AmazingFriend
Member
- Jun 29, 2007
- 24
- 0
Hapa hakuna suala ladies ama gentlemen. Anayoyafanya RAKESH ni makubwa hata kwa mamilioni ya wanaume tulionao Tanzania. Its about committment, passion, creativity and more so guts to stand were many could not dare....
Na sio kuwa ni famuos bali anaaminika sana miongoni mwa watu waliopo katika asasi za kiraia...kulikojaa manyang'au wanafiki ambao ni wabaya kuliko hao wanaoiba kwa ukweli na uwazi..
Tanzanianjema
Sikatai, mazuri anafanya-ila kumbuka kuna mtu hupenda kuonekana mzuri kwa watu wa nje na si kwa watu wa ndani kwake iwe nyumbani au ofisini. Same applies to him. My late young sis worked with the guy tangu akiwa Mwanza-kuleana, it was the same story. Tena she used to say kuna pesa hajamlipa, mara kwa mara alisema hawalipwi pesa zao kwa wakati, I am afraid she died akidai pesa zake. How sad! Hizi ni kasoro kubwa.
AF.