Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,554
- 1,382
Kuntakinte,
Logic unayotumia hapa si sawa. Masista hawana watoto wanaosoma kwenye shule za manispaa zetu. Lakini ni wadau wa dhati wa Elimu. Wanasomesha vizuri sana watoto wetu huko St. Joseph Mbeya, na kwingineko.
Mtu akishutumu magereza yanavyoendeshwa ni lazima awe na mtoto aliyefungwa kwanza? Ili ukubalike katika kupinga utoaji mimba ni budi uwe umeshiriki hicho kitendo kwanza?
Mimi nakubaliana na Kamundu kwamba HakiElimu inaweza kuwa ndio NGO yenye manufaa kuliko zote Tanzania. Inataka kuinua kiwango cha Elimu. Na ukifanya hivyo unaliinua taifa lote.
Augustine Moshi
Logic unayotumia hapa si sawa. Masista hawana watoto wanaosoma kwenye shule za manispaa zetu. Lakini ni wadau wa dhati wa Elimu. Wanasomesha vizuri sana watoto wetu huko St. Joseph Mbeya, na kwingineko.
Mtu akishutumu magereza yanavyoendeshwa ni lazima awe na mtoto aliyefungwa kwanza? Ili ukubalike katika kupinga utoaji mimba ni budi uwe umeshiriki hicho kitendo kwanza?
Mimi nakubaliana na Kamundu kwamba HakiElimu inaweza kuwa ndio NGO yenye manufaa kuliko zote Tanzania. Inataka kuinua kiwango cha Elimu. Na ukifanya hivyo unaliinua taifa lote.
Augustine Moshi