MPUNGA MMOJA
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 304
- 401
Mjadala uliyoshika akili za watu kwa sasa ni faida na hasara za kuendelezwa kwa Ujenzi wa Mradi wa Bandari ya Bagamoyo.
Maneno hofu imekua kubwa juu ya yaliyomo katika mkataba wa mradi huu wengi wakitaka UWAZI na USHIRIKISHWAJI kwa wananchi wauone mkataba.
Taifa hili halina utaratibu huo, halijawahi na halitathubutu kufanya hilo. Taifa lililojaa viongozi WABINFSI, WEZI na VIBARAKA wabeba maslahi ya nchi kwa ajili ya MATUMBO yao hawatakubali hili.
Maneno hofu imekua kubwa juu ya yaliyomo katika mkataba wa mradi huu wengi wakitaka UWAZI na USHIRIKISHWAJI kwa wananchi wauone mkataba.
Taifa hili halina utaratibu huo, halijawahi na halitathubutu kufanya hilo. Taifa lililojaa viongozi WABINFSI, WEZI na VIBARAKA wabeba maslahi ya nchi kwa ajili ya MATUMBO yao hawatakubali hili.