingine uongereza na tatu brazil halafu dogo mkali nikisema mkali jua mkali kweli halafu hata uwanjani yuko vizuri sana mpole hana pupa na mnyenyekevu sana penzini huo utafiti wako siyo.

unamsifia mpenzi wako huyo
 
WANAWAKE WENYE MISURA MIBAYA MIBAYA NDO UTAWAONA NA GARI ZA UKWELI V8 nk hawa wetu sasa vitz ist ndo gari zao ukiwaona na za ukweli japo kuanzia m 80 vogue na ni mzuri la mume wake hiloo ko hiyo inasadifu kabisa
 
Wapo wadada wenge wakali sana na wamesoma pia wapo wengi sana yupo dogo mmoja nilikuwa nakimbiza tulikutana bunge la katiba anamiaka 30 kwa sasa lakini tayari anadegree tatu moja kaipatia bongo,nyingine uongereza na tatu brazil halafu dogo mkali nikisema mkali jua mkali kweli halafu hata uwanjani yuko vizuri sana mpole hana pupa na mnyenyekevu sana penzini huo utafiti wako siyo.
Hongera kwa kutafuna mtoto mkali na degree zake
 
Wanawake wasio na Sura nzuri ukiwatongoza wanagoma kabisa... ila wenye sura nzuri twende... ndio maana kale kamsemo kapo na hakaishi ka kusema sura yenyewe wala shepu huna lakini unaringa ringa...
mkuu. ngoja nikuibiee siri wabaya wanalinga kwa sababu wana competion kubwa yaani wanatongozwa sanaa .kuliko wazurii ..wanaume wengi huwa wanatabia ya kujishtukia na kuhofu kuwa watapigwa vibutii na kujijazia sababu kedekede za kujiogopesha kama ..aaahh huyo ni classic, aah sina hela. aa siyo hadhi yangu... Kwa kumalizia wanawake wazuri ni wepesi sana kwa sababu wanatongozwa mara chache sana.. angalia hata vyuoni uta prove.. Mfano mwingine haujawahi kukutana na mwanamke mzuri ukampenda ila ukaogopa ukaambulia kumsindikiza tu kwa macho..
 
Wapo wadada wenge wakali sana na wamesoma pia wapo wengi sana yupo dogo mmoja nilikuwa nakimbiza tulikutana bunge la katiba anamiaka 30 kwa sasa lakini tayari anadegree tatu moja kaipatia bongo,nyingine uongereza na tatu brazil halafu dogo mkali nikisema mkali jua mkali kweli halafu hata uwanjani yuko vizuri sana mpole hana pupa na mnyenyekevu sana penzini huo utafiti wako siyo.
Dah mkuu so ulimla huko huko bunge la katiba. Wee ni noumer
 
Back
Top Bottom