Hakuna binadamu anayekupenda kwa dhati

Hakuna binadamu anayekupenda kwa dhati

Mama yangu mzazi alinipenda sana na akawa anaongea na mimi muda mwingi na kuniombea sana. Leo pesa zimeisha hata nikipiga simu wanapewa watoto wa marehemu dada yangu waongee (shikamo mama.... jibu; ongea na wajomba zako mimi sina cha kuongea na wewe). nikienda kijijini hata chakula wakiivisha sipo wanakula sibakishiwi. Namshukuru Mungu wakati nina unafuu wa maisha nilijitahi kuboresha ustawi wa wazazi wangu hata nyumba nzuri nikawajengea. Nimeamua niende mbali na kijiji changu zaidi ya kilometa 800 nije nihangaike tena na sasa natafuta kwa tabu ili nipate tena nirudishe mahusiano mazuri na Mama yangu ambaye kumbe nikiwa na pesa ndo upendo unakuwepo. Tusiache kusaidia na kujitoa kwa ajili ya wazazi wetu.
Nimehuzunika sana na hii comment..pole sana mkuu if it's true maana hapa nawaza kama huyo Mama ni Mama yako wa kukuzaa kweli.
 
kuna ukweli humu tena kuna visa vingi sana ebu tujaribu Mungu akikujalia kipato kizuri jali familia yako mkeo na watoto, pia toa sadaka kwa Mungu na kusaidia wasio jiweza. marafiki hatukatai lakini uwe na mipaka kuna familia naijua jamaa alikua anajali mda wake apoteze kwa marafiki anarudi kwake usiku wa manane alikuja kupata ajali aisee mkewe ndio akawa faraja yake akipiga simu kuomba msaada hazipokelewi, mara mtu anamjibu kasafiri, unajiuliza mtu akisafiri pesa haziwezi kutumwa? mwisho wasiku mke wa jamaa akipita ile bar aliyokuwa akipenda kupiga kinywaji mme wake anawaona wale rafikize wakilewa hawana habari, jamaa alijuta sana ingekua vema muda wake na furaha zake aipe familia yake lakini hakuweza kurudisha siku nyuma hadi sasa naongea jamaa karudi kwao nyumba aliokua amepanga kodi ilikata na madeni juu, watoto wakaachishwa shule za pesa wakarudi asante Nyerere,, kazi aliyo tegemea ya kiwandani hawez tena kufanya na kiwanda hakimsubiri mtu washa replace mwenye afya yake.
 
NJE YA MADA KIDOGO ILA NI KUHUSU FRIENDSHIP HIZ ZA mleta mada.

Nikiwa sekondari nilikua na mshkaji mmoja manzi nimpe jina Sara.Alikua mchiz wangu sana kias kwamba wengi walihis Sara ni dem wangu but haikua hivyo.Baada ya kumaliza form 4 hatimaye 6 hatimaye chuo akaja akaolewa na mshkaji mmoja ambaye tulikua kuwa class 1 sekondari nimpe nina Ibra

Mumewe yaan Ibra hatukua na mahusiano ya karibu tukiwa class na hata baada ya hapo ila Sara alikua na tendency ya kunitafuta tafuta tunapeana hi plus kuishia ku view status tuu whatsapp.

E BWANA EEH!!.. 2019 Nikadondokea pua maisha yakanichapa kishenzi.Hali ngumu kazi nimepoteza.. watoto ada mtihan migogoro kibao na wife home.

Siku hiyo nakumbuka asbuh wife aliniletea dharau nikashindwa kuvumilia nikamlamba makofi bas asbh yangu haikua nzuri sana ukizingatia kwamba sina cha kufanya kazi sina pa kwenda sina.Bahat nzuri nilikua na bando.

Katika kujaribu kurudisha mood nikaingia watsap nikachek chek status nika reply chache ikiwepo ya huyo Sara na conversation ikawa kama ifuatavyo

Sara: mambo vp

Mimi: poa tu ila kuna mjinga kanihabia mood hap asbuh hii bas shida tu

Sara: ni kawaida tu mambo ya maofisin

Mimi: hata siko ofisin niko home tu right now.

Sara: kwann hujaingia ofisin

Mimi: ni almost mwaka unaisha sasa siko kazin.

Sara : tatizo nini?

Mimi: (nikampa mkasa mzima as a friend na akasikitika sana na akani laumu kwanini niko kimya muda wote huo hali tunawasiliana ila sija share the issue)

Sara: pole sana basi ngoja Ibra arudi nitaongea nae atajua cha kufanya

(huyu ibra ni mumewe na wote ni class mates wangu sema mshkaji hatukuaga close sana af alikuaga mmbea mmbea sana kufuatilia matokea ya mitihan ya wenzie..ofcz alikua na uwezo clasa ila sio wa kunifikia mimi)

Basi kesho yake Ibra akanipigia cm tukapiga story sana maan ni siku nyingi then finally akaniambia nimtumie CV yangu fasta.

Baadae nikapigiwa cm na admin wa kampun flan nje ya mji kidogo nikaambiwa nifike ofisn .Nikauliza muda gan nikajibiwa muda wowote nitakaopata nafasi basi nikaji comitt saan 3 asubh.
Nilipofika faster tu nikapewa internship ya 6 months mshahara mnono tu kiaa kwamba namaliza mkataba nina kigar changu basi sina shida.ila kubwa zaid kazi ikanisaidia kulipa madeni yoote ikiwemo ada za watoto na mengineyo maana ku survive bila kazi kwa mwaka m 1 kulinifa nya ninuke maden.

Marafiki wapo jaman ila wa kutafutiza sana
 
NJE YA MADA KIDOGO ILA NI KUHUSU FRIENDSHIP HIZ ZA mleta mada.

Nikiwa sekondari nilikua na mshkaji mmoja manzi nimpe jina Sara.Alikua mchiz wangu sana kias kwamba wengi walihis Sara ni dem wangu but haikua hivyo.Baada ya kumaliza form 4 hatimaye 6 hatimaye chuo akaja akaolewa na mshkaji mmoja ambaye tulikua kuwa class 1 sekondari nimpe nina Ibra

Mumewe yaan Ibra hatukua na mahusiano ya karibu tukiwa class na hata baada ya hapo ila Sara alikua na tendency ya kunitafuta tafuta tunapeana hi plus kuishia ku view status tuu whatsapp.

E BWANA EEH!!.. 2019 Nikadondokea pua maisha yakanichapa kishenzi.Hali ngumu kazi nimepoteza.. watoto ada mtihan migogoro kibao na wife home.

Siku hiyo nakumbuka asbuh wife aliniletea dharau nikashindwa kuvumilia nikamlamba makofi bas asbh yangu haikua nzuri sana ukizingatia kwamba sina cha kufanya kazi sina pa kwenda sina.Bahat nzuri nilikua na bando.

Katika kujaribu kurudisha mood nikaingia watsap nikachek chek status nika reply chache ikiwepo ya huyo Sara na conversation ikawa kama ifuatavyo

Sara: mambo vp

Mimi: poa tu ila kuna mjinga kanihabia mood hap asbuh hii bas shida tu

Sara: ni kawaida tu mambo ya maofisin

Mimi: hata siko ofisin niko home tu right now.

Sara: kwann hujaingia ofisin

Mimi: ni almost mwaka unaisha sasa siko kazin.

Sara : tatizo nini?

Mimi: (nikampa mkasa mzima as a friend na akasikitika sana na akani laumu kwanini niko kimya muda wote huo hali tunawasiliana ila sija share the issue)

Sara: pole sana basi ngoja Ibra arudi nitaongea nae atajua cha kufanya

(huyu ibra ni mumewe na wote ni class mates wangu sema mshkaji hatukuaga close sana af alikuaga mmbea mmbea sana kufuatilia matokea ya mitihan ya wenzie..ofcz alikua na uwezo clasa ila sio wa kunifikia mimi)

Basi kesho yake Ibra akanipigia cm tukapiga story sana maan ni siku nyingi then finally akaniambia nimtumie CV yangu fasta.

Baadae nikapigiwa cm na admin wa kampun flan nje ya mji kidogo nikaambiwa nifike ofisn .Nikauliza muda gan nikajibiwa muda wowote nitakaopata nafasi basi nikaji comitt saan 3 asubh.
Nilipofika faster tu nikapewa internship ya 6 months mshahara mnono tu kiaa kwamba namaliza mkataba nina kigar changu basi sina shida.ila kubwa zaid kazi ikanisaidia kulipa madeni yoote ikiwemo ada za watoto na mengineyo maana ku survive bila kazi kwa mwaka m 1 kulinifa nya ninuke maden.

Marafiki wapo jaman ila wa kutafutiza sana
Hao ndio marafiki, heshima sana kwake huyo bidada
 
Ila upande fulani upo sahihi. Sijui ni ushamba wa kujifanya kujua jua watu, au kuzoeana zoeana na watu hivyo au nini??? Yaani tumekutana kwenye kazi, vilabuni n.k, halafu unalalamika hujasaidiwa? Tatizo watu wana ushamba mwingi wa mikoa na shobo nyingi.

Watu wanafanya wrong selection ya company ya kusaidiana nayo kwenye shida na raha, kabla hawajalaumu ni vema wajifunze kuchagua watu husika wa kuahirikiana nao. Wakiweza hivyo, hakutakuwa na malalamiko yao, ushamba ushamba tu!
😍
 
NJE YA MADA KIDOGO ILA NI KUHUSU FRIENDSHIP HIZ ZA mleta mada.

Nikiwa sekondari nilikua na mshkaji mmoja manzi nimpe jina Sara.Alikua mchiz wangu sana kias kwamba wengi walihis Sara ni dem wangu but haikua hivyo.Baada ya kumaliza form 4 hatimaye 6 hatimaye chuo akaja akaolewa na mshkaji mmoja ambaye tulikua kuwa class 1 sekondari nimpe nina Ibra

Mumewe yaan Ibra hatukua na mahusiano ya karibu tukiwa class na hata baada ya hapo ila Sara alikua na tendency ya kunitafuta tafuta tunapeana hi plus kuishia ku view status tuu whatsapp.

E BWANA EEH!!.. 2019 Nikadondokea pua maisha yakanichapa kishenzi.Hali ngumu kazi nimepoteza.. watoto ada mtihan migogoro kibao na wife home.

Siku hiyo nakumbuka asbuh wife aliniletea dharau nikashindwa kuvumilia nikamlamba makofi bas asbh yangu haikua nzuri sana ukizingatia kwamba sina cha kufanya kazi sina pa kwenda sina.Bahat nzuri nilikua na bando.

Katika kujaribu kurudisha mood nikaingia watsap nikachek chek status nika reply chache ikiwepo ya huyo Sara na conversation ikawa kama ifuatavyo

Sara: mambo vp

Mimi: poa tu ila kuna mjinga kanihabia mood hap asbuh hii bas shida tu

Sara: ni kawaida tu mambo ya maofisin

Mimi: hata siko ofisin niko home tu right now.

Sara: kwann hujaingia ofisin

Mimi: ni almost mwaka unaisha sasa siko kazin.

Sara : tatizo nini?

Mimi: (nikampa mkasa mzima as a friend na akasikitika sana na akani laumu kwanini niko kimya muda wote huo hali tunawasiliana ila sija share the issue)

Sara: pole sana basi ngoja Ibra arudi nitaongea nae atajua cha kufanya

(huyu ibra ni mumewe na wote ni class mates wangu sema mshkaji hatukuaga close sana af alikuaga mmbea mmbea sana kufuatilia matokea ya mitihan ya wenzie..ofcz alikua na uwezo clasa ila sio wa kunifikia mimi)

Basi kesho yake Ibra akanipigia cm tukapiga story sana maan ni siku nyingi then finally akaniambia nimtumie CV yangu fasta.

Baadae nikapigiwa cm na admin wa kampun flan nje ya mji kidogo nikaambiwa nifike ofisn .Nikauliza muda gan nikajibiwa muda wowote nitakaopata nafasi basi nikaji comitt saan 3 asubh.
Nilipofika faster tu nikapewa internship ya 6 months mshahara mnono tu kiaa kwamba namaliza mkataba nina kigar changu basi sina shida.ila kubwa zaid kazi ikanisaidia kulipa madeni yoote ikiwemo ada za watoto na mengineyo maana ku survive bila kazi kwa mwaka m 1 kulinifa nya ninuke maden.

Marafiki wapo jaman ila wa kutafutiza sana
Upo sahihi, ila Ibra hakuwa rafiki yako, ni sarah ndiye rafiki yako. Hapo ndipo msemo unaosema 'si kila demu mzuri wa kumtongoza, wengine wafanye marafiki tu na utakula mema ya nchi', ume-tick.

#TujifunzeWanaume
 
Back n deiz baada ya kuingia kwa pupa kwenye ulimwengu wa utafutaji na kupoteza kila kitu nilichokua nacho assets na pesa nikaamua kumfata Brother flan hv tulikutana kwenye haraqate nikamsaundisha akaelewa akaniazima kama million kadhaa kumbuka sina kitu chochote ameamini tu mipango nliyomchorea

bas ukapita mwezi akanicheck tukakutana akaanza hivi dogo unataka kunipiga hadi mimi nikashangaa sana ila mwisho wa siku baada ya kuongea nae sana akanionesha meseji na kunisikilizsha call records za kaka angu akisema "janja hana kitu huyo kashatia hasara sana home na kwa watu wengi tu hana chochote ikipotea pesa yako hawez kukurudishia"

kumbuka hapo alipo alipo huyo kaka angu tumbo moja yuko chuo na ada nimemlipia mimi mama tu hakumwambia bas nilikasirika sana nikamfata bi mkubwa nikamuonesha kila kitu wala hakushangaa maana alishatuambia mimi na dada angu wa kwanza ndugu zetu wawili (huyo kaka na dada wanaroho za kichawii hawapendi mafanikio ya yeyote hivyo tusiwatupe washakua wa kwetu)

Brother alieniazima pesa Aliendelea kuniamini licha ya yote ikawa ndo since that day nikisaidia mtu sitarajii kulipwa kamwe na nina watu wangu Rasmi wa kuwalilia shida wako watano kati yao hakuna ndugu hata mmoja binadamu blad faken usiamini mtu hususan Maskini wa kipato na wa kifikra ukifeli wanafurahia sasa kwa nini waikatishe furaha yao kwa kukusaidia
 
Back n deiz baada ya kuingia kwa pupa kwenye ulimwengu wa utafutaji na kupoteza kila kitu nilichokua nacho assets na pesa nikaamua kumfata Brother flan hv tulikutana kwenye haraqate nikamsaundisha akaelewa akaniazima kama million kadhaa kumbuka sina kitu chochote ameamini tu mipango nliyomchorea

bas ukapita mwezi akanicheck tukakutana akaanza hivi dogo unataka kunipiga hadi mimi nikashangaa sana ila mwisho wa siku baada ya kuongea nae sana akanionesha meseji na kunisikilizsha call records za kaka angu akisema janja hana kitu huyo kashatia hasara sana home na kwa watu wengi tu hana chochote ikipotea pesa yako hawez kukurudishia kumbuka hapo alipo alipo huyo kaka angu tumbo moja yuko chuo na ada nimemlipia mimi mama tu hakumwambia bas nilikasirika sana nikamfata bi mkubwa nikamuonesha kila kitu wala hakushangaa maana alishatuambia mimi na dada angu wa kwanza ndugu zetu wawili (huyo kaka na dada wanaroho za kichawii hawapendi mafanikio ya yeyote hivyo tusiwatupe washakua wa kwetu)

Brother alieniazima pesa Aliendelea kuniamini licha ya yote ikawa ndo since that day nikisaidia mtu sitarajii kulipwa kamwe na nina watu wangu Rasmi wa kuwalilia shida wako watano kati yao hakuna ndugu hata mmoja binadamu blad faken usiamini mtu hususan Maskini wa kipato na wa kifikra ukifeli wanafurahia sasa kwa nini waikatishe furaha yao kwa kukusaidia
Kaka yako alikuwa sahihi kwa maelezo yako. Ni kweli ulikuwa huna back up na hukuwa na uhakika wa kurudisha hela ili kulinda uaminifu wako( hapo ndio mwanzo wa lawama na uadui).

Kabla ya kusema kaka yako ana roho za kichawi jichunguze kwanza wewe, je, alidanganya kusema hivyo?

Je, ni kweli alikulipia ada?

Ni kweli, ulikuwa chuo na hukuwa na uhakika wa kulipa deni?

Mwisho, katika kila tukio au uovu wowote, kuna nia njema ndani yake. Kaka yako hana roho ya kichawi.

Jirekebishe!
 
Karne hii inataka binadamu akupende!!!! mweeh.... Jipende mwenyewe. Jali afya yako, kazi inayokuingizia kipato, jali ndoto zako. Mungu akikujalia familia ipende na ihudumie lakini usibweteke maana hata watoto wako wanaweza wasikupende... jiwekee akiba. Furahia maisha. Mtegemee Mungu maana amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu.
Umenena
 
Kaka yako alikuwa sahihi kwa maelezo yako. Ni kweli ulikuwa huna back up na hukuwa na uhakika wa kurudisha hela ili kulinda uaminifu wako( hapo ndio mwanzo wa lawama na uadui).

Kabla ya kusema kaka yako ana roho za kichawi jichunguze kwanza wewe, je, alidanganya kusema hivyo?

Je, ni kweli alikulipia ada?

Ni kweli, ulikuwa chuo na hukuwa na uhakika wa kulipa deni?

Mwisho, katika kila tukio au uovu wowote, kuna nia njema ndani yake. Kaka yako hana roho ya kichawi.

Jirekebishe!
Mimi ni mdogo kwake na nilikua namlipia yeye Ada wote walikua wanajua kama mimi nalipa ada kasoro yeye mwenyewe

Madeni yamenikuza chief nimekua nikiona Mama anakopa analipa maisha yanaenda na hata ada yake ni matokeo ya mchongo ulioanzishwa na pesa ya mkopo na huwa hatukopi fedha ya kutosha kama hatuna uhakika wa kulipa

Nia njema ninayo ndio maana sikuacha kulipa ada yake kuhusu kua na roho ya kichawi Mama ndie aliyesema kumbuka chief mtu hapewi ubaya kwa tukio moja kuna mfululizo wa matukio ya yeye kunifanyia mimi hadi hua nawaza ananichukia kwa nn au ndio mafanikio yangu na umri wangu mdogo kwake ni shida? Kumbuka Hakuna mama anaemchukia mwanae chief hivyo hawezi msingizia

Lakini sijawahi acha kusaidia kwani huez kumfundisha mtu kua mwema Kwa ubaya mi nimekua mwema kwake tokea siku ya kwanza kujua yeye kwangu ni Hater
 
Upo sahihi, ila Ibra hakuwa rafiki yako, ni sarah ndiye rafiki yako. Hapo ndipo msemo unaosema 'si kila demu mzuri wa kumtongoza, wengine wafanye marafiki tu na utakula mema ya nchi', ume-tick.

#TujifunzeWanaume
Kha!kha!,Kwa hiyo nitajuaje kuwa demu yupi ni wa kumtongoza na yupi sio wa kumtongoza??
 
Kaka yako alikuwa sahihi kwa maelezo yako. Ni kweli ulikuwa huna back up na hukuwa na uhakika wa kurudisha hela ili kulinda uaminifu wako( hapo ndio mwanzo wa lawama na uadui).

Kabla ya kusema kaka yako ana roho za kichawi jichunguze kwanza wewe, je, alidanganya kusema hivyo?

Je, ni kweli alikulipia ada?

Ni kweli, ulikuwa chuo na hukuwa na uhakika wa kulipa deni?

Mwisho, katika kila tukio au uovu wowote, kuna nia njema ndani yake. Kaka yako hana roho ya kichawi.

Jirekebishe!
Hujamwelewa mdau.Yeye ndio kamlipia ada ya chuo brother ake anayemuonglea mbovu
 
"jamaa alikataa kunikopesha kuwa hana Hela wakati huo Mimi najua jamaa ana pesa kwasababu yeye mwenyewe alikuwa anasema kuhusu mipango yake"
 
Back n deiz baada ya kuingia kwa pupa kwenye ulimwengu wa utafutaji na kupoteza kila kitu nilichokua nacho assets na pesa nikaamua kumfata Brother flan hv tulikutana kwenye haraqate nikamsaundisha akaelewa akaniazima kama million kadhaa kumbuka sina kitu chochote ameamini tu mipango nliyomchorea

bas ukapita mwezi akanicheck tukakutana akaanza hivi dogo unataka kunipiga hadi mimi nikashangaa sana ila mwisho wa siku baada ya kuongea nae sana akanionesha meseji na kunisikilizsha call records za kaka angu akisema "janja hana kitu huyo kashatia hasara sana home na kwa watu wengi tu hana chochote ikipotea pesa yako hawez kukurudishia"

kumbuka hapo alipo alipo huyo kaka angu tumbo moja yuko chuo na ada nimemlipia mimi mama tu hakumwambia bas nilikasirika sana nikamfata bi mkubwa nikamuonesha kila kitu wala hakushangaa maana alishatuambia mimi na dada angu wa kwanza ndugu zetu wawili (huyo kaka na dada wanaroho za kichawii hawapendi mafanikio ya yeyote hivyo tusiwatupe washakua wa kwetu)

Brother alieniazima pesa Aliendelea kuniamini licha ya yote ikawa ndo since that day nikisaidia mtu sitarajii kulipwa kamwe na nina watu wangu Rasmi wa kuwalilia shida wako watano kati yao hakuna ndugu hata mmoja binadamu blad faken usiamini mtu hususan Maskini wa kipato na wa kifikra ukifeli wanafurahia sasa kwa nini waikatishe furaha yao kwa kukusaidia
Dah?!!,Huyo bro wako noma sana.
 
Back
Top Bottom