Hakuna mwanamke mzuri aliyesoma sana

Hakuna mwanamke mzuri aliyesoma sana

Sandeni

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2013
Posts
666
Reaction score
298
Ni ukweli uliowazi kabisa, wanawake wazuri i mean kuanzia sura, umbo hadi tabia hawafiki mbali kielimu.

Wengi huishia Kidato cha nne, sita na walau degree ya kwanza.
Nadhani hii inasababishwa sana na kuhitajika kwao na wanaume, either kwenye kuolewa au kuchezewa tu na hii ni changamoto kwa wasichana wengi waliozaliwa na sura na maumbo mazuri.

Good kwa wale wasiovutia, at least wao wanaweza kufika fika mbali kidogo.
Mfano mzuri ni hawa wanaofundisha vyuo vikuu, hawako vizuri sana, ukianzia sura na miili, lakini ni wasomi, holding masters degree na Wengine PHD's.

Hata viongozi wanawake waliosoma still sura zao, miili yao na hata tabia zao si nzuri sana.

Marehemu Amina Chifupa, alikuwa mzuri mzuri, ila kielimu she was very low.

So external forces zinachangia sana kwa wadada wazuri kusonga mbele kielimu, hata kama uwezo wanao.
Nahitimisha.
 
Wapo wadada wenge wakali sana na wamesoma pia wapo wengi sana yupo dogo mmoja nilikuwa nakimbiza tulikutana bunge la katiba anamiaka 30 kwa sasa lakini tayari anadegree tatu moja kaipatia bongo,nyingine uongereza na tatu brazil halafu dogo mkali nikisema mkali jua mkali kweli halafu hata uwanjani yuko vizuri sana mpole hana pupa na mnyenyekevu sana penzini huo utafiti wako siyo.
 
Mmmmhhh haya bana,
kuna ukweli kwa mbaliiii hapa Tz,
But kwenye nchi nyingine kama USA,UK,RSA n.k hakuna hiki kitu...
 
Hakuna uzuri wa akili/ndani?

In real life ni wachache sana wanaothamini uzuri wa akili na tabia.

Watu wanavutiwa zaidi na visuals na ndo maana unaona kuna cosmetic surgeries, wonderbras, bootypads, lipstick, etc.

Ass, titties, hips, thick lips, fake hair, eyebrows, etc., ndo vinavutia machoni mwa watu.

Sapiosexuality just ain't that sexy.
 
Nimekwisha kama ndio hivyo.

Lakini, uzuri ni mjumuisho wa zote, za ndani na nje? Ina maana wanamme hufuata uzuri wa nje tu?

In real life ni wachache sana wanaothamini uzuri wa akili na tabia.

Watu wanavutiwa zaidi na visuals na ndo maana unaona kuna cosmetic surgeries, wonderbras, bootypads, lipstick, etc.

Ass, titties, hips, thick lips, fake hair, eyebrows, etc., ndo vinavutia machoni mwa watu.

Sapiosexuality just ain't that sexy.
 
Nimekwisha kama ndio hivyo.

Lakini, uzuri ni mjumuisho wa zote, za ndani na nje? Ina maana wanamme hufuata uzuri wa nje tu?

Ideally labda inatakiwa iwe hivyo lakini in actuality haiko hivyo kabisa.

Hivi unadhani kukiwa na hafla sehemu halafu kwenye waalikwa wakawemo Ngozi Okonjo-Iweala, Wema Sepetu, Kidoti, Linda Express, Missy Temeke, Anna Tibaijuka, Muke ya Muzungu, Pindi Chana, Juliana Shonza, Dina Marios, Isha Mashauzi, Khanifa Maulid, na Jokha Kassim......

Nani kati ya hao unadhani ata turn heads na kuombwa namba ya simu?
 
Ideally labda inatakiwa iwe hivyo lakini in actuality haiko hivyo kabisa.

Hivi unadhani kukiwa na hafla sehemu halafu kwenye waalikwa wakawemo Ngozi Okonjo-Iweala, Wema Sepetu, Kidoti, Linda Express, Missy Temeke, Anna Tibaijuka, Muke ya Muzungu, Pindi Chana, Juliana Shonza, Dina Marios, Isha Mashauzi, Khanifa Maulid, na Jokha Kassim......

Nani kati ya hao unadhani ata turn heads na kuombwa namba ya simu?
Kwenye hiyo list yupi utaomba namba?mimi labda kidoti..just maybe
 
Back
Top Bottom