Haka karafiki kangu kataniletea matatizo soon....!!!!!

Haka karafiki kangu kataniletea matatizo soon....!!!!!

Daaaaah siasa kule kumeninogea.......tumeshamwaga nyunga za watu.Ss hv ndo tunasifiana @ DEMBA nawe umekuja kunisemelezea huku km ww haukuwepo vile teh

Mi sikuwepo bana!
 
We huoni anavyobabaika?
Au hujapitia ule uzi wanapoelezea sifa za mwanaume aliyefolu halafu anashindwa kusema?

Mkuu mimi nimebabaika wapi bana?
 
huyo mama take! namwona ana genye zake na unavyozidi kuchelewa na yeye anajenga chuki. siku ya siku anakuitia polisi unakatekenya katoto shauri yako

Duh!!!!!
 
tanmo ningeweza kumsaidia kabisaa..kut vikwazo viwili vitasumbua. Moja distance hatuishi mji mmoja so it is a prolem. Mbili hata nikisakrifaisi nikaenda aliko afu niakifekisha, then nikamind alivo msweet km ulivyosema hapo juu, afu nikanogewa na mimi si nitakuwa king'ang'anizi.
Naogopa kuwa mtuhumiwa namba mbili katika kesi hii lol

:a s 39::a s 39::a s 39::a s 39:
 
Anza kwenda na girlfriend wako hapo halafu fasta Hama coz atajua kuwa una mtu halafu ikimuuma anaweza kukupa kesi ya kubaka so Hama fasta
 
Back
Top Bottom