Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,664
- 4,876
Kuna taarifa nyingi za uongo mitandaoni, sijui meseji za WhatsApp zitasomwa na watu, sijui nini na nini!
Ngoja niwaambie jambo moja. Zuckerberg sio fala, hakuna mtu anayeweza kuingilia mawasiliano ya mtu mwingine. Hii mitandao ipo imara sana labda uhack, na mara nyingi kuhack hutumika Facebook, Instagram kwa kuwa tunatumia email ambapo hakupo very steong kiulinzi, ila huwezi kusikia mtu anasema WhatsApp yangu imehakiwa. Ukiona mtu anatumia Whatsapp yako basi jua kuna mahali ulijisahau, akaiunganisha na Whatsapp Web ama kuscan code.
Halafu ndio maana daily watu wanalizwa. Eti ukitaka kusoma meseji za mpenzi wako Whatsapp njoo tukusaidie... Ndugu zangu, mtaliwa sana pesa zenu.
BBM watu walidanganya kuingilia mawasiliano ya kimtandao tu Blackberry alikaa tumbo joto.
Jaribu kutafuta ile documentary ya Zuckerberg: King of the Metaverse usafishe kichwa.
Hakuna mtu yeyote ataweza kuingilia WhatsApp yako, ukiona kaweza, jua aliichukua simu yako kinyemela.
Zuckerberg sio fala.
Ngoja niwaambie jambo moja. Zuckerberg sio fala, hakuna mtu anayeweza kuingilia mawasiliano ya mtu mwingine. Hii mitandao ipo imara sana labda uhack, na mara nyingi kuhack hutumika Facebook, Instagram kwa kuwa tunatumia email ambapo hakupo very steong kiulinzi, ila huwezi kusikia mtu anasema WhatsApp yangu imehakiwa. Ukiona mtu anatumia Whatsapp yako basi jua kuna mahali ulijisahau, akaiunganisha na Whatsapp Web ama kuscan code.
Halafu ndio maana daily watu wanalizwa. Eti ukitaka kusoma meseji za mpenzi wako Whatsapp njoo tukusaidie... Ndugu zangu, mtaliwa sana pesa zenu.
BBM watu walidanganya kuingilia mawasiliano ya kimtandao tu Blackberry alikaa tumbo joto.
Jaribu kutafuta ile documentary ya Zuckerberg: King of the Metaverse usafishe kichwa.
Hakuna mtu yeyote ataweza kuingilia WhatsApp yako, ukiona kaweza, jua aliichukua simu yako kinyemela.
Zuckerberg sio fala.