Hakuna kosa wala dhambi kumkumbuka Magufuli, aliiweza nchi, kwa sasa kuwa na uhakika wa mambo ya kesho, haijulikani

Samia alikuwa Makam wa Magufuli, alichofanya Magufuli Samia aliunga mkono kwa 100%. Mnamsifu Magufuli na kumponda Samia hamna akili, wote ni matapeli na majizi+ uigizaji.
Magufuli ameiba mapesa mengi Nchi hii kuliko Rais yeyeto, Magufuli amefanya wahitimu wa vyuo vikuu kupoteza muelekeo wa maisha,Magufuli ameua watumishi waliotumikia serikali ya CCM akawatumbua na pesa za pensheni zao akala!, Magufuli ametahifisha lanchi ya Karagwe...
Samia amewagawia wajomba zake loliondi, ngorongoro, Samia ameuza Bandari ya Dsm kwa wajomba zake .... Kumuondoa Samia kwenye maovu ya Magufuli na kumpa Magufuli sifa huku ukimponda Samia automaticlly Wewe ni mpumbavu.
 
Samia alikuwa Makam wa Magufuli, alichofanya Magufuli Samia aliunga mkono kwa 100%. Mnamsifu Magufuli na kumponda Samia hamna akili, wote ni matapeli na majizi+ uigizaji.
Magufuli ameiba mapesa mengi Nchi hii kuliko Rais yeyeto, Magufuli amefanya wahitimu wa vyuo vikuu kupoteza muelekeo wa maisha,Magufuli ameua watumishi waliotumikia serikali ya CCM akawatumbua na pesa za pensheni zao akala!, Magufuli ametahifisha lanchi ya Karagwe...
Samia amewagawia wajomba zake loliondi, ngorongoro, Samia ameuza Bandari ya Dsm kwa wajomba zake .... Kumuondoa Samia kwenye maovu ya Magufuli na kumpa Magufuli sifa huku ukimponda Samia automaticlly Wewe ni mpumbavu.
Kwa sasa wamepatia njia siyo??
 
Aliyesababisha Hadi Sukari kutoa 1500-2000 Hadi 3000-3500 ni Magufuli.

Huko kwenye umeme hakuna miujiza yeyote sana sana ni kwamba matumizi ya umeme yalipungua Kwa sababu watu walikimbia na kufunga biashara hivyo grid haikuwa na pressure tofauti na Sasa ambako kila kitu kimefunguka.

Hakuna wakati wowote Nchi hii Iko pazuri kushinda awamu ya 6,Kumlinganisha mtu aliyepora pesa za wafanyabiashara na Watumishi Kwa sababu ya kufilisika ni kumkosea heshima Samia.

Mwisho hakuna mtu anakukataza kumuwaza Mwendazake,wenzako wanaomtumia kama.kete ya siasa Kwa wajinga wewe unamkumbuka kushinda Muumba wako,hapo ndipo laana itakutafuna.
Huna akili umejaza vitu vya ajabu kichwani
 
Kwa hiyo saizi hawatekwi? Hao vijana wa vingunguti Waliouawa juzi hapa,Kijana wa mbezi week ilopita kaonekana ameuliwa!
Wale vijana wa Kariakoo wa tano mpaka leo hawajawahi kuonekana, Geita nako watu wamepotea!
Mauaji kila kona ya nchi huyaoni wewe punga?
Mauaji vituo vya polisi na Wagonjwa kupata mateso mahospitalini na kufa kwa uzembe husikii?
Yaani wewe akitekwa mmoja mwanasiasa ndo jambo hatari ila wakitekwa na kuuliwa wananchi wa kawaida sawa tu!
Jinga kabisa!
Mwendazake alikuwa muuaji.Panya road watafyekwa wote
 
Ni ujinga kulazimishwa eti tusikumbuke uzuri wa ilivyokuwa awamu ya Magufuli

Ni ujinga kuendelea kutiana moyo kwamba, eti tupo pazuri na tunaelekea pazuri zaidi

hivi, Magufuli alitumia miujiza gani kwenye suala la Umeme na mgao kutokuwepo?

Yeye alifanyeje kumeneji suala la mlipuko wa bei za vyakula mbali na kuwa kwenye janga la Korona dunia nzima?

Alitumia mbinu gani kufanya nishati ya mafuta isipande na nauli kuwa juu, licha kwamba kipindi cha Korona meli nyingi zilipaki?

Sukari nayo imeshindikana sasa kushuka licha ya kuwa na kiwanda cha Bagamoyo sugar na kikubwa kulikoni vyote East Africa, sukari kg 4000 mpaka 4500, kweli???

Tunatafutana nini hapo?

kila mtu anayetokea mikoa ya mbali atakubaliana nami kwamba, kwa sasa suala na safari kutoka mkoa hadi mkoa, ni kama adhabu ya ndogo ya jehanamu

Kutoka kuwa na nauli ya tsh 70,000 kwenda Bukoba hadi 100,000+

Kutoka nauli ya 300 jijini Dar hadi 900 na 1100??

Halafu kuna mpuuzi mmoja anaendelea kusema ni sawa?

Kutoka kuwa na matibabu ziro kwa wajawazito na watoto chini ya umri wa miaka 0 hadi 5, leo ni pesa??

Kutoka kuwa na umeme 27,000 wa REA hadi kutojulikana kama kuna REA au hakuna, maana bei ni ileile 310,000, bado kuna mjinga anaona ni sawa?

Tusikumkumbuke Magufuli kwa sababu ya wajinga wachache aliowatimua kazini?

Kwa sababu tu aliwadhibiti waliokuwa wanajilipa mapesa kupitia watumishi hewa?

Hao ndio watufanye tusisemee mazuri hayo kwa sababu ya matusi yao mitandaoni?

Mnataka tuwasifu kwenye lipi sasa ikiwa kila kitu kimepanda bei?

Watu hawalazimishwi kusifia, wafanyie mambo mazuri wakusifu, kwa sasa tusifu nini na tumsifie nani na kwa lipi?

2025 nayo ile palee, kila kitu kimegoma kurudi mahali pake,, mtatuambia nini wapiga kura sisi?

Tisheti na kanga?

Na bahati mbaya hata makanisani na misikitini huwa mnakwenda kumzuga padri, Asikofu na shekhe ili hali mkijua njia yenu ni ovu kuliko waovu wote, mnasubiri muibe kura 😂 na mjitangaze mmeshinda kwa kishindo!!

Mnakula mema ya nchi mkiendelea kuwahadaa wananchi walala hoi kwamba mnawatengenezea maisha bora? Njia zenyewe ndio hizo za kupandisha gharama kwenye kila bidhaa??

Mungu ilinde Tanzania kwa mkono wako wa chuma!

Uwabariki viongozi wetu waçhache wanaomaanisha kuwatumikia wananchi
Mkuu wote wanaosema mazuri na mabaya ya Magufuli na Samia wote wanasifia kwa namna tofauti jinsi inavyo wazuuza mioyo yao!

Hakuna aliyekuziba mdomo usisifie umhusuduye jinsi utakavyo au upendavyo, wewe tiririka mpaka kukuche! Ni MB zako tu!

Mambo ya mgao wa umeme, vitu kupanda bei na huduma za jamii zisizoridhisha zilikuwepo awamu zote! Na zitaendelea kuwepo! Usijipe stress, jipange kivyako vyako!
 
Aliyesababisha Hadi Sukari kutoa 1500-2000 Hadi 3000-3500 ni Magufuli.

Huko kwenye umeme hakuna miujiza yeyote sana sana ni kwamba matumizi ya umeme yalipungua Kwa sababu watu walikimbia na kufunga biashara hivyo grid haikuwa na pressure tofauti na Sasa ambako kila kitu kimefunguka.

Hakuna wakati wowote Nchi hii Iko pazuri kushinda awamu ya 6,Kumlinganisha mtu aliyepora pesa za wafanyabiashara na Watumishi Kwa sababu ya kufilisika ni kumkosea heshima Samia.

Mwisho hakuna mtu anakukataza kumuwaza Mwendazake,wenzako wanaomtumia kama.kete ya siasa Kwa wajinga wewe unamkumbuka kushinda Muumba wako,hapo ndipo laana itakutafuna.
👍🆒
 
Mkuu wote wanaosema mazuri na mabaya ya Magufuli na Samia wote wanasifia kwa namna tofauti jinsi inavyo wazuuza mioyo yao!

Hakuna aliyekuziba mdomo usisifie umhusuduye jinsi utakavyo au upendavyo, wewe tiririka mpaka kukuche! Ni MB zako tu!

Mambo ya mgao wa umeme, vitu kupanda bei na huduma za jamii zisizoridhisha zilikuwepo awamu zote! Na zitaendelea kuwepo! Usijipe stress, jipange kivyako vyako!
Mkuu, ni mhimu kujali mambo yanaposhindwa kutabirika
 
Magufuli alikuwa ni disaster;
1. Alitangaza vita vya vyeti fake huku akilinda baadhi ya watumishi wakuu na idara nyingine wasiguswe.

2. Alihubiri kuangamiza rushwa lakini akiwaruhusu traffic police kupewa pesa za hongo alioiita pesa ya kupiga brush viatu.

3. Alianzisha elimu bure matokeo yake darasa la kwanza wanafunzi kwenye chumba kimmoja walijaa zaidi ya 200.

Hata pale vilipopatikana au kujenga vyumba vya madarasa hakuajiri walimu wapya kuendana na wingi wa madarasa.

4. Aliomba mkopo/msaada wa Elimu wenye thamani ya 400 million dollars uliokuwa na sharti ya kuruhusu waliozaa kurudi shuleni kuendelea na masomo,lakini ulipokuwa tiyari akauruka kimanga.

5. Akiwa waziri wa miundo mbinu wakati wa Jk,aliufagilia mradi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo,lakini alipoukwaa uraisi akaukana kabisa.

6. Alitumia pesa nyingi kujenga uzio wa kuzunguka eneo zima la madini ya Tanzanite huko Merelani ili kudhibiti utoroshaji wa madini hayo,kumbe wajanja wakachimba mahandaki kama ya wa Palestine ukanda wa Gaza,wakaendelea kutorosha madini hayo kwa njia za chini kwa chini.

7. Alihamia Dodoma kwa kuhamisha serikali yake na Taasisi mbali mbali tokea Dar kwa kile alichodai makao makuu ya nchi,lakini kwa nyakati mbali mbali akaifanya Chato kufanya shughuli mbali mbali za kitaifa hata kuliko Dodoma.

8. Hakupenda kukosolewa lakini yeye akiwakosoa waliomtangulia na viongozi wengine kwenye serikali yake.

9. Alikataa safari za kwenda nchi za nje za mbali akidai anapunguza matumizi kumbe alikuwa na kitufe Pacemaker chenye kurekebisha mapigo ya moyo ambacho kinaweza kuadhirika sana kwasababu ya mitambo ya electronic ya ndege.

10. Tuliambiwa tunadai ushuru wa makanikia sh 360 trillion tukaambuli sh 700 billion hata trillioni mmoja haijafika.

Kibaya zaidi Barrick waliitoa pesa hiyo kwa awamu wakisema ni msaada wa maendeleo wala si kodi ya makanikia hawadaiwi.

11. Alituhamasisha ataleta maendeleo kwa wananchi wote, kuwa hajali mwananchi anatokea chama gani lakini wakati mwingine akidai kuwabomolea nyumba ambao hawakumchagua.

12. Takwimu za viwanda alivyodai 8000 vimejengwa wakati wa utawala wake haikuwa sahihi.
Mkuu ni mengi mno! Jinsi ya kudeal na uongo wa Sukuma gang ni kuweka facts hapa kama ulivyo fanya, maana wanafikiri watu wamesahau!

Kwa kipindi cha miaka mitano 5 cha Mwendazake hii nchi ilirudi nyuma miaka 50!
 
Mkuu ni mengi mno! Jinsi ya kudeal na uongo wa Sukuma gang ni kuweka facts hapa kama ulivyo fanya, maana wanafikiri watu wamesahau!

Kwa kipindi cha miaka mitano 5 cha Mwendazake hii nchi ilirudi nyuma miaka 50!
Fact ambazo pia hujaziweka mkuu, unadhani bila ya hizo wataacha sasa...?
 
Makamba mwenyewe alipo ingia pale tanesco gia ya kwanza ilikuwa kupambana na Magufuli,

Mwishowe akala mweleka hadi kipara kikaongezeka.
 
Sukari sasa hivi inauzwa elfu 4,500 toka 3500

Mafuta yanuzwa elfu 5000 toka 3500

Petrol na dizel inauzwa elfu 400 toka 2000

Ni wazi wewe ni taahra
Mkuu ili kutenda haki na kabla ya kumtukana mwenzio tuwekee data ya ya bei ya vitu hivyo wakati Magufuli anaingia na wakati anaenda zake ili tuone kama hakukuwepo na ongezea la bei katika awamu yake kama unavyo imply hapa!
 
Back
Top Bottom