Hakuna mwanamke mzuri aliyesoma sana

Hakuna mwanamke mzuri aliyesoma sana

Ni ukweli uliowazi kabisa, wanawake wazuri i mean kuanzia sura, umbo hadi tabia hawafiki mbali kielimu.

Wengi huishia Kidato cha nne, sita na walau degree ya kwanza.
Nadhani hii inasababishwa sana na kuhitajika kwao na wanaume, either kwenye kuolewa au kuchezewa tu na hii ni changamoto kwa wasichana wengi waliozaliwa na sura na maumbo mazuri.

Good kwa wale wasiovutia, at least wao wanaweza kufika fika mbali kidogo.
Mfano mzuri ni hawa wanaofundisha vyuo vikuu, hawako vizuri sana, ukianzia sura na miili, lakini ni wasomi, holding masters degree na Wengine PHD's.

Hata viongozi wanawake waliosoma still sura zao, miili yao na hata tabia zao si nzuri sana.

Marehemu Amina Chifupa, alikuwa mzuri mzuri, ila kielimu she was very low.

So external forces zinachangia sana kwa wadada wazuri kusonga mbele kielimu, hata kama uwezo wanao.
Nahitimisha.

Acha dharau kwa muumba wako. Sote tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. Hakuna mwanadamu mbaya! Ubaya uzuri unauona kwa macho yako. Hujawahi kusikia kazi ya Mungu haina makosa? Binadamu wewe mbona unataka laana kwa kukosoa uumbaji wake Mola?
 
Nimekwisha kama ndio hivyo.

Lakini, uzuri ni mjumuisho wa zote, za ndani na nje? Ina maana wanamme hufuata uzuri wa nje tu?

Wanaume hufuata na tabia pia ikija kwenye serious relationship maana mwanamke anaweza kuwa mzuri sana iwapo ni mgawaji kwa wanaume wengi ataishia kulambwa na wanaume tofauti sababu watasita kumuweka ndani maana heshima ya mme ni mke
 
Wapo wadada wenge wakali sana na wamesoma pia wapo wengi sana yupo dogo mmoja nilikuwa nakimbiza tulikutana bunge la katiba anamiaka 30 kwa sasa lakini tayari anadegree tatu moja kaipatia bongo,nyingine uongereza na tatu brazil halafu dogo mkali nikisema mkali jua mkali kweli halafu hata uwanjani yuko vizuri sana mpole hana pupa na mnyenyekevu sana penzini huo utafiti wako siyo.
Mimi nilidhani huko BMK mnatunga katiba kumbe mnatunga naniliu,heri ukawa wamaliona hilo wakaondoka zao.
 
Kuna ukweli kidogo..maana nkicheki muhimbili enzi hizo wale vipanga..unaona kitu..siku hizi hali imebadilika kidogo na kuja kwa feza, marian na st. fransis

mhhhhhhh
 
hivi eeeh;;!!!!! wacha sie wabaya wa muonekano tusonge mbele
 
:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:

😀😀😀 mbona umefurahi hivyo jamaniiiiiiiiiii? Dokta una vituko wewe!!😀😀😀😀😀😀😀😀😀 koh koh koh koh
 
Nakubaliana na mleta hoja hii IPO especially kwa wasichana wazuri waliozaliwa kwny familia maskini coz miluzi inakuwa mingi mpk inafkia kipindi anashindwa kuhimili presha ya wanaume.....mi binafsi hya yashamkuta dadangu akiwa form 3 hali ilikuwa mbaya sana yaan akiwa ilifikia kipindi akiwa anatoka shule anakutana na njemba zimepaki magari zinamsubiri sometym washikaji mpk wanazua ugomvi kiss cster
 
Back
Top Bottom