Hakuna binadamu anayekupenda kwa dhati

Hakuna binadamu anayekupenda kwa dhati

Kwa akina mama hiyo huwa inatokea.Mimi mwenyewe mama yupo hivyo, yaani km hujamtumia pesa kwa muda mrefu siku ukimpigia utakuta ni km vile Hana muda na simu Yako,Mtu anakuuliza ulitaka kusemaje sasa?, Swali hili unaulizwa kabla ya kujuliana Hali.
Sio mama yako huyo, uliza vizuri. Alitaka kukutoa kafara ukiwa mtoto ukute, ila ukapona kwa kudra za Mungu. Na baada ya kushindwa amepoteza upendo wote kwako.
 
Yeah, huenda alishataka kukutoa kafara au kutoa mimba yako kishirikina ila akashindwa, baada ya kushindwa amepoteza mapenzi yote kwako, huyo ni ADUI, jaribu kuanza kuchunguza sasa, jichimbie na uanze kuutafuta ukweli.
Dah!!,We jamaa Mbona unakomaa sana?!!.
 
Ni mama yangu kabisa wa kunizaa.It's psychological kutokana na ugumu wa maisha,hii nimeiona kwa watu wengi.
Mimi bro wangu hana hela wala kazi, ila mother ana upendo mno. Ni kwa wazazi wote wawili, nilipokuwa chuo, hakuwahi kuniomba hata senti ya boom, japokuwa alikuwa anakosa hela ya kula wakatu mwingine.
 
Nakomaa kweli, sio kawaida watu wana siri NZITO kaka. Yaani ndio kwanza nasikia kutoka kwako. Mama yako kabisa wa kukuzaa??? Weweeee hiyo haipo na si kawaida.
Maisha magumu Mkuu, Upendo unaondolewa na maisha magumu, halikadhalika unaletwa na maisha mazuri.
 
Mimi bro wangu hana hela wala kazi, ila mother ana upendo mno. Ni kwa wazazi wote wawili, nilipokuwa chuo, hakuwahi kuniomba hata senti ya boom, japokuwa alikuwa anakosa hela ya kula wakatu mwingine.
Ni sawa,hii pia inatokea, hata mimi kwa mama, Mdogo wangu akiishiwa, mother yupo radhi kahela niliko mtumia amgawie na yeye.
 
Maisha magumu Mkuu, Upendo unaondolewa na maisha magumu, halikadhalika unaletwa na maisha mazuri.
Ume ongea neno, hali ya maisha ina ondoa upendo,hili lipo na nime lishudia kuna jamaa yangu aikua vzr sana kimaisha na aliwasomesha mpaka wadogo zake,lkn alipo anguka kibiashara hata likitokea lolote nyumbani kwao taarifa hapati, na wakija mjini hawamtembelei kbs km zamani,wana ishia kwa mdogo mtu tu. kweli upendo ni PESA... jamaa hua anaumia sana. Tutafute pesa upendo utakuja automatically tu
 
Ume ongea neno, hali ya maisha ina ondoa upendo,hili lipo na nime lishudia kuna jamaa yangu aikua vzr sana kimaisha na aliwasomesha mpaka wadogo zake,lkn alipo anguka kibiashara hata likitokea lolote nyumbani kwao taarifa hapati, na wakija mjini hawamtembelei kbs km zamani,wana ishia kwa mdogo mtu tu. kweli upendo ni PESA... jamaa hua anaumia sana. Tutafute pesa upendo utakuja automatically tu
Ndo hivyo Chifu,laiti km tungelikiwa tunajua mapema kuwa hao wanaojifanya wanatupenda kuwa wanatupendea pesa tu,kwa hakika tungejitenga nao mapema.
 
Karne hii inataka binadamu akupende!!!! mweeh.... Jipende mwenyewe. Jali afya yako, kazi inayokuingizia kipato, jali ndoto zako. Mungu akikujalia familia ipende na ihudumie lakini usibweteke maana hata watoto wako wanaweza wasikupende... jiwekee akiba. Furahia maisha. Mtegemee Mungu maana amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu.
Mini nakula ganja sana, ndo naona rafiki wa kweli aliyebaki, hata issue za Mungu naona ni ujinga tu, Mungu yu ndani yangu yako na yake, heshimu kila kiumbe na nature yetu ndo Mungu anatupa kila kitu sio dini zinazopindisha mawazo ya asili yetu, huyo Mungu wenu wa vitabuni mwenu hawezi kuwa mjinga akaumba bangi na miti na majani mengine kuwa tiba kwa maradhi yetu afe aseme hii haramu! Huyo sio Mungu bali ni adui yetu...
 
Fafanua Mkuu,tukuelewe.
KILA MTU unayekutana naye katika maisha yako kwanza kabisa, mthamini sana kama binadamu mwenzako (utu), pili, husiana naye kwa akili (muda wote katika kila muamala), na mwisho, usitarajie makubwa (mazuri/mema) toka kwake. Basi. Huo ndio uhalisia. Mengine ni masuala ya hisia zaidi.
 
Mama,baba na ndugu zako wa damu ndio binadamu pekee wanaokupenda kwa dhati,

Mke,marafik na wengineo usiwaweke katika kundi hilo.
 
KILA MTU unayekutana naye katika maisha yako kwanza kabisa, mthamini sana kama binadamu mwenzako (utu), pili, husiana naye kwa akili (muda wote katika kila muamala), na mwisho, usitarajie makubwa (mazuri/mema) toka kwake. Basi. Huo ndio uhalisia. Mengine ni masuala ya hisia zaidi.
Nimekupata vizuri Mkuu.
 
Back
Top Bottom