TANMO ningeweza kumsaidia kabisaa..kut vikwazo viwili vitasumbua. Moja distance hatuishi mji mmoja so it is a prolem. Mbili hata nikisakrifaisi nikaenda aliko afu niakifekisha, then nikamind alivo msweet km ulivyosema hapo juu, afu nikanogewa na mimi si nitakuwa king'ang'anizi.Eiyer anahitaji Mchumba fake amsaidie kumtimua Mama King'ang'anizi.
Sasa nikakukumbuka wewe Rafiki kama mmoja wa watu Makini wanaoiweza hii kazi.
Huoni kuwa huyu Jamaa ako vere Msweet mpaka tutoto tudogo tunafolu kwake?
Nikae mabli na rafiki yangu au mama ake?
Kweli bana
Sikubali kabisaaaaaa!!!!!!!!!
To who?
TANMO ningeweza kumsaidia kabisaa..kut vikwazo viwili vitasumbua. Moja distance hatuishi mji mmoja so it is a prolem. Mbili hata nikisakrifaisi nikaenda aliko afu niakifekisha, then nikamind alivo msweet km ulivyosema hapo juu, afu nikanogewa na mimi si nitakuwa king'ang'anizi.
Naogopa kuwa mtuhumiwa namba mbili katika kesi hii lol
Eiyer anahitaji Mchumba fake amsaidie kumtimua Mama King'ang'anizi.
Sasa nikakukumbuka wewe Rafiki kama mmoja wa watu Makini wanaoiweza hii kazi.
Huoni kuwa huyu Jamaa ako vere Msweet mpaka tutoto tudogo tunafolu kwake?
Mi sijui hiki kibibi kina nini nami
Au na chenyewe ni kama huyo dada king'ang'anizi mama wa ka kafiki kangu?
Vijana wa JF nawaasa sana na nnawaomba mjifanyie ka research chenu kadogo nyinyi wenyewe kwa watu kama huyu anaependa kucheza na watoto, watu kama hawa ni hatari sana kwa jamii.
Tulioishi na kulea watoto zetu nje ya Tanzania tunaelewa haya mambo kwani hupata darsa mara kwa mara za "child abusers" na "pedophiles". Najuwa kliniki za Tanzania huhusisha afya ya mama na mtoto lakini kliniki za nje huhusisha pia namna ya kuhami mtoto na majanga ya ma "pedophiles".
Huyu mtu anaejiita "Eiyer" kwa maandiko yake, ameonesha "symptoms" zote za hayo matatizo na nimewawekea link mjisomee wenyewe.
Hakuna mtu asiyependa watoto lakini kuna mipaka ya urafiki wa mtoto na mtu mzima, kumbuka hilo.
Watoto zangu mimi niliwatenga sana na watu wanaojidai kupenda sana watoto, na hiyo ni kwa mafundisho kabisa ya namna ya kulea watoto vyema. Sioni hoja wala haja ya jirani kujifanya anampenda sana mwanangu kuliko mimi niliyemzaa.
Baadae haijafika tu?
Umeshindwa kujibu maswali yangu rahisi tena ya lugha yako mwenyewe unadhani kuna atakaedhania umeelewa hata hiki ulicho kikopi na kepesti hapa??