Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
Tusisahau kuwa fani ya ualimu imekuwa ndio popular kimbilio kwa wale wote wanaopata division 4 na ziro(mduara!) so we should expect some of hivi vijimambo. I just wish tungekua tunajivunia lugha yetu zaidi na kuitumia kufundishia masomo yote hata mpaka ngazi za juu!