Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 424
- 1,044
Kufanya biashara mtandaoni ni riski kubwa sana pia nawahurumua watu wanaotegemea kufanya biashara mtandaoni maana kadiri mambo yanavyobadilika hamna mtu ataamini vitu vya online ingawa ingekuwa inatumika ipaswavyo ingerahisisha zaidi kwa kuokoa muda na usalama pia.
Ila kadri siku vinavyosonga mbele mtandao unageuka kuwa wizi wa kupindukia, mfano nchi za wenzetu wako vizuri sana ingawa sijui changamoto zao ila mtu anaagiza na kupokea mzigo mlangoni. Sisi kwetu sasa ukiagiza ujue tumbo la kuhara lazima likushike hutulii mpaka mzigo uuone ndio useme afadhali.
Jana nimeona kitu mtandaoni nikakipenda nikasema ngoja nimcheki mshikaji tuyajenge, tumeelewana vizuri na mzigo nimetuma na makubaliano ni leo nipokee changu.
Kilichonikuta Gari ambayo tulielewana anitumie imepita nampigia simu hapokei na simu kazima. Sasa mtu kama huyu anaharibu kula ya wengine wanaotegemea order za watu, na kwa hali kama hii uje unishawishi kuchukua vitu bongo tena online ni ngumu maana tayari nimeona madhara yake.
Siyo mara moja nafanya biashara online nimezoea kuagiza Alibaba.com na AliExpress.com jamaa hawana noma aisee nilishangaa naagiza kitu kimoja AliExpress naletewa mpaka Tanzania hueziamini ni cha Tsh2,000 tu.
Na muda huu napoa andika nimepokea Email ya mzigo wangu
Hapo nakuwa na amani maana kila hatua najua sasa sisi tunakwama wapi wizi huu mpaka lini??
Pamoja na hivyo, Mwezi wa 1 mwaka huu nimeagiza Laptop Alibaba nimepokea bila shida, na mpaka mzigo unanifikia nilikuwa najua unaenda endaje kila kituo naona kupitia track order.
Sisi watanzania ndio maana hatuaminiki iwe kwenye kazi au hata ukiomba ajira sehemu, kwenye kampuni au kwa mtu binafsi uaminifu ni sifuri, hata ndugu unamuogopa kuja kwako!!
Ila kadri siku vinavyosonga mbele mtandao unageuka kuwa wizi wa kupindukia, mfano nchi za wenzetu wako vizuri sana ingawa sijui changamoto zao ila mtu anaagiza na kupokea mzigo mlangoni. Sisi kwetu sasa ukiagiza ujue tumbo la kuhara lazima likushike hutulii mpaka mzigo uuone ndio useme afadhali.
Jana nimeona kitu mtandaoni nikakipenda nikasema ngoja nimcheki mshikaji tuyajenge, tumeelewana vizuri na mzigo nimetuma na makubaliano ni leo nipokee changu.
Kilichonikuta Gari ambayo tulielewana anitumie imepita nampigia simu hapokei na simu kazima. Sasa mtu kama huyu anaharibu kula ya wengine wanaotegemea order za watu, na kwa hali kama hii uje unishawishi kuchukua vitu bongo tena online ni ngumu maana tayari nimeona madhara yake.
Siyo mara moja nafanya biashara online nimezoea kuagiza Alibaba.com na AliExpress.com jamaa hawana noma aisee nilishangaa naagiza kitu kimoja AliExpress naletewa mpaka Tanzania hueziamini ni cha Tsh2,000 tu.
Na muda huu napoa andika nimepokea Email ya mzigo wangu
Hapo nakuwa na amani maana kila hatua najua sasa sisi tunakwama wapi wizi huu mpaka lini??
Pamoja na hivyo, Mwezi wa 1 mwaka huu nimeagiza Laptop Alibaba nimepokea bila shida, na mpaka mzigo unanifikia nilikuwa najua unaenda endaje kila kituo naona kupitia track order.
Sisi watanzania ndio maana hatuaminiki iwe kwenye kazi au hata ukiomba ajira sehemu, kwenye kampuni au kwa mtu binafsi uaminifu ni sifuri, hata ndugu unamuogopa kuja kwako!!