Exy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,827
- 4,952
Samia alikuwa Makam wa Magufuli, alichofanya Magufuli Samia aliunga mkono kwa 100%. Mnamsifu Magufuli na kumponda Samia hamna akili, wote ni matapeli na majizi+ uigizaji.
Magufuli ameiba mapesa mengi Nchi hii kuliko Rais yeyeto, Magufuli amefanya wahitimu wa vyuo vikuu kupoteza muelekeo wa maisha,Magufuli ameua watumishi waliotumikia serikali ya CCM akawatumbua na pesa za pensheni zao akala!, Magufuli ametahifisha lanchi ya Karagwe...
Samia amewagawia wajomba zake loliondi, ngorongoro, Samia ameuza Bandari ya Dsm kwa wajomba zake .... Kumuondoa Samia kwenye maovu ya Magufuli na kumpa Magufuli sifa huku ukimponda Samia automaticlly Wewe ni mpumbavu.
Magufuli ameiba mapesa mengi Nchi hii kuliko Rais yeyeto, Magufuli amefanya wahitimu wa vyuo vikuu kupoteza muelekeo wa maisha,Magufuli ameua watumishi waliotumikia serikali ya CCM akawatumbua na pesa za pensheni zao akala!, Magufuli ametahifisha lanchi ya Karagwe...
Samia amewagawia wajomba zake loliondi, ngorongoro, Samia ameuza Bandari ya Dsm kwa wajomba zake .... Kumuondoa Samia kwenye maovu ya Magufuli na kumpa Magufuli sifa huku ukimponda Samia automaticlly Wewe ni mpumbavu.