Hakuna mkataba wa mradi wowote wananchi tumewahi kuhusishwa kuupitia. Huu wa Bandari ya Bagamoyo hawawezi kuuweka wazi

Mjadala uliyoshika akili za watu kwa sasa ni faida na hasara za kuendelezwa kwa Ujenzi wa Mradi wa Bandari ya Bagamoyo.

Maneno hofu imekua kubwa juu ya yaliyomo katika mkataba wa mradi huu wengi wakitaka UWAZI na USHIRIKISHWAJI kwa wananchi wauone mkataba.

Taifa hili halina utaratibu huo, halijawahi na halitathubutu kufanya hilo. Taifa lililojaa viongozi WABINFSI, WEZI na VIBARAKA wabeba maslahi ya nchi kwa ajili ya MATUMBO yao hawatakubali hili.
Afadhali hata kama wangekuwa wanavimbiwa! Tatizo wanamatumbo kama ile "blackhole" kwenye galaxy! Hawashibi, hawatosheki, hawashibi?!
Sasa twajiuliza binadamu gani hawa kila kukicha wanawaibia tu wananchi wao bila kikomo?!
 
Mikataba mingi ina kifungu cha usiri (confidentiality), ambacho ninamaanisha kifungu ambacho kinazuia wahusika (Authorized personnel) kwenye mkataba kutangaza, au kufichua wengine habari zingine in (public).

Kwa ufupi mikataba mingi ipo CLASSIFIED
 
Hili jambo ni la Watanzania wote bila kujali Itikadi za Vyama vyao

Inakuwa ni Okoa Jahazi Movement.
Watu wana masilahi yao tofauti tofauti kwenye siasa sasa sijui hao watu wataongonishwa na nini?
 
Jikite kwenye maada husika mkuu! Naona unahangaika Sana na Mbowe, sijui kakufanyaje? Inabidi umfungulie uzi maalum
 
eti Nchi HURU inayoficha MIKATABA YAKE inayoingia na wawekezaji kwamba ni SIRI. . na endapo mwananchi ukatumia mbunu zao ukauchapisha mkataba huo kwa umma utashitakiwa kwa kukutwa kwa kusambaza SIRI za Serikali yaani kosa lako na la yule aliyekutwa na NYARA ni sawa....

Tuna safari ndefu sana Watanzania - Uhuru wa kweli bado HATUJAUPATA, kunarudi kulekule KATIBA iliyopo inawapa Watawala JEURI ya kufanya watakavyo !!
 
*TUHUMA ZA MBOWE ZINAACHA MASWALI MENGI.
*
Mbowe kabla hata ya kujisafisha na uongo wake wa kulewa na kuangushwa na konyagi nyumbani kwa hawara Joyce Mkuya kisha kulitangazia taifa kwamba amepigwa na wasiojulikana, amekuja na igizo jingine kwamba alifilisiwa na akaunti zake zote zilifungwa na TRA!!

Kama ni kweli alikuwa wapi kuyasema haya? Badala yake akawa anaitisha press conference akiwa amevaa gloves feki huku akiwa amejifungia kwenye lockdown hewa.

Ina maana Mbowe alikuwa tayari kuita waandishi wa habari na kuwaelezea alivyokimbia bunge na kwenda lockdown uchwara kuliko kuwaelezea alivyofungiwa akaunti zake zote ikiwemo ya mshahara?

Mbowe hili ni taifa la watu wanaojitambua na kamwe hutafanikiwa kwenye hiyo biashara yako mpya uliyokula 10% ili ulete chanjo ya corona nchini.
Babu achana na mbowe hapa mada ni kuhusu mikataba kuwekwa wazi raia nao wShirikishwe

Ova
 
Back
Top Bottom