MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
Maalim Mzizi, Uzee Una raha yake, huwa wanajileta wenyeweeee kusikiliza mawaidha.
Mkuu WABHEJASANA Wewe sasa ni Mwizi unaomba mpaka namb ya simu ya mtoto wangu ili iweje umtongoze? haiwezekani picha tu haikutoshi kuiangalia?Mkuu MziziMkavu:Yuko wapi huyu,hebu naomba mawasiliano yake ili niseme naye juu yako faster lazima atakutafuta tu mkuu wangu!!!!!
Mkuu Mbuzi Mzee Uzee una raha zake na karaha zake Mkuu nipeleke Tanga au sumbawanga au Bagamoyo nyumbani huko au Pangani au kilwa au kigoma au pemba au mombasa ili nimpate mtoto mzuri huyo unamuonaje?Maalim Mzizi, Uzee Una raha yake, huwa wanajileta wenyeweeee kusikiliza mawaidha.
Anataka Pesa nyingi huyo utamuweza mkuu The Boss ?
Babu wa Loliondo .....
Mkuu masopakyindi nitajaribu je akikataa akisema nionyeshe picha nilizopiga na Rais OBAMA nitazipata wapi?He heeeee!
Mzizi Mdry ,ni wewe huyo umekaa hapo ukisubiri kikombe cha tano cha Mzee Mwasapila wa Loliondo?
Huyo binti siri ni ndogo tu gia ya uongo!
Mwambie ulisha onana na Obama Kenya,amekualika Ikulu Wasington, unabeba tu kwa Fastjet ukielekea Mwanza!
mkuu Ally Kombo Asnte kwa ushauri wako Nitajaribu au niazime Gari la Bakhresa nmdio atakubali kunipenda?Mpeleke kwa Bakhresa, maana kampita mpaka Leigwanani !
Ha ha haMkuu masopakyindi nitajaribu je akikataa akisema nionyeshe picha nilizopiga na Rais OBAMA nitazipata wapi?
Ha ha ha
Unaenda duka la picha- pkotoshop![/QUOTE masopakyindi then what is next........ kisha kwenda hapo kwenye duka la Photoshop
masopakyindi then what is next........ kisha kwenda hapo kwenye duka la PhotoshopHa ha ha
Unaenda duka la picha- pkotoshop!
Mkuu Boflo anakutafuta huyoooooooooooooo
Haka kadada nakapenda but uwezo sina nishaurini jamani nifanyaje ili niuteke moyo wa huyu mda
Mkuu Imany John Mkuu nimemuambia nampenda akaniuliza ninampendea kitu gani? nikamjibu ninampenda kwa sababu ya sura yake usiku silali nifanyeje ili nimpate? nipe ushauri wako....... unasemaje?
Hilo nalo ulilosema ni neno zuri akiona nyumba yako na gari yako tu atanipenda si unajuwa wanawake kwakupenda Gari na nyumba? asante sana mkuu sifongo kwa mawazo yako ubarikiwe.View attachment 72965View attachment 72966
Sio Ishu Mkuu naweza kukuachia geto langu na usafiri kwa muda utumie ukishamvisha pete ya ndoa mnarudi zenu kwa mtogole namimi narudi kwenye geto langu.