Kwa mambo yanayofanywa na hii serikali ni kielelezo tosha kabisa kuwa kuwepo kwao madarakani kutaendelea kudidimiza nchi, maamuzi kama haya hayana tija yoyote kwa mfanyakazi na kwa mwananchi yeyote kwa ujumla; wanaendelea kutuaminisha kuwa wamefikia tamati ya ubunifu, mabadiliko ni lazima ili kunusuru nchi!